Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shabiby ni mbunge kupitia chama gani.?Idadi kubwa ya Wabunge wamepeleka maendeleo majimboni mwao mfano Shabiby na wengineo yeye maneno matupu
Tundu Lissu ni mwanasiasa wa maneno matupu kwasababu hakuna maendeleo aliyopeleka Singida tangu apate Ubunge
Nikawaida Mbunge kupeleka maendeleo jimboni kwake lakini kwa Lissu imekuwa tofauti
Wahenga wanasema mkono mtupu haulambwi
Idadi kubwa ya Wabunge wamepeleka maendeleo majimboni mwao mfano Shabiby na wengineo yeye maneno matupu
Soma katiba ujue kazi za mbunge kiongozi utapunguza kujiaibisha hapa!Achana na Mabasi Shabiby ni mbunge wa kujitoa hakuna mtu wake anayemlilia akamwacha mikono mitupu, yule ni mtu wa watu
Mafisadi wa Mbowe karibuni mjimwaye mwaye uwanja ni wenuTundu Lissu ni mwanasiasa wa maneno matupu kwasababu hakuna maendeleo aliyopeleka Singida tangu apate Ubunge
Nikawaida Mbunge kupeleka maendeleo jimboni kwake lakini kwa Lissu imekuwa tofauti
Wahenga wanasema mkono mtupu haulambwi
Sikiliza kwanza hii labda unaweza pata majibu.CCM yeye badala atetee watu wake wa Singida ameishia kutukana CCM
You are purely an idiot. Development in a particular constituency are not brought by MP. MPs don't have fund to finance development activities.Wewe ndio wale Mbowe amewalipa kuja kuandika ujinga humu?Tundu Lissu ni mwanasiasa wa maneno matupu kwasababu hakuna maendeleo aliyopeleka Singida tangu apate Ubunge
Nikawaida Mbunge kupeleka maendeleo jimboni kwake lakini kwa Lissu imekuwa tofauti
Wahenga wanasema mkono mtupu haulambwi
Sio kazi yake kiufupi, kwani ana mabuldoza na makatapila ya kuchimbia mitaro? Mbunge gani kafanya na kafanya nini utuonyeshe hapa, hasa wa kwenu KibajajiYeye Lissu anaezijua amepeleka nini kwao zaidi za maneno matupu
Tundu Lissu ni mwanasiasa wa maneno matupu kwasababu hakuna maendeleo aliyopeleka Singida tangu apate Ubunge
Nikawaida Mbunge kupeleka maendeleo jimboni kwake lakini kwa Lissu imekuwa tofauti
Wahenga wanasema mkono mtupu haulambwi
Sasa matusi na maendeleo ya wananchi vinahusiana nini.?Kama ndio hivyo hawajapeleka kwasababu ya matusi yake