johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hahahaaaa.........!Kwa hiyo tundu ni msomi mzuri wa uchumi! Hii kiumbe inajimwambafai sana.
Hahahaaaa....... Source: Swahili Times!Uzi wa kihuni na umeletwa na lihuni.Uzi umeandikwa kwa ufupi na kichonganishi.Kama haujui kumsoma mleta uzi unaweza kudhani ni binadamu kumbe kiumbe tu.ππππππ
Weye ni lihuni tu.Huna lolote.Ukizeeka utakuwa kachawi konkodi!ππππππHahahaaaa....... Source: Swahili Times!
Bora Lisu tunamjua. We umejificha kwenye keyboard unatoa ushauri kwa nchi as if una umuhimu sana nchiniLissu anajidhania ni wa muhimu kuliko alivyo.
Wa muhimu kuliko alivyo labda ni nani kwa mtazamo wako?Lissu anajidhania ni wa muhimu kuliko alivyo.
Hahahaaaa....... Lisu ameomba kukutana na mama!Weye ni lihuni tu.Huna lolote.Ukizeeka utakuwa kachawi konkodi!ππππππ
Kwa hiyo umenuna?Muhuni weye!πππππHahahaaaa....... Lisu ameomba kukutana na mama!
Hahahahahaha nendeni mkaseme kwa mwendazakeKwa hiyo tundu ni msomi mzuri wa uchumi! Hii kiumbe inajimwambafai sana.
Hahahaaaa....... Kwa sasa Ufipa na Lumumba tumekuwa ndugu moja!Kwa hiyo umenuna?Muhuni weye!πππππ
Hivi nyie watu mbona rais huwa mnamchukulia kama Mungu? Hiii mindset ya kipumbavu inatakiwa ifutike vichwani mwenu, rais ni kaajiriwa na raia hapaswi kuogopwa.Hawezi kujibiwa.....kamwe...huwezi kuomba kukutana na raisi kwa kauli za kushinikiza na kiburi....
Udugu haujawahi kufa.Sema ninyi CCM ni vichawi fulani hivi.Mnapaswa kutandikwa bakora za shingo hadi muape kuacha upompompo wenu.ππππππHahahaaaa....... Kwa sasa Ufipa na Lumumba tumekuwa ndugu moja!
Ushabiki ukipitiliza unachanganyikiwa. Huyo bwana kaomba, shinikizo latoka wapi? Uamuzi wa rais ni hiari yake, na lini ni uamuzi wake.Hawezi kujibiwa.....kamwe...huwezi kuomba kukutana na raisi kwa kauli za kushinikiza na kiburi....
Lisu anakumbushia ile ajira aliyoahidiwa na Mwendazake.........hahahaaaa!Udugu haujawahi kufa.Sema ninyi CCM ni vichawi fulani hivi.Mnapaswa kutandikwa bakora za shingo hadi muape kuacha upompompo wenu.ππππππ