MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Huko nyuma ulianza kwa Kuwatuhumu Watu wa TISS ukatuchanganya.
Katikati tena ukaja kusema Ulishambuliwa na Askari wa Kukodi wa Rwanda.
Hukuchelewa miaka kadhaa nyuma ukiwa Ulaya ulikokaribishwa ukawatuhumu Police Tanzania.
Haya jana sijui leo nimeona Umewatuhumu Wanajeshi kwa lililokutokea.
Naanza sasa kupatwa na Wasiwasi kuwa ipo Siku utawasingizia Chama cha CCM.
Ushauri wangu Kwako kama huna uhakika au huwajui Waliokushambulia basi nyamaza tu au fanya Utafiti wako wa Kina na ukishawajua ndipo uje Kutuambia Watanzania kwani kwa sasa si tu Unatuchanganya lakini unaanza Kutuboa hata Sisi tunaokupenda na kukuunga mkono.
Sijui na Siku mfano ukija kujua kuwa Wahusika wa Shambulio lako wanatoka CHADEMA utasemaje kwani Wahenga wanasema Kikulacho Ki Nguoni mwako.
Katikati tena ukaja kusema Ulishambuliwa na Askari wa Kukodi wa Rwanda.
Hukuchelewa miaka kadhaa nyuma ukiwa Ulaya ulikokaribishwa ukawatuhumu Police Tanzania.
Haya jana sijui leo nimeona Umewatuhumu Wanajeshi kwa lililokutokea.
Naanza sasa kupatwa na Wasiwasi kuwa ipo Siku utawasingizia Chama cha CCM.
Ushauri wangu Kwako kama huna uhakika au huwajui Waliokushambulia basi nyamaza tu au fanya Utafiti wako wa Kina na ukishawajua ndipo uje Kutuambia Watanzania kwani kwa sasa si tu Unatuchanganya lakini unaanza Kutuboa hata Sisi tunaokupenda na kukuunga mkono.
Sijui na Siku mfano ukija kujua kuwa Wahusika wa Shambulio lako wanatoka CHADEMA utasemaje kwani Wahenga wanasema Kikulacho Ki Nguoni mwako.