Tundu Lissu: Nilimpigia simu Rais Samia siku mbili baada ya kuapishwa kwake, bado nasubiri majibu

Leo umepata bando? hongera sn naona posho imetoka
 
Uzi wa kihuni na umeletwa na lihuni.Uzi umeandikwa kwa ufupi na kichonganishi.Kama haujui kumsoma mleta uzi unaweza kudhani ni binadamu kumbe kiumbe tu.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haya ndy masalia ya mwendazake huyu hana tofauti na Muraga
 
Hivi nyie watu mbona rais huwa mnamchukulia kama Mungu? Hiii mindset ya kipumbavu inatakiwa ifutike vichwani mwenu, rais ni kaajiriwa na raia hapaswi kuogopwa.
Hawa ndy praise and worship wanadhani Rais hana tundu la kutolea uchafu ni kiumbe kutoka juu mawinguni[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Baada ya muamala kusoma naona johny umerudi dimbanišŸ˜‚

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…