Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Niko tayari kugombea Urais mwaka 2020 nikipewa ridhaa na Upinzani

ahaa mkuu. uliona lini kiongozi wa Africa akatoka madarakan kwa sanduku la kura?!
madaraka matamu.na hivyo tumshukuru Mungu kwa hapa Tz hajatokea aliyenogewa lakini kwa upepo wa huyu "Bwana mkubwa" tuombe Mungu
Ikiwa hivyo kuna haja gani ya kufurahia na kushabikia matokeo ya kupikwa na yanayojulikana ??!!. Mtu yeyote anayeshabikia hali hiyo ni TAHAHIRA kabisa .
 
Akubali rushwa hiyo toka CCM?
 
Kwani Jiwe alianzia uenyekiti CCM?
Alikuwa waziri kwa miaka 20, so kulikuwa na kitu cha kumpima, sio huyu toka atokako tu eti direct raisi! Chadema wampe uenyekiti then tuone ufanisi wake
 
Alikuwa waziri kwa miaka 20, so kulikuwa na kitu cha kumpima, sio huyu toka atokako tu eti direct raisi! Chadema wampe uenyekiti then tuone ufanisi wake
Akili zako matope tupu, huna unalolijua. CDM sio lazima uwe mwenyekiti ndio ugombee Urais!! Peleke mbele ushamba wako.
 
Magufuli alikuwa kwanza mwenyekiti wa ccm ndio akawa rais?
Alikuwa waziri for 20 years ndio kilikuwa kipimo chake, huyo lisu awe mkiti kwanza wa chadema tuone ufanisi wake before.
 
Kama mna amini hivyo badilisheni katiba tusiwe na vyama vingi, wala haki za binadamu tuwe nchi inayo ongozwa na dictator officially. Vinginevyo mnatulisha matango pori kujifanya wanademokrasia huku mkitaka na kujitahidi kufuta sauti za wengine zisisike na chaguzi zisio kuwa huru wala za haki. Maendeleo ya Hitler na Qaddafi kwa mfano yali ishia wapi?
 
Akili zako matope tupu, huna unalolijua. CDM sio lazima uwe mwenyekiti ndio ugombee Urais!! Peleke mbele ushamba wako.
Kwa nini hamtaki kumpa uenyekiti kama kweli anafaa? Machadema bana hayajielewagi kabisa. Na yatazidi kuteseka kufikiria vitu visivyowezekana
 
wa tumishi tunalia mhe: katusahau ngoja tuhamie airtel
 
Bila shaka wewe ndiye kwenye post moja hapa JF umeelezewa kuhusika na wizi na uvujaji wa pesa ndani ya CDM?
 
huo ndio ulikua mpango mkakati wao Wajanja tulijua zamani
labda ashindane kuwa mwenyekiti wa chadema
 
Kuanzia leo Lissu amesababisha watu wasiyojulikana kupumulia mashine
 

Hatuchaguliwa mwenyekiti wala mgombea urais na misukele ya lumumba, wewe endelea tu kutumika kiboya hapo lumumba lakini kuteuliwa huteuliwi ng'o, rekodi yako ya kukwapua hela Chadema inakuandama mpaka siku unaingia kaburini.
 
kama dhaifu na jiwe wameweza tena ndni ya ccm, basi hata king msukuma na kibajaji wataweza pia
Yeyoye anaweza kuwa rais kwa mazingra ya TZ, yeyote, hata ukaweka kuku, atatawala
 
Empty Set.
 
Waona mbali tulifahamu kuanzia mwanzo kuwa TL alikuwa analenga hivyo. Aliingia CDM akiwa na SP yake ambapo kuna wakati alikuwa anapata wakati mgumu na wenzake[ila hajaonyesha hivyo ili kuongeza ukubalikaji wake kwa uongozi na mwisho wanachama/wananchi. Karume naye alikwishaliona hili na kuna uwezekano wa kiasi fulani naye kwa upande wa Zbar ukasiki anagombea urais. TLS kwa wote hawa imekuwa ni kama njia ya kuwawezesha kufika kule wanapotaka ila kwa bahati mbaya wote wameweka TLS mahala pabaya. Ninasikia kuwa wanasheria wa serikali[ sina uhakika sana] nao wanataka kuanzisha umoja wao.
 
Mkuu kama kuna mtu anatakiwa kuwa na mtu juu yake ili kumdhibiti ni JPM, lakini ndo Raisi saivi
 
TLS hakupata fursa ya kuonyesha uwezo au udhaifu wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…