Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kwao kule mkimbizi huyo aliyepewa kipindi maalum kustay.
eti leo kuna watu viazi wanazani huyu kiazi mbatata anaweza kuwa rais[emoji854].
in my dead body
Labda Rais wa Manzese
Nadhani tujikite kwenye mada ya leo mkuu.Nitakuwa nimepata nilicho kuuliza!
Anasubiriwa naomba October iwahi hili nalo liishe!Hiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.
Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.
My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.
Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.
Mfumo hauruhusu na huo ndo ukweliJiandae kisaikolojia maana huta yaamini macho yako na masikio yako
Nadhani tujikite kwenye mada ya leo mkuu.
Hayo ya kale tuyaache.
Anasubiriwa naomba October iwahi hili nalo liishe!
Mfumo hauruhusu na huo ndo ukweli
Anadhani kuongoza JMT ni sawa na kuwa rais wa TLSLabda Rais wa Manzese
Lisu ni wepesi sana siku 21 atatulia utanikumbukaMagufuli wamuongezee betri ya ziada huo moyo kwa kampeni za mwaka huu anaweza akautapika mshaurini.lissu siyo wa mchezomchezo.
Hata kama alisema yupo sahihi iwapo ataibiwa aingie tu mtaani maana jamaa hawataki kuwaepo tume huruAcheni kumlisha maneno
Alisema hivi na Nukuu
"Mimi sio yule wa kusema namwachia Mungu"
Mimi tena nishakuwa sehemu ya wasio julikana anywayIna maana nawewe ni kati ya watu wasiyo julikana?
October usije ukapotea hapa au kulalamika tuuu tumeibiwa. Ukiweza kubaliana na Msaliti Lissu uingie barabarani uone cha mtema kuni.Naona kawanyamazisha mataga wote, mnakesha mitandaoni kujaribu kuyazuia mafuriko kwa viganja.
Mwenyekiti wako anajua uhalisia ila hawezi sema hadharaniLabda mfumo wa lumumba, lkn kwenye uchaguzi wa mwaka huu wana lumumba mjiandae mapema kuwa chama cha upinzani
Anajua atashindea ndo maana anajihami, pia hakuna mtanzania mjinga atakubali kuvunjwa miguu kisa lissuHiyo ndio Kauli ya Tundu Lissu iwapo ikitokea ameshindwa kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi October 2020.
Tundu Lissu amepitishwa na CHADEMA kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho. Lissu amenukuliwa akisema ataingiza Watanzania barabarani ikiwa ataibiwa kura zake.
My Take: Ni mapema sana kwa Mgombea wa Urais kutoa kauli kama hii si kiashiria kizuri. Anataka kutuaminisha kuwa hata ikitokea ameshindwa kihalali tuamini kuwa kaibiwa kura ili atimize azima yake.
Uongozi wa CHADEMA umshauri huyu mgombea kauli hizi hazifai kwa usalama wa nchi yetu.