Tundu Lissu ni Mwanasiasa pekee ambaye naweza msikiliza akiongea, na alikuwa pia Prof. Kabudi alipokuwa sober

Tundu Lissu ni Mwanasiasa pekee ambaye naweza msikiliza akiongea, na alikuwa pia Prof. Kabudi alipokuwa sober

Akili kubwa ile dogo. Lisu anapigwa za uso mchana kweupe kwamba ana uwezo mdogo.
Sisi tuna mpima Lissu kwa kazi alizozifanya kwa nchi na jamii ya kitanzanzia sasa wewe tukupime kwa huu upuuzi unaopost humu eti Div 1 point 7 wewe ndiye binadamu wa kwanza kuipata hiyo? Hebu jaribu kuficha ukilanza wako. Hatuwezi kukupima kwa majigambo yako bali kwa kazi zako.
 
Ulivoandika tu neno "wajameni" nikajua wewe na ukoo wako wote ni wendawazimu, na unaweza kukuta wewe ni mwanamke mzuri ambae kosa umpikie mume wako uko busy kuwasema masimba ya kinyaturu,
 
Serikali ya chama dola kongwe yatumia nguvu za dola kujaribu kudhoofisha wanaharakati kama Tundu Lissu :

Mradi wa Bretton Woods
17/01/2002 · https://www.brettonwoodsproject.org
Mamlaka za Tanzania zinajaribu kuwanyamazisha wanaharakati kuhusu kesi ya Bulyanhulu

Nshala na Lissu wanaendelea na uchunguzi wa kina juu ya tuhuma za mauaji ya wachimbaji wadogo 62 na kufukuzwa kwa...


Tundu Lissu wa Tanzania Atetea Mapambano Dhidi Ya Ufisadi na Kuhimiza Uwazi​

Tarehe 09 Mei 2024




Na Adonis Byemelwa

lissus.jpg
Safari ya Lissu kama mwanasiasa imekuwa na ukakamavu na uthubutu. Picha kwa hisani
Kutokana na shutuma za ufisadi ndani ya nyanja ya siasa za Tanzania, kiongozi mashuhuri wa upinzani Tundu Lissu anasimama kidete katika dhamira yake ya uwazi na uwajibikaji. Kufuatia kauli ya Katibu wa Itikadi, Mafunzo, na Uenezi wa Chama Tawala CCM, Amos Makalla, kukitaka Chadema kushughulikia tuhuma za ubadhirifu wa fedha, Lissu alisisitiza msimamo wake huo katika mkutano wa hadhara wilayani Mpwapwa, mkoani Dodoma.

Akiwahutubia wafuasi wake, Lissu alisisitiza umuhimu wa kuwa makini dhidi ya vitendo vya rushwa na kusema, “Ufisadi huu unaoliangamiza taifa unahitaji kujadiliwa ndani na si hadharani. Licha ya kukabiliwa na shutuma kutoka ndani ya chama chake kwa uwazi wake, Lissu anashikilia kuwa kushughulikia mafisadi hadharani ni muhimu katika kusafisha mazingira ya kisiasa.

Wakosoaji ndani ya Chadema wametilia shaka mtazamo wa Lissu, wa kutetea mazungumzo ya ndani kuhusu propaganda zunazoenezwa na chama dola kongwe CCM kuwa kuna rushwa na ufisadi ndani ya CHADEMA . Hata hivyo, Lissu bado hajakata tamaa, akisisitiza, “Kuzungumza hadharani kunasafisha chama, kunawaonyesha wanachama na Watanzania kwamba hatutaki mafisadi, ndani wala nje ya chama.

Msimamo usioyumba wa Lissu dhidi ya ufisadi unakuja huku kukiwa na taswira pana ya kisiasa yenye kutarajiwa na kuchunguzwa. Huku uchaguzi Mkuu wa 2025 na uchaguzi wa wananchi wa Septemba 2024 ukikaribia, Tanzania inajikuta katika wakati mgumu. Mazingira ya kisiasa yamegubikwa na mijadala kuhusu miundo ya utawala, ikiwa ni pamoja na Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar.

