Tundu Lissu: Nilimpigia simu Rais Samia siku mbili baada ya kuapishwa kwake, bado nasubiri majibu

Huyu naye domo kaya sana! Huwezi kuhitaji jambo hilo na rais na ukawa unapayuka mitaani kiasi hicho. Lissu ajadili uchumi gani? Leo hii anajua uchumi wowote kweli? Yeye kila siku anazungumzia sheria hii na ile ni mbaya. Kwa nini asiwasiliane na Mkiti wake ili kuwa na msimamo wa kichama zaidi?

Eti awe na majadiliano na raisi!
 
Yuko kibinafsi zaidi!
 

Lissu anataka kujadili mageuzi ya kiuchumi kama nani? Hivi huyu mtu mzima kweli? Hivi Lissu aonane na Mh. Rais na anatumika na wazungu huko nje tunajuaje usalama wa Rais wetu utakuaje? Lissu amekuwa taasisi siku hizi? Hivi hawa watu wanafikiria Mh. Rais ni kuchukua simu yako unampigia tu kama mshikaji wake tu anataka kuonane nae waongee mambo ya mageuzi ya kiuchumi? Nosense kabisa, hajui hata jinsi ya kuomba jinsi nzuri ya kumuona Mh. Rais.
 
Ndio njia yake ya kuomba uteuzi hiyo?
 
Unavyojishongondoa utadhani bonge shababi kumbe bwabwa la mombassa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…