Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Niko tayari kugombea Urais mwaka 2020 nikipewa ridhaa na Upinzani

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Niko tayari kugombea Urais mwaka 2020 nikipewa ridhaa na Upinzani

haahaaahaa umeshapaniki tayari hii inaitwa usiempenda kaja, jiandaeni kisaikolojia mapema, naona roho inakuuma sena, haahaahaa [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ccm nimeichoka vibaya Sana inatunyanyasa Sana wafanya kazi kuhusu haki zetu za kupanda madaraja,nyongeza ya mshahara na ukisitaafu Tena tulipwe aslimila 25%,kweli kero Ni nyingi Sasa hvi hatuna amani na kazi hatuifurahii kazi kabisa,ila ndugu yangu kwa TUNDU LISSU ndo tutapotea jumla kabisa ,mkipata mwingine ndo tutawaunga mkono lakini Tundu Lissu akigombea hata nisipowapigia kura CCM watashinda tu ndo kinachonikera
 
I also agree Tundu Lissu is the right candidate for presidency in 2020 for opposition in general.....

Siyo Edward Lowassa, si Fredrick Sumaye na wala si Zitto Kabwe and I know hawezi kuwa Freeman Mbowe wala Saed Kubenea ama Lazaro Nyalandu ama Fahmi Dovutwa...

For sure, kama wanataka kuleta hamasa na amsha amsha ya watu kuunga mkono opposition ktk uchaguzi ujao, Tundu Lissu is the right pick hadi kwenye ushindi...

SIFA ZA TUNDU ANTIPAS MUGHWAI LISSU KUONESHA KUWA NDIYE RAIS AJAYE 2020 - 2025:
• Ni mjuvi wa sheria za ndani na za kimataifa kwa kiwango cha kutisha sana

• Anayo national and international exposure ya kutosha na kuzidi sana

• Ni mwanadiplomasia mwenye uwezo wa kutosha sana

• Ndiye mtu pekee aliyepitia misukosuko inayofanana na ya Nelson Mandela (aliyewahi fungwa gerezani na kuja kuwa Rais wa Jamhuri ya watu wa Afrika ya Kusini).

Huyu naye (TAML) kafungwa mara nyingi sana na kifungo cha mwisho ni hiki cha zaidi ya mwaka sasa cha maumivu ya kuuguza majeraha ya risasi za SMG zilizojaribu kuzima nyota yake ya Uongozi na Utawala kwa kumuua kabisa

• Ni mwana Uchumi mbobevu kabisa.

Na kwa kifupi kabisa huyu bwana ndiye mtu sahihi na kipekee kwa sasa mwenye uwezo wa kukabiliana na Pombe Magufuli mpaka amlete kwenye mamlaka ya kutii na hata kumwangusha chini kwa kishindo kikuu kama Daudi alivyomwangusha Mfilisti Goliath!!

Kama Tundu Lissu atakubali kuwa mgombea Urais mwaka 2020, mimi peke yangu na kwa gharama zangu mwenyewe nitahakikisha natafutia kura za [√] zisizopungua 1,000,000 kwa ajili yake na chama atakacho gombea!!
 
Ccm nimeichoka vibaya Sana inatunyanyasa Sana wafanya kazi kuhusu haki zetu za kupanda madaraja,nyongeza ya mshahara na ukisitaafu Tena tulipwe aslimila 25%,kweli kero Ni nyingi Sasa hvi hatuna amani na kazi hatuifurahii kazi kabisa,ila ndugu yangu kwa TUNDU LISSU ndo tutapotea jumla kabisa ,mkipata mwingine ndo tutawaunga mkono lakini Tundu Lissu akigombea hata nisipowapigia kura CCM watashinda tu ndo kinachonikera

No way, Tundu Lissu is the right candidate...

Tunataka mtu wa kumwondoa shetani ktk kiti cha enzi alichoiba siyo hizo personal ambitions zako....!!

Look at the BIG PICTURE brother, usiangalie tumbo lako tu, matakwa yako tu
 
Narudia tena wapinzani hapa Tanzania urais wasahau. Wsngemsikia Mwalimu Nyerere kama wasingekua CCM B labda sasa wangeshachukua nchi. Mwaka 1995 mwalimu aliwaambia wajikite kwenye ubunge ili walichukue bunge maana hata kama rais atatoka ccm wao ndo watatengeneza serikali wakadanganywa na ujio wa mzee wa Kiraracha wakapoteza nafasi nzuri. Ieleweke mwaka ule ccm haikupendwa na sisi vijana vyuoni. Kumbuka Kimaro Muhimbili Mbatia Mlimani. Kiburi cha kina Marando kikatufikisha hapa tulipo. Sada hivi kuitoa ccm wazo hilo ondoeni labda muwe kweli mna akili ya NYUMBU mkiamini Lissu anaweza kushinda
Mgombea wa ccm 2015 alipata kura mil 3 unusu tu dhidi ya zaidi ya mil 10 za mgombea wa UKAWA
 
I also agree Tundu Lissu is the right candidate for presidency in 2020 for opposition in general.....

