Tundu Lissu ni Mwanasiasa pekee ambaye naweza msikiliza akiongea, na alikuwa pia Prof. Kabudi alipokuwa sober

Tundu Lissu ni Mwanasiasa pekee ambaye naweza msikiliza akiongea, na alikuwa pia Prof. Kabudi alipokuwa sober

Mkuu,pole sana.
Mnatamani ccm kuwa na watu wenye IQ kama yeye ila bahati mbaya mmejazana vilaza,chawa,vizabinazabina,wachumia tumbo,watu wasiojielewa,wajingawajinga,mizugo ya taifa.

Kiufupi ni hasara ya taifa..

Umbeni mungu,isitokee.kuna watu itabidi wanyongwe kwq uhaini.

Unateseka ukiwa wapi mkuu😂😂😂😂
 
Kadri siku zinavyoenda lisi nadhihirish kumbe hakuw vile kama watu walivyotuaminisha eti ana akili kama tuliaminisha pia kwmaba prof lipumbu ni mbobevu wa uchumi kumbe ni mhuni ffani tu.

Watanzani huwa tunadanganyika kirahisi sana sijui kwa nini. Au elimu yetu ina shida pahala.

Mi nachojua udsm hawasomagi ordinary people wenye akili kisoda. Wenye akili kisoda wanasoma udom, SAUT, mzumbe, kampala nk
Badala ya kuhangaika na hili lichama lenu miaka 60 bado watoto hawana vyoo shuleni unakuja kutuambia Lissu ana akili kisoda. Kwani Lissu ameongoza idara gani akashindwa kukidhi matarajio?
 
Kadri siku zinavyoenda lisi nadhihirish kumbe hakuw vile kama watu walivyotuaminisha eti ana akili kama tuliaminisha pia kwmaba prof lipumbu ni mbobevu wa uchumi kumbe ni mhuni ffani tu.

Watanzani huwa tunadanganyika kirahisi sana sijui kwa nini. Au elimu yetu ina shida pahala.

Mi nachojua udsm hawasomagi ordinary people wenye akili kisoda. Wenye akili kisoda wanasoma udom, SAUT, mzumbe, kampala nk
Hoja dhaifu sana inawezekana nyie ndo mlikuwa mnaingia na vibomu kwenye vyumba vya mitihani . Ukiona mtu yoyote ni famous with education back up huyo amefight the Armageddon battle kuwa hapo halipo hivyo put some respect on that
 
Kadri siku zinavyoenda lisi nadhihirish kumbe hakuw vile kama watu walivyotuaminisha eti ana akili kama tuliaminisha pia kwmaba prof lipumbu ni mbobevu wa uchumi kumbe ni mhuni ffani tu.

Watanzani huwa tunadanganyika kirahisi sana sijui kwa nini. Au elimu yetu ina shida pahala.

Mi nachojua udsm hawasomagi ordinary people wenye akili kisoda. Wenye akili kisoda wanasoma udom, SAUT, mzumbe, kampala nk
Sasa kwa akili zako finyu unaweza kuitambua akili kubwa kweli?
 
Kadri siku zinavyoenda lisi nadhihirish kumbe hakuw vile kama watu walivyotuaminisha eti ana akili kama tuliaminisha pia kwmaba prof lipumbu ni mbobevu wa uchumi kumbe ni mhuni ffani tu.

Watanzani huwa tunadanganyika kirahisi sana sijui kwa nini. Au elimu yetu ina shida pahala.

Mi nachojua udsm hawasomagi ordinary people wenye akili kisoda. Wenye akili kisoda wanasoma udom, SAUT, mzumbe, kampala nk
fanya umuulize baba yako mzazi. maana baba yako mzazi mwenyewe anajua hana akili mbele ya Lisu.
 
64bqxem1sgq51.jpg

SIMBA 2025
 
Kadri siku zinavyoenda lisi nadhihirish kumbe hakuw vile kama watu walivyotuaminisha eti ana akili kama tuliaminisha pia kwmaba prof lipumbu ni mbobevu wa uchumi kumbe ni mhuni ffani tu.

Watanzani huwa tunadanganyika kirahisi sana sijui kwa nini. Au elimu yetu ina shida pahala.

Mi nachojua udsm hawasomagi ordinary people wenye akili kisoda. Wenye akili kisoda wanasoma udom, SAUT, mzumbe, kampala nk
Sio rahisi kumtambua, maana mara nyingi wenye akili hutambuana zaidi wao kwa wao kuliko kutambuliwa na walio nje ya wao.

Ova
 
Mkuu mbona haujui kuandika harafu upo busy kukagua uwezo wa watu waliofanya vizuri NECTA mpaka Chuo wakati wewe ulikimbia umande kama mimi tu ndio maana sihoji uwezo wa watu waliotuzidi uwezo..
 
Mkuu mbona haujui kuandika harafu upo busy kukagua uwezo wa watu waliofanya vizuri NECTA mpaka Chuo wakati wewe ulikimbia umande kama mimi tu ndio maana sihoji uwezo wa watu waliotuzidi uwezo..
Sasa utanilinganisha na Lisu mzee. Mi nina div one point 7 na point 3 o level na advance respectively. Halafu lisu kasoma ngeini yaani hgl wakati mi nimesoma masomo magumu yaani pcm
 
Kadri siku zinavyoenda lisi nadhihirish kumbe hakuw vile kama watu walivyotuaminisha eti ana akili kama tuliaminisha pia kwmaba prof lipumbu ni mbobevu wa uchumi kumbe ni mhuni ffani tu.

Watanzani huwa tunadanganyika kirahisi sana sijui kwa nini. Au elimu yetu ina shida pahala.

Mi nachojua udsm hawasomagi ordinary people wenye akili kisoda. Wenye akili kisoda wanasoma udom, SAUT, mzumbe, kampala nk
Hakuna uhusiano kati ya chuo na kuwa na akili. Akili unazaliwa nazo au una acquire as you grow and experience.

Kuniambia kuwa wanaosoma UDSM ni wenye akili sana ni overstatement.

Ninachojuwa mimi kitu pekee kuhusu UDSM ni kuwa ndiyo Chuo Kikuu cha kwanza nchini kuanzishwa na kuwa na fani nyingi.

Mpaka mwaka 2000 pengine Tanzania kulikuwa na vyuo vikuu 2 tu UDSM na SUA. Wanafunzi waliokuwa wanakosa kuchaguliwa UDSM walikuwa wanakwenda Ardhi, IDM, IFM na Ushirika Moshi kwa masomo ya Advanced Diploma ambayo yalikuwa ni ya mitaala sawa na UDSM
 
Lisu hajaandika paper hata moja. Leta ushahodi. Hata hivyo paper siyo kigezo cha akili. Kuna copy and paste.
Kichwa maji sana wewe.
 

Attachments

  • Screenshot_20240826_120006_Chrome.jpg
    Screenshot_20240826_120006_Chrome.jpg
    285.3 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240826_115942_Chrome.jpg
    Screenshot_20240826_115942_Chrome.jpg
    410.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240826_115931_Chrome.jpg
    Screenshot_20240826_115931_Chrome.jpg
    372.7 KB · Views: 2
Sasa utanilinganisha na Lisu mzee. Mi nina div one point 7 na point 3 o level na advance respectively. Halafu lisu kasoma ngeini yaani hgl wakati mi nimesoma masomo magumu yaani pcm
Hapa ndio nimeona uwezo uliokua nao ni wa chini sana aisee...shule sio ngumu mkuu kama unavyodhania labda kama umetoka kwenye familia wewe ndio wa kwanza kupata points hizo..
 
Lugha ya kishikaji ya mwenyekiti wa CCM taifa kwa Tundu Lissu.

Tundu Lissu mwanangu asema rais Samia Hassan, lugha hiyo hutumia na watoto wa mjini kuonesha kuwa unamkubali kwa sana mtu lengwa
Akili kubwa ile dogo. Lisu anapigwa za uso mchana kweupe kwamba ana uwezo mdogo.
 
Back
Top Bottom