erasto Samwel
Member
- Sep 10, 2024
- 78
- 91
Hilo la fedha ya chama kupelekwa ngazi za chini safi sana.na huko chini ndiko kwenye kazi sio huko juu kwenye matamko tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UWT mbona mmefurahi sn?Nyumbu mmechafukwa na LiSU. Ndio kwanza asubui mkiambiwaga CCM milele amina mauwa muwe mnaelewa.!!!!
Nikumbushe.Few months ago, I told you what could happen, yet you became stiff necked.
Resistance to changeHe is dong worse in politics coz there is a saying that if you do good in class, you are likely to do good also in all aspects. The fact that Lisu did bad in class, there is no miracle for him to do good in politics. These things are sequencial and simultaneous
Au ataanzisha chama chake: Chama cha Catiba na Maendeleo (CCM).Sasa ndio kifo cha chadema kinakuja
Because, utawala hauwezi kukubali lissu awe mwenyekiti
Na lisu akikosa hiyo nafasi lazima ataondoka chadema kwenda kuanzisha Chama kingine au ataenda Kwa Zitto
He is the ONE for CHADEMA and for Tanzania at this time.Nawashukuruni wote kwa kuitikia wito wangu wa kuwa pamoja nami katika siku hii ya leo.
Tundu A.M. Lissu MTIA NIA
As if you know anything about what you're writing about; which is totally nonsense!He is dong worse in politics coz there is a saying that if you do good in class, you are likely to do good also in all aspects. The fact that Lisu did bad in class, there is no miracle for him to do good in politics. These things are sequencial and simultaneous
Sijui kwa nini unahangaika sana namna hii siku hizi, hata aibu huna!Mimi na Wewe anayeteseka ni nani? 😂
Nimekumbusha tu hata Mchungaji Msigwa alianzaga na vipress hivi hivi
We pimbi kweli hii comment ni Baada ya Mwenyekit Lisu kuongea Mlimani City?Sijui kwa nini unahangaika sana namna hii siku hizi, hata aibu huna!
Kama kawaida yako, badala ya kuchambua yaliyo semwa na Tundu Lissu, ujuzi wako unaishia kwenye kuingiza vihabari ambavyo ni nje kabisa ya mjadala husika.
Hii ndiyo sifa pekee inayo kupambanua humu JF kwa muda mrefu.
Okay, sijaona komenti baada..., ipo wapi?We pimbi kweli hii comment ni Baada ya Mwenyekit Lisu kuongea Mlimani City?
Bure kabisa wewe
Mimi nimeongea na Nyalusi Boss wa Chadema Iringa mjini kwa Simu na nimempa Pongezi zangu aziwasilishe kwa Mwenyekiti Mpya mh Tundu LisuOkay, sