Tundu Lissu: Nilimpigia simu Rais Samia siku mbili baada ya kuapishwa kwake, bado nasubiri majibu

Tundu Lissu: Nilimpigia simu Rais Samia siku mbili baada ya kuapishwa kwake, bado nasubiri majibu

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu amesema alimpigia simu Rais Samia siku mbili baada ya kuapishwa kwake na ilipokelewa na msaidizi wake. Lissu aliacha ujumbe wa kuomba kukutana na Rais ili waweze kujadili kwa pamoja mageuzi ya kiuchumi na mustakabali wa taifa.

Tundu Lissu amesema bado anasubiri majibu.

Source: Swahilu Times

Nawatakia Dominica yenye baraka!
 
Hawezi kujibiwa.....kamwe...huwezi kuomba kukutana na raisi kwa kauli za kushinikiza na kiburi....
Hivi nyie watu mbona rais huwa mnamchukulia kama Mungu? Hiii mindset ya kipumbavu inatakiwa ifutike vichwani mwenu, rais ni kaajiriwa na raia hapaswi kuogopwa.
 
Hawezi kujibiwa.....kamwe...huwezi kuomba kukutana na raisi kwa kauli za kushinikiza na kiburi....
Ushabiki ukipitiliza unachanganyikiwa. Huyo bwana kaomba, shinikizo latoka wapi? Uamuzi wa rais ni hiari yake, na lini ni uamuzi wake.
 
Back
Top Bottom