chikanu chikali
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 1,146
- 1,832
moja kwa moja ktk mada baada ya taarifa kusambaa zikimhusu mhe lissu kugombea uraisi Jana leo mhe rais kaondoa kikokotoo wakati awali wadau mbalimbali walipiga kelele weee lakini alikaa kimyaaaaa kama hasikii
Safi sana lissu naomba uje na mkakati mwingine yaani ukiingia madarakani upandishe mishahara kwa zaidi ya 80% pia madaraja yapande, uhamisho uruhusiwe, ajira sekta zote nk
Yaani kura utapata zaidi ya 70% achilia mbali watakazojaribu kuiba
Watuwanataka kula kwani kuna MTU anakula ndege za bombadia?
Kwani wakat nchi inaharibiwa si ndo hao hao viongozwaliopo walikuwa wabunge, mawazir nk wote wakiwa wa ccm?
Enough is enough safar njema mtetez wa wanyonge TUNDU A. LISSU
Safi sana lissu naomba uje na mkakati mwingine yaani ukiingia madarakani upandishe mishahara kwa zaidi ya 80% pia madaraja yapande, uhamisho uruhusiwe, ajira sekta zote nk
Yaani kura utapata zaidi ya 70% achilia mbali watakazojaribu kuiba
Watuwanataka kula kwani kuna MTU anakula ndege za bombadia?
Kwani wakat nchi inaharibiwa si ndo hao hao viongozwaliopo walikuwa wabunge, mawazir nk wote wakiwa wa ccm?
Enough is enough safar njema mtetez wa wanyonge TUNDU A. LISSU