Ukosoaji wa Lissu wa muundo wa sasa wa serikali, unaotetea serikali tatu tofauti, unaakisi mijadala mipana ndani ya siasa za Tanzania. Wakati nchi inapojiandaa kwa mashindano ya uchaguzi, masuala ya utawala, demokrasia na uwazi yanachukua nafasi kubwa.

Mbali na msimamo wake kuhusu ufisadi, Lissu amekuwa mtetezi wa mageuzi ya kisiasa na uwajibikaji. Jukumu lake katika kusimamia demokrasia nchini Tanzania haliwezi kupitiwa uzito. Licha ya kukabiliwa na changamoto binafsi zikiwemo za kutaka kumuua, Tundu Lissu ameibuka kuwa kinara wa matumaini kwa wananchi wengi wa Tanzania wanaotaka mabadiliko chanya.

Safari ya Lissu kama mwanasiasa imekuwa na ukakamavu na uthubutu. Kurejea kwake Tanzania baada ya kutafuta uhamishoni kufuatia jaribio la kumuua mwaka 2017 kulikumbwa na mshangao na utata. Tangu wakati huo, ameendelea kukabiliana bila woga na maswala ya utawala na ufisadi, na hivyo kujipatia ufuasi mkubwa miongoni mwa wafuasi wa upinzani.

Tanzania inapoelekea kwenye uchaguzi, nafasi ya watu kama Tundu Lissu inazidi kuwa muhimu katika kuunda mwelekeo wa mustakabali wa kidemokrasia wa taifa. Kwa kuzingatia masuala ya rushwa na utawala bora, wananchi wa Tanzania wanatazamia viongozi ambao wanajumuisha uadilifu na dira ya kesho iliyo bora.

Tukiangalia mbeleni, mazingira ya kisiasa nchini Tanzania yanabaki kuwa ya nguvu na ya maji. Uchaguzi ujao unawakilisha fursa kwa wananchi kutoa dukuduku na matarajio yao kwa mustakabali wa nchi. Huku mijadala kuhusu miundo ya utawala na uadilifu katika uchaguzi ikiendelea, ushawishi wa viongozi kama Tundu Lissu bila shaka utatengeneza mkondo wa siasa za Tanzania katika miaka ijayo.

dhamira thabiti ya Tundu Lissu katika misingi ya demokrasia na msimamo wake usioyumba dhidi ya ufisadi umemweka kuwa mtu muhimu katika nyanja ya siasa za Tanzania. Wakati nchi inajiandaa kwa uchaguzi, sauti yake inasikika kwa wananchi wanaotaka uwajibikaji na uwazi katika utawala. Pamoja na changamoto mbeleni, uongozi wa Lissu unatoa matumaini kwa jamii ya Tanzania iliyoshirikishwa zaidi na yenye haki.

Source : You are being redirected...
 
Kadri siku zinavyoenda lisi nadhihirish kumbe hakuw vile kama watu walivyotuaminisha eti ana akili kama tuliaminisha pia kwmaba prof lipumbu ni mbobevu wa uchumi kumbe ni mhuni ffani tu.

Watanzani huwa tunadanganyika kirahisi sana sijui kwa nini. Au elimu yetu ina shida pahala.

Mi nachojua udsm hawasomagi ordinary people wenye akili kisoda. Wenye akili kisoda wanasoma udom, SAUT, mzumbe, kampala nk
Mwenye akili ni huyu alieandaa kigodoro Kizimkazi?
 
Kulinganisha uwezo wa akili wa Lissu na mama Samia ni kumuonea Samia kwakuwa hakuna aliyeomba kati yao huo ni uwezo wa mwenyezi Mungu ni sawa kulinganisha mbio za Usain Bolt na yule mtz aliyeshindwa siyo matakwa yao ni VIPAJI MAALUMU, kumfananisha Samia na LISSU ni sawa na kumfananisha mandonga na Evander Holyfield mtawalia
 
Kadri siku zinavyoenda lisi nadhihirish kumbe hakuw vile kama watu walivyotuaminisha eti ana akili kama tuliaminisha pia kwmaba prof lipumbu ni mbobevu wa uchumi kumbe ni mhuni ffani tu.

Watanzani huwa tunadanganyika kirahisi sana sijui kwa nini. Au elimu yetu ina shida pahala.

Mi nachojua udsm hawasomagi ordinary people wenye akili kisoda. Wenye akili kisoda wanasoma udom, SAUT, mzumbe, kampala nk
Wanu Hafidhi katika ubora wako
 
Kadri siku zinavyoenda lisi nadhihirish kumbe hakuw vile kama watu walivyotuaminisha eti ana akili kama tuliaminisha pia kwmaba prof lipumbu ni mbobevu wa uchumi kumbe ni mhuni ffani tu.

Watanzani huwa tunadanganyika kirahisi sana sijui kwa nini. Au elimu yetu ina shida pahala.

Mi nachojua udsm hawasomagi ordinary people wenye akili kisoda. Wenye akili kisoda wanasoma udom, SAUT, mzumbe, kampala nk
asiyekuwa na akili anawezaje kujua mwenye akili maana hata anayozungumza mwenye akili hayaelewi.
 
Sasa utanilinganisha na Lisu mzee. Mi nina div one point 7 na point 3 o level na advance respectively. Halafu lisu kasoma ngeini yaani hgl wakati mi nimesoma masomo magumu yaani pcm
Usingeandika upuuzi huu, wewe ni kilaza tu umepata Div 0 kabisa wewe.
 
Tatizo nyie machawa mmekalia unafiki tu ...kaeni na wazee wawape mawili matatu ya nchi hiii ...Ww unamuona Lipumba fara wakati enzi za cuf inakimbiza huyo alikua moto wa kuotea mbali.Bado umejaa dharau kwa Chuma Lissu 🤣🤣🤣🤣nimecheka kwanza maana ww kwa risasi alizo pigwa Lissu km angekua ni IQ ndogo mambo ya siasa angekua kayaacha.
Lakini kwa kua anaamini katika mabadiliko bado unaona anadunda.
Mpaka Mama mwemyewe akaona ampe jina la Simba huku ww ukibaki kuwa chawa ama mende wa chooni...
 
Tundu Lissu anajua kuongea. Hakuna mwanasiasa anaweza simama jukwaa moja na Tundu Lissu kubishana. Hakuna Chama Chetu CCM na nje ya chama au any chama.

Lissu akianza kuongea utapenda msikiliza ana facts anajua mambo. Ni mzuri katoka kuelezea jambo. Kama ambavyo Prof Kabudi pia alikuwa na naamini bado uwezo huo anao sema sasa anakosa ujasiri.

Lissu ni mwanasiasa ambaye hageuki nyuma. Akishikiria analoamini anasimama nalo mpaka aamue yeye kujibadilisha ambayo pia ni nadra sana.

Ndani ya CCM alikuwepo Nyerere na baadaye Benny Mkapa. Hawa walikuwa waongeaji wazuri hawachoshi. Wana akili wana exposure. Nao huwa nawasikiliza.

Mbali na hapo.... Wengine wengi ni Zero IQ hamna kitu.
Itakuwa una kichwa kizito kumwelewa, kwa Lisu hata huingii hata kwa 1/50.
 
Tundu Lissu anajua kuongea. Hakuna mwanasiasa anaweza simama jukwaa moja na Tundu Lissu kubishana. Hakuna Chama Chetu CCM na nje ya chama au any chama.

Lissu akianza kuongea utapenda msikiliza ana facts anajua mambo. Ni mzuri katoka kuelezea jambo. Kama ambavyo Prof Kabudi pia alikuwa na naamini bado uwezo huo anao sema sasa anakosa ujasiri.

Lissu ni mwanasiasa ambaye hageuki nyuma. Akishikiria analoamini anasimama nalo mpaka aamue yeye kujibadilisha ambayo pia ni nadra sana.

Ndani ya CCM alikuwepo Nyerere na baadaye Benny Mkapa. Hawa walikuwa waongeaji wazuri hawachoshi. Wana akili wana exposure. Nao huwa nawasikiliza.

Mbali na hapo.... Wengine wengi ni Zero IQ hamna kitu.
Lipumbu mwenyewe
 
Back
Top Bottom