Siyo Edward Lowassa, si Fredrick Sumaye na wala si Zitto Kabwe and I know hawezi kuwa Freeman Mbowe wala Saed Kubenea ama Lazaro Nyalandu ama Fahmi Dovutwa...

For sure, kama wanataka kuleta hamasa na amsha amsha ya watu kuunga mkono opposition ktk uchaguzi ujao, Tundu Lissu is the right pick hadi kwenye ushindi...

SIFA ZA TUNDU ANTIPAS MUGHWAI LISSU KUONESHA KUWA NDIYE RAIS AJAYE 2020 - 2025:
• Ni mjuvi wa sheria za ndani na za kimataifa kwa kiwango cha kutisha sana

• Anayo national and international exposure ya kutosha na kuzidi sana

• Ni mwanadiplomasia mwenye uwezo wa kutosha sana

• Ndiye mtu pekee aliyepitia misukosuko inayofanana na ya Nelson Mandela (aliyewahi fungwa gerezani na kuja kuwa Rais wa Jamhuri ya watu wa Afrika ya Kusini).

Huyu naye (TAML) kafungwa mara nyingi sana na kifungo cha mwisho ni hiki cha zaidi ya mwaka sasa cha maumivu ya kuuguza majeraha ya risasi za SMG zilizojaribu kuzima nyota yake ya Uongozi na Utawala kwa kumuua kabisa

• Ni mwana Uchumi mbobevu kabisa.

Na kwa kifupi kabisa huyu bwana ndiye mtu sahihi na kipekee kwa sasa mwenye uwezo wa kukabiliana na Pombe Magufuli mpaka amlete kwenye mamlaka ya kutii na hata kumwangusha chini kwa kishindo kikuu kama Daudi alivyomwangusha Mfilisti Goliath!!

Kama Tundu Lissu atakubali kuwa mgombea Urais mwaka 2020, mimi peke yangu na kwa gharama zangu mwenyewe nitahakikisha natafutia kura za [√] zisizopungua 1,000,000 kwa ajili yake na chama atakacho gombea!!
Swadakta sana mkuu
 
Mgombea wa ccm 2015 alipata kura mil 3 unusu tu dhidi ya zaidi ya mil 10 za mgombea wa UKAWA
Mkuu unataka nosemeje? Tatizo lenu mkiambiwa hamuelewi. Mimi nimesema Lissu hawezi kupata urais na wewe mwenyewe umeniunga mkono japo hesabu zako sizijui umezipataje lakini angalau siyo mnyama ila unataka kujibu kama mnyama.
 
Hakika ANATOSHA SANA!!

NA HIZI TAARIFA KAMA NI KWELI, MASHETANI NA WACHAWI WA MAGOGONI KWA SASA HAWALALI NI VIKAO USIKU NA MCHANA!!
Kina Bashite watakuwa wanajiharia na kupanga kummaliza kabisa lakini Mwenyezi Mungu atatenda.
 
Kwa hiyo lowasa hagombei tena? Au lisu atagombea kupitia chama kipi? Kwa mipango na akili ya zito ukitazama kwa jicho la tatu anajitahidi sana kuwafool ukawa ili wampitishe yeye kugombea 2020, hii sasa inadhirisha vita ya madaraka ya wao kwa wao.
 
Narudia tena wapinzani hapa Tanzania urais wasahau. Wsngemsikia Mwalimu Nyerere kama wasingekua CCM B labda sasa wangeshachukua nchi. Mwaka 1995 mwalimu aliwaambia wajikite kwenye ubunge ili walichukue bunge maana hata kama rais atatoka ccm wao ndo watatengeneza serikali wakadanganywa na ujio wa mzee wa Kiraracha wakapoteza nafasi nzuri. Ieleweke mwaka ule ccm haikupendwa na sisi vijana vyuoni. Kumbuka Kimaro Muhimbili Mbatia Mlimani. Kiburi cha kina Marando kikatufikisha hapa tulipo. Sada hivi kuitoa ccm wazo hilo ondoeni labda muwe kweli mna akili ya NYUMBU mkiamini Lissu anaweza kushinda
Hatuabudu marehemu kwani Nyerere ni nani?
 
Lowasa kwwnza hawezi kukubali, pia yule mwenyekiti wa kudumu hawezi kukubali maana anajua atashugulikiwa sababu ndiye aliye piga pyupyu katundu kaliso. Huvyo msitegemee kama atagombea urahisi sio mrais kama anavyofikiria. Huyu jamaa hata ubalozi wa nyumba kumi hafai. Maana ubunge umemshinda kutwa kucha anawaza kuorganize maandamano hafanyi kazi ambazo wananchi walimtuma akaenda tls ndo kaiua kabisaaaaa, kile chama kimegeuka chama cha siasa, mnataka kuiweka rehani nchi kwa huyu chizi ili aiuze kwa wazungu, shame on you guys mnaosapoti TAL kuwa rahisi kirahisirahisi tu
Kijana mbona unabwabwaja saana kulikon
 
Na kura za urais zibandikwe kwenye kuta tujumlishe wenyewe Tanzania nzima si jiwe anakubalika sio tusubiri tumeccm itupikie matokeo
 
Back
Top Bottom