Tundu Lissu ni Mwanasheria mahili sana ila sio kiongozi wala mwanasiasa mzuri

Tundu Lissu ni Mwanasheria mahili sana ila sio kiongozi wala mwanasiasa mzuri

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Nikiri wazi mimi nimekuwa muumini wa siasa za upinzani tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi hapa nchini.
Kwa hiyo haya maoni sio kwa sababu ya chuki na wapinzani.

Sina historia yoyote inayomuonyesha lisu kama kiongozi anayeweza kuwaunganisha watu kwa busara na hekima zake.

Mara zote amekuwa mtu wa kulalamika kukosoa kukejeli na wakati mwingine kutukana. Kwa tabia hiyo kamwe huwezi kupata kiongozi mzuri.

Ila kwa upande wa uanaharakati na uanasheria, hilo sina mashaka nalo hata kidogo. Kwa hiyo nawashauri CHADEMA mkihitaji busara yoyote ya kiongozi muoneni mwenyekiti wetu Mbowe.
 
Sasa mwenyekiti wao yuko gerezani watamuona nani?
 
Nikiri wazi mimi nimekuwa muumini wa siasa za upinzani tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi hapa nchini.
Kwa hiyo haya maoni sio kwa sababu ya chuki na wapinzani.

Sina historia yoyote inayomuonyesha lisu kama kiongozi anayeweza kuwaunganisha watu kwa busara na hekima zake.

Mara zote amekuwa mtu wa kulalamika kukosoa kukejeli na wakati mwingine kutukana. Kwa tabia hiyo kamwe huwezi kupata kiongozi mzuri.

Ila kwa upande wa uanaharakati na uanasheria, hilo sina mashaka nalo hata kidogo. Kwa hiyo nawashauri CHADEMA mkihitaji busara yoyote ya kiongozi muoneni mwenyekiti wetu Mbowe.
Kama kwenye siasa za tz huhitaji hata kuwa na cheti Cha std7 kufanya siasa , he itajuwaje Kwa mwanasheria Tena mahiri, SI Bure alikula mvua ya masasi🤸.
 
Nikiri wazi mimi nimekuwa muumini wa siasa za upinzani tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi hapa nchini.
Kwa hiyo haya maoni sio kwa sababu ya chuki na wapinzani.

Sina historia yoyote inayomuonyesha lisu kama kiongozi anayeweza kuwaunganisha watu kwa busara na hekima zake.

Mara zote amekuwa mtu wa kulalamika kukosoa kukejeli na wakati mwingine kutukana. Kwa tabia hiyo kamwe huwezi kupata kiongozi mzuri.

Ila kwa upande wa uanaharakati na uanasheria, hilo sina mashaka nalo hata kidogo. Kwa hiyo nawashauri CHADEMA mkihitaji busara yoyote ya kiongozi muoneni mwenyekiti wetu Mbowe.
Mwanasiasa bora ni Heri James,Shaka,Nnauuye na January Makamba.
 
Ndio mana chadema wanafeli sana mtu waliyemueka juu hakuwahipo kuwa mwanasiasa mzuri
 
Nikiri wazi mimi nimekuwa muumini wa siasa za upinzani tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi hapa nchini.
Kwa hiyo haya maoni sio kwa sababu ya chuki na wapinzani.

Sina historia yoyote inayomuonyesha lisu kama kiongozi anayeweza kuwaunganisha watu kwa busara na hekima zake.

Mara zote amekuwa mtu wa kulalamika kukosoa kukejeli na wakati mwingine kutukana. Kwa tabia hiyo kamwe huwezi kupata kiongozi mzuri.

Ila kwa upande wa uanaharakati na uanasheria, hilo sina mashaka nalo hata kidogo. Kwa hiyo nawashauri CHADEMA mkihitaji busara yoyote ya kiongozi muoneni mwenyekiti wetu Mbowe.
Mahili ndio nini?
 
Umahili gani uo unao usemea. Sema ni debate champion ovyoo
 
Nikiri wazi mimi nimekuwa muumini wa siasa za upinzani tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi hapa nchini.
Kwa hiyo haya maoni sio kwa sababu ya chuki na wapinzani.

Sina historia yoyote inayomuonyesha lisu kama kiongozi anayeweza kuwaunganisha watu kwa busara na hekima zake.

Mara zote amekuwa mtu wa kulalamika kukosoa kukejeli na wakati mwingine kutukana. Kwa tabia hiyo kamwe huwezi kupata kiongozi mzuri.

Ila kwa upande wa uanaharakati na uanasheria, hilo sina mashaka nalo hata kidogo. Kwa hiyo nawashauri CHADEMA mkihitaji busara yoyote ya kiongozi muoneni mwenyekiti wetu Mbowe.
Kwahiyo pamoja na uhovyo wa viongozi wa Chadema lakini bado CCM mnateseka hadi kuwapa kesi za michongo za Ugaidi hewa. Mlisema CHADEMA ingekufa kabla ya 2015 lakini mpka Leo bado mnawatangaza tuu Chadema wapo hai.
Kweli CCM ni Chama Cha majinga.
 
Nakubaliana na wewe Lissu ni mwanaharakati siyo kiongozi na wala siyo mwanasiasa.
 
Kwahiyo pamoja na uhovyo wa viongozi wa Chadema lakini bado CCM mnateseka hadi kuwapa kesi za michongo za Ugaidi hewa. Mlisema CHADEMA ingekufa kabla ya 2015 lakini mpka Leo bado mnawatangaza tuu Chadema wapo hai.
Kweli CCM ni Chama Cha majinga.
Hata kukiwa na kibaka mitaani watu wazima na akili zenu lazima muumize vichwa namna ya kumdhibiti hii haina maana kwamba ni mtu mahili ila ni msumbufu mlopokaji na mtu ambaye mkimuacha aongee atakavyo ipo siku atahatarisha usalama.

Ndio maana kuna wakati akiwa mbunge aliwahi kuhamasisha wananchi wagome kujenga miradi ya maendeleo yaani shule na zahanati.
 
Nikiri wazi mimi nimekuwa muumini wa siasa za upinzani tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi hapa nchini.
Kwa hiyo haya maoni sio kwa sababu ya chuki na wapinzani.

Sina historia yoyote inayomuonyesha lisu kama kiongozi anayeweza kuwaunganisha watu kwa busara na hekima zake.

Mara zote amekuwa mtu wa kulalamika kukosoa kukejeli na wakati mwingine kutukana. Kwa tabia hiyo kamwe huwezi kupata kiongozi mzuri.

Ila kwa upande wa uanaharakati na uanasheria, hilo sina mashaka nalo hata kidogo. Kwa hiyo nawashauri CHADEMA mkihitaji busara yoyote ya kiongozi muoneni mwenyekiti wetu Mbowe.
Ndugu yangu,
Ili kuweza kusonga mbele tukiwa na maendeleo ya kweli,Tanzania inamhitaji kiongozi Lissu na wa aina yake yaani WAKWELI, WAWAZI na ambao hawatakwepesha macho kwenye kusimamia haki nasheria. Tukiogopa kukosoana tutaendeleana kukwama kama ilivyofikia mihimili ya Bunge na Mahakama. Hebu angalia vichekesho vya NEC, Polisi na TISS. Huko sio kulalamika.
Viongozi wanaotafuta ubingwa wa kufurahisha watu kwa kugawagawa mabulungutu na hata kwa kupotosha/kuyumbisha ukweli, kuzushia na kusingizia watu tuhuma, ndio wanaoharibu taifa, HAWATUFAI.
 
Back
Top Bottom