eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Kwa hiyo umeshindwa kutofautisha wakati wa sasa na wakati uliopita?
Ameeleza wazi kuwa aliwahi, siyo kuwa anafanya kwa sasa.
Hata hivyo, Tundu Lissu ndiye aliyeshurutisha mikataba ivunjwe kwa nguvu?
Shida ya tundu ni kuwa anaonekana kuburudishwa na namna anbavyo nchi yetu inavyopewa kibano. Halafu hata siku moja haoneshi kushauri kama kuna remedy yoyote, licha ya kuwa kuna makosa yalifanyika. Sasa sisi wazalendo wa kweli na wafia nchi tunaumia. Nchi inauma bro wee acha tu.
Halafu yee lisu anashangilia, ndiyo maana machungu yanatupanda.