Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Leo umepata bando? hongera sn naona posho imetokaMakamu mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu amesema alimpigia simu Rais Samia siku mbili baada ya kuapishwa kwake na ilipokelewa na msaidizi wake. Lissu aliacha ujumbe wa kuomba kukutana na Rais ili waweze kujadili kwa pamoja mageuzi ya kiuchumi na mustakabali wa taifa.
Tundu Lissu amesema bado anasubiri majibu.
Source: Swahilu Times
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Mtanzania yeyote ni wa muhimu acha hizoLissu anajidhania ni wa muhimu kuliko alivyo.
Mwanaccm hawezi kukosa bando manka!Leo umepata bando? hongera sn naona posho imetoka
Mkuu mtoto anaendelea je?Mwanaccm hawezi kukosa bando manka!
Vipi sikukuu ya kurejeshewa faini imemalizika?!!.......hahahaaaa!
Wewe ni mke wa ngapi kwa huyo king?Mkuu mtoto anaendelea je?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haya ndy masalia ya mwendazake huyu hana tofauti na MuragaUzi wa kihuni na umeletwa na lihuni.Uzi umeandikwa kwa ufupi na kichonganishi.Kama haujui kumsoma mleta uzi unaweza kudhani ni binadamu kumbe kiumbe tu.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Usikwepe swali, mtoto uliyezalishwa na mbowe hajambo?[emoji38]Wewe ni mke wa ngapi kwa huyo king?
Hahahaaaa........!
Hawa ndy praise and worship wanadhani Rais hana tundu la kutolea uchafu ni kiumbe kutoka juu mawinguni[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hivi nyie watu mbona rais huwa mnamchukulia kama Mungu? Hiii mindset ya kipumbavu inatakiwa ifutike vichwani mwenu, rais ni kaajiriwa na raia hapaswi kuogopwa.
Akina Chalamila hawaHawa ndy praise and worship wanadhani Rais hana tundu la kutolea uchafu ni kiumbe kutoka juu mawinguni[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ulitaka akutane na baba yako??Kabisa una akili zako unaenda kukutana na Lissu?
Hahahaaaa....... 52!Usikwepe swali, mtoto uliyezalishwa na mbowe hajambo?[emoji38]
Ulipotea sana mtani, kulikoni akaacha watu wakaanza kuzusha?...amuchaHahahaaaa....... 52!
ukiijua wewe bwana maziku inatoshaManka unaijua familia yake?
Teteete, nilikuwa najiandaa kuja kwenye 40 yako kumbe bado upo? hongeraMwanaccm hawezi kukosa bando manka!
Vipi sikukuu ya kurejeshewa faini imemalizika?!!.......hahahaaaa!
Hahahaaaa...... Bado nipo sana tu manka!Teteete, nilikuwa najiandaa kuja kwenye 40 yako kumbe bado upo? hongera
Mwezi mzima hupatikani, chama hakina hela na bahati mbaya upo KatoroHahahaaaa...... Bado nipo sana tu manka!
Ni uratibu wa siku 100 za mama ndio ulituweka busy manka!Mwezi mzima hupatikani, chama hakina hela na bahati mbaya upo Katoro