..Lissu amefunguliwa makesi mengi sana hapa Tanzania.
..Wameanza kumfungulia makesi tangu miaka ya 90.
..Kama angekuwa msaliti, au ana fanana na tuhuma hizo, watawala [ mkapa, kikwete,magufuli ] wangemfungulia kesi hiyo, au inayokaribiana na hiyo.
..Hii habari ya kumuita msaliti bila ya kumfikisha mahakamani ni jitihada za kumchafua na kumbomoa Lissu ili asiaminike na wananchi. Hiyo ni mbinu ambayo imetumika dhidi ya wanasiasa wengi waliokuwa mwiba kwa serikali.