Tundu Lissu ni mwanasiasa wa maneno matupu kwasababu hakuna maendeleo aliyopeleka Singida tangu apate Ubunge

Hata kujenga Shule imemshida? Mwanasiasa gani ? Vipi hana hela ya kujenga hata wodi ya akina mama wajawazito?

Nani kajenga hizo vitu?

Mtaje mbunge unaemjua
 
Idadi kubwa ya Wabunge wamepeleka maendeleo majimboni mwao mfano Shabiby na wengineo yeye maneno matupu
Watu kama nyinyi ndio mnafanya Afrika izidi kudumaa.
Ndio miongozo inasema mbunge atapeleka maendeleo jimjmboni , ulisoma wapi ? Anawapa vibati 100 kuwahadaa

Kama anaweza kuleta maendeleo awajengee shule au hospitali .
Umasikini ndio unaotufa ya tushindwe haya kufikiri.
Jah people nae huwahadaa watu wake kama huyo Shabib. Hawana lolote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…