Tundu Lissu: Ni ufisadi na ufujaji wa fedha za umma kwa Bunge kuwalipa watu ambao hawana sifa za kuwa wabunge

hivi unaweza kukaa kupoteza muda kulifikiira hilo? mbowe anajuwa kila kitu katibu muuu alikuwa hakushirikishwa ndiyo maana akakurupuka mbona sasa wamekaa kimya wanashindwa nini kujadiri rufaa yao siku zina songa mwamba anakula hela ya kila mwezi kwa wabunge wengine mtatoa mimacho mpaka kufikia 2025 mtakuwa mmechokaaa hata kampeni hamtaweza
 
Hao ni taswira ya kiburi cha madaraka ya urais ndio maana wako humo bungeni.
 
Mwisho mtasema Mbowe na mkewe walikua Chato kwa chakula cha jioni.
 
Wajuzi wa Sheria na Katiba wanisaidie.

Nijuavyo huwezi kuwa Mbunge, Rais, Diwani bila kuwa na chama labda uteuliwe na Rais au vinginevyo....
Malibu tafadhali kwa wajuzi wa mambo na kipengele cha katiba ,inasemaje juu ya huli.
 
Kabombe USSR acheni ufigisu wenu!! Kila mtanzania mwenye akili anajua Chadema na Lissu ndio viongozi halali wa nchi hii! Walioko sasa ni mafisadi! Kutuambia kuwa Lissu hana akili ni kutuambia wewe ni wazimu! Msidhani kuwa watanzania wote wamefutiwa akili kama nyie wachache! Shame on a country that can rig election to such extend and the end up forcing women to disobey the national constitution with the help of speaker! Banana republic??? Aibu sana mnaotetea uozo huo!!!
 
Kwa ujinga wenu mpaka mnaulizia ruzuku ambayo Chadema wameikataa zamani!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…