Japhet Karibu
Member
- Feb 27, 2020
- 79
- 129
Rudisheni kwanza ruzuku ya haoAmeandika hivi katika akaunti yake ya Twitter:
Ni ufisadi na ufujaji wa fedha za umma kwa Bunge kulipa mishahara na posho kwa watu ambao dunia nzima inafahamu hawana sifa ya kuwa wabunge kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania. Ipo siku wahusika wa ufisadi huu na wale wanaouwezesha watawajibishwa. Tuendelee kukusanya ushahidi.
Haahaa huo ndo ushahidi? Wekeni ushahidi kwamba zimeingizwa chadema..Mbona mgao wa vyama vyote wa ruzuku uliwekwa wazi hata front page gazeti za Mwananchi?!?.. hukuwepo nchini?. Chadema wanapata mil.114 Kama sikosei kila mwezi na bila hao COVID hakuna kitu. Hushangai viongozi wa CHADEMA kimyaaa hawaongelei tena story za COVID 19?!?
Mwenyewe mnyika anajuaWeka majina yaliyokwenda yenye siani ya Mnyika tujiridhishe.
Mwenyewe mnyika anajua
Subiri CAG akitua karibu na uchaguzi ujao kutoa ripoti mjiandae kuumbuka mnaliwa timingNasema hivi, weka ushahidi hapa wa hizo deposit slips kwenye account ya cdm. Na hiyo ruzuku haitokani na hao wabunge bali hao wabunge wa covid 19 wanatokana na wingi wa kura za urais. Kamati kuu walishakaa na kuwafukuza hao covid 19, wana ulazima gani tena wa kukaa kwa ajili ya suala hilo? Mchaga hajawahi kukuangusha kwenye suala la pesa hizo ni sweeping statement, sioni ni kwa vipi zinaweza kubeba hoja zako.
Unaona alitendewa sawa?Hapa Lissu anatamini angekuwa bungeni mana Job alimwaga na kumnyima mapension yake. Lissu watanzania walishampuuza bora akae kimya.
LISSU aige Bobby Wine ama wewe uige watu wa UGANDA.Ameandika hivi katika akaunti yake ya Twitter:
Ni ufisadi na ufujaji wa fedha za umma kwa Bunge kulipa mishahara na posho kwa watu ambao dunia nzima inafahamu hawana sifa ya kuwa wabunge kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania. Ipo siku wahusika wa ufisadi huu na wale wanaouwezesha watawajibishwa. Tuendelee kukusanya ushahidi.
Ameandika hivi katika akaunti yake ya Twitter:
Ni ufisadi na ufujaji wa fedha za umma kwa Bunge kulipa mishahara na posho kwa watu ambao dunia nzima inafahamu hawana sifa ya kuwa wabunge kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania. Ipo siku wahusika wa ufisadi huu na wale wanaouwezesha watawajibishwa. Tuendelee kukusanya ushahidi.
Subiri CAG akitua karibu na uchaguzi ujao kutoa ripoti mjiandae kuumbuka mnaliwa timing
🙄CCM Chama Cha Mafisadi
Mbowe, Mnyika kimyaaaaaa..... Wanapiga zaidi ya mil. 100 kila mwezi Kama hawajui kinachoendelea vile, huku nyie mmekomaa na tweet za Lissu.
Maamuzi ya Mbowe ndio maamuzi ya chama,kwa maana Mbowe ndio Chadema.Tundu Lissu ana matatizo ya akili
Angehoji kwanza chama chake kwa nini kinakula ruzuku itokanayo na uchaguzi haramu
Ndugu unaona hii ni sawaLissu akae afanye maisha yake tu aachane na mambo ya siasa daa.
Ashukuru mungu alimwokoa ajifanyie mambo mengne uweezo was kusumbua serikali Hana atapata msongo wa mawazo bure
Ameandika hivi katika akaunti yake ya Twitter:
Ni ufisadi na ufujaji wa fedha za umma kwa Bunge kulipa mishahara na posho kwa watu ambao dunia nzima inafahamu hawana sifa ya kuwa wabunge kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania. Ipo siku wahusika wa ufisadi huu na wale wanaouwezesha watawajibishwa. Tuendelee kukusanya ushahidi.