900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
wewe ndiye mwewesekaji mkuuMbona mnaanza kuweweseka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ndiye mwewesekaji mkuuMbona mnaanza kuweweseka?
kama mliujua basi muda umewadiahuo ndio ulikua mpango mkakati wao Wajanja tulijua zamani
labda ashindane kuwa mwenyekiti wa chadema
Akili kama KJimbo lake Singida huko kashindwa kuongoza,familia yake kashindwa mwache aropoke tu.
watoto wale wanaitaji kusoma wakili mkuu rais wa nini sijui,sio kuja kusalimu hospitali. Mke pia anahitaji huduma.
Bado ww unafkiria kuwa na mikiki ya siasa!
Waonee huruma waliokuzunguka
ahahahahhaaa me namwita stone ageTunajua ni jinsi gani mnahaha sasa na ndiyo maana mlipochungulia kwa sangoma wenu mkaona mje na mswada wa vyama vya siasa ili akichaguliwa kugombea msajili aseme huyo hafai.
Kwanza mswada wenu haupiti na Lisu ni chaguo la Mungu maana kila siku tunamwombea mema sio kama Jiwe anayelazimisha kuombewa.
Leo ni siku ngumu sana kwa Stone Jiwe
stone age is overJiwe is there to stay until 2025!
record za JPM za barabara kila kona, Lissu anamtisha nani?
siyo hatarishi peke yake ni kauli ya mauti pia kwa upande wa pili.Kauli hatarishi upande wa pili..
Na ilipuke ifumue hicho kifua kilichojaa masizi ya uovu!Ile pacemaker inalipuka sasa.
kama Lissu yupo hiyo namba moja lazima ile njoro.TANGAZO:
Kesho tarehe 24/10/2020 kutakuwa na mdahalo wa kitaifa wa kufunga kampeni katika ukumbi wa Nkurumah;
Wagombea wanaotarajiwa kuhudhuria;
J.P. Magufuli - CCM
T.A. Lissu - CHADEMA
H.R. Sipunda - CHAUMA
Z.R. Kabwe - ACT Wazalendo
NYOTE MNAKARIBISHWA.
Huyu mjinga hapa anaongea nini wadau? 😅😅Jimbo lake Singida huko kashindwa kuongoza,familia yake kashindwa mwache aropoke tu.
watoto wale wanaitaji kusoma wakili mkuu rais wa nini sijui,sio kuja kusalimu hospitali. Mke pia anahitaji huduma.
Bado ww unafkiria kuwa na mikiki ya siasa!
Waonee huruma waliokuzunguka
Kichaa yule, hana sifa hata moja ya kupanga pale magogoni. Anatumia nguvu nyingi kutafuta uhalali hadi ndani ya chama chake hawamtaki, anajishtukia, kila siku anadai aombewe.Yule jamaa kule Magogoni saa hizi kichwa kinamuuma.
Paskali upo kaka?
Hivi huyo wa kwenu na Lissu nani bora? Kwa maoni yangu heri Lissu maana anaujua urais kuliko jiwe ambaye haujui urais ni nini ila akajikuta yumo tu ndio maana kila akifungua kinywa chake yatokayo ni balaa tupuKamwe huyo hafai kuwa rais.
Ataishia kuuona urais wa TLS tu.