Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nimepokea vitisho vya kuuawa. Wanachama wawasindikize wagombea Ubunge na Udiwani kuchukua fomu NEC

Nonsense
 
Huo nimtizamowako waajabuajabu, yeye magu anapoongea kwakukosoa anatafuta Nini Kama si kushawishi wananchi. Unadhani utapata ufadhili bila kuwa na sera inayoonyesha wapi pamekosewa na Nini utafanya ili makosahayo yasijirudie kwafaida ya Taifa,fikeni mahala muache kuwapandikiza chuki watu badala yakuwahamasisha watafakali na Kisha uchaguzi uishe kwaamani namafanikio

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Sijasikia akisema atawafanyia nini watanzania. Lissu sio mtu sahihi kupambana na Magufuli. Magufuli alihitaji mtu kama lowassa wa 2015.
Kampeni bado subiri utamsikia tu, hata ilani ya uchaguzi ya chama chake bado hajakabidhiwa rasimi kuifafanua kwa umma. Subiri, akifanya sasa hivi atakuwa anavunja sheria upo?
 
Vyombo vya dola tunaomba muwe making tafadhali

Lissu ana haki ya kuishi nchi kitisho chochote dhidi ya uhai wake Ni ufedhuli

Hatutaki yajirudi hao wahuni wanaichafulia nchi yetu taswira huko nje

Safari hii kateeni kutumika vibaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahahahahahah! Safari hii hayo maboksi msiyakubali! Ahahahahahaha! Ila ujue na sie ni wapiga kura na tunajuana!

TUKUTANE OKTOBA 28!
 
LISSU: NAPOKEA TAARIFA ZA VITISHO.

VYOMBO VYA USALAMA MNA WAJIBU WA KUWADHIBITI WAHUSIKA

- Lissu amesema tangu kupigwa risasi Septemba 2017 hawawezi kupuuzia kitisho chochote

- Amesema huu sio muda wa kutishana tena bali ni muda wa Uchaguzi

 
Africa ni bara la giza .

Waridhike kuwa na madaraka mambo ya kuumizana na kuuana ni upuuzi . Kwani hata wao hawataishi milele
 
Asante Lissu,Ujinga sasa basi!!!Mungu aendelee kukulinda,Pombe lazima imwagwe chini.
 
Ahahahahahah! Safari hii hayo maboksi msiyakubali! Ahahahahahaha! Ila ujue na sie ni wapiga kura na tunajuana!

TUKUTANE OKTOBA 28!

Kama na nyie ni wapiga kura, kipi kiliwafanya mnajisi chaguzi za marudio na uchaguzi wa SM?
 
Kila Mtu anachake
 
Mmekazana mataifa ya nje mataifa ya nje. Kwani kuomba kuwa Rais wa nchi ni dhambi isiyosameheka ?!. Urais ni kazi kama kazi nyingine. Waacheni WaTz wenye uwezo waombe kwa wananchi kazi .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…