Teknohama kwa nyakati za sasa ukijituma unaweza kufanya mambo makubwa.Asante ndugu...
Laiti tungekuwa tunajuana, huwezi amini kuwa mimi sijui kabisa ABC za Journalism, sijwahi kuingia darasa la shule ya uandishi wa habari.....!!
Ni kweli kuna watu wanajipa moyo kwa kuwa wanamiliki mabomu na vidunguaji. Lakini wanajiuliza Lissu anapata nguvu wapi?? Kuna wakati hata naogopa.
Kwani kampeni tayari? Yeye hapigi kampeni bali anatafuta wadhamini Kwanza usiwe na kiherehere.Sijasikia akisema atawafanyia nini watanzania. Lissu sio mtu sahihi kupambana na Magufuli. Magufuli alihitaji mtu kama lowassa wa 2015.
Kwani mwanzo kabla ya kupigwa risasi si ililuwa hivihivi na baadaye ilikuwa gia?Hilo gia la vitisho ushafanya mtaji wabkisiasa
Kwani mlipomkosa mlitaka kumuua kwa lipi?Uuawe kwa kipi ulichonacho
Kila kipindi cha uchaguzi kunatolewa "taratibu za uchaguzi". Hulijui hilo dogo? Mbona viongozi wako walihudhuria kikao cha maelekezo? Hawakuwaambia?
Kati ya LISSU na wewe 🐖👷nani amepoteza mwelekeoLisu ni mtu muhuni tu na anatumia siasa kutengeneza pesa za uzeeni badala ya kutumia sheria aliyo isomea kufanya kazi zake ili apate mkate
Yamkini wazungu wanamsikia yote anayosema ili wampe pesa,na yeye anaropoka tu akijua yupo kazini kuwatumikia washenzi wa huko alikokua maana watakua wamemfadhili kwa makubaliano ya kuja kuwalipa mali ya sisi wananchi
Wananchi wengi hawapendi kufikiri kwa kina juu ya kauli zake na kauli zao kama upinzani miaka ya nyuma,wananchi wengi wanaona Rais husika jinsi anavyo wapambania lakini wanakua kama wamerogwa fulani hivi hawajielewi.
Ukipita vijiweni ukasikia wapenzi wa Lisu wanavyo muongelea mpaka unawahurumia na kuona wazi kabisa akili wanazo lakini hazifanyi kazi sawa sawa.
1. Walivyowahi kuvipigia kelele kama upinzani, vilivyo vingi ndivyo anavyo fanya Magufuli, na si kwamba serikali na chama chao husika hakikua kinajua bali kila jambo hua lina wakati na mipango kazi wanayoifanya ya miaka 15 kwa mujibu wa kauli ya Kikwete..Yanakwenda yanatekelezwa kulingana na muda sahihi na baada ya kukusanya mapato ya nchi, lakini wao leo wamegeuka na kuponda tena kile walicho wahi kukipigia kelele
2. Tundu Lisu amekua kama amechanganyikiwa
(a)-: hatuelezi atatufanyia nini wananchi na badala yake analalamika tu
(b)-:anaonyesha wazi ana hasira tu na Magufuli bila sababu ya msingi kwa wananchi na kujiosyesha wazi ana ulafi tu wa mamlaka kwa kutaka sifa na heshima pia kukusanya pesa za maisha yake ya baadae maana anajionyesha wazi ni mwenye tamaa
3. Hana talanta ya kuongoza nchi. Hii inahitaji akili kumuangali mtu mwenye amebarikiwa kua kiongozi wa nchi au watu kuchagua mtu asiye na chochote kwao,huyu hana baraka yoyote mbele za MUNGU kuongoza uma wa nchi hii.
NB: Naamini kabisa anajua kua hataweza kua Rais isipokua anafanya kwa maslahi ya kujipatia kipato kupitia fikra finyu za watu wanao mshabikia na kupata pesa kupitia wafadhiri wake washenzi..ikumbukwe kua ataangushwa vibaya maana siasa haiko kwenye twitter,iko kwa wananchi 85% kama si 90% ya wananchi wanaosubiri siku ya kupiga kura,wananchi tunaoona alichosema Tundu Lisu huko youtube, Twitter na humu jf ni thelusi tu ya wananchi wote ambao wanamuona Magufuli kila siku huko kwao akisimam na kutatua kero zao
Mwenye ataghafirika namuomba achukue viwembe kama vitatu hivi akatekate kisha ameze na glass moja ya maji atulie asubiri kifuatacho
Kuna vijana hawana ajira zaidi ya million tano. Hao tukiwa re-cruite to kutakuwana jeshi kubwa la waasi na lazima tuwamwage mavi. Na waliopotezwa wote mtawatafuta. maninaLisu naweweseka sana, amepania sana kuwa rais , hata kwa damu za watanzania lazima hawe rais, yupo tayari kuongea lolote lile hili international media zimpe attention achafue nchi mataifa makubwa yamsaidie kumkabidhi nchi. He will never archive that...
Kwisha habari yako!Uza ubongo huo maana unakaa na hasara we mtoto.
Mungu yupo nasi. Kila hila yake, haitafanikiwa kabisa.Lisu naweweseka sana, amepania sana kuwa rais , hata kwa damu za watanzania lazima hawe rais, yupo tayari kuongea lolote lile hili international media zimpe attention achafue nchi mataifa makubwa yamsaidie kumkabidhi nchi. He will never archive that...
Blind mind. Hao utakao wamwaga mavi kwa sababu ya tundu Lissu wapo pia ndugu na jamaa zako, shame on you.Kuna vijana hawana ajira zaidi ya million tano. Hao tukiwa re-cruite to kutakuwana jeshi kubwa la waasi na lazima tuwamwage mavi. Na waliopotezwa wote mtawatafuta. manina
Subiri Ilani ya Chadema wewe mataga ..kuna jitu litakufa..Elimu chuo kikuu bure na wote waliohitimu wanafutiwa mkopo bwa bwa bwas
Sijasikia akisema atawafanyia nini watanzania. Lissu sio mtu sahihi kupambana na Magufuli. Magufuli alihitaji mtu kama lowassa wa 2015.
Alimnusuru ili aone maendeleo kwa macho yake mwenyewe pia ili aone kama tutashitakiwa MIGA alivyokuwa anawadanganya watz.Huyu mtu Mungu alimnusuru kuuawa kwa mpango maalum , si bure .
Wakati wewe unalia ukichomwa sindano zahati...grow up uwe mwanaumeKwa kweli hana kitu ndio maana akapigwa risasi 16. Zile risasi 16 zilikuwa si za kumuua. Auwawe ana nini?
Huu siyo muda wa kampeni, ni wa kutafuta wadhamini. Toka Lissu achukue fomu naona unawashwa sana. Wacha upumbavu. Hao wengine kila uchao wanaahidi mengi lakini sasa yapata miaka 50?! Zaidi ya ku-mentain yale yaliyoachwa na wakoloni? Elimu ya kikoloni, reli ya mkoloni, miundo mbinu ya maji, barabara na umeme ya mkoloni za mkoloni, Dansi za maneno ya hovyo za akina Diamond ni za Kibeberu, usafiri wa anga wa kibeberu, biashara ya exchange ya vitu kwa pesa za waoloni. Nyie mewafanyie nini sasa watanzania?! Shenzi kabisa. Wadanganyeni wa huko.Sijasikia akisema atawafanyia nini watanzania. Lissu sio mtu sahihi kupambana na Magufuli. Magufuli alihitaji mtu kama lowassa wa 2015.
Hiyo mipango yenu hamtokaa mfanikiwe kamwe, tutasimama imara na taifa letu na viongozi wetu wazalendo, Na hakitoka magufuli tunaingiza chuma kingine mwendo ni huu huu kuiletea nchi maendeleo na kulinda watu wetu na hila za watu kama wewe na lisu.Kuna vijana hawana ajira zaidi ya million tano. Hao tukiwa re-cruite to kutakuwana jeshi kubwa la waasi na lazima tuwamwage mavi. Na waliopotezwa wote mtawatafuta. manina
Free and Fair election principal..Why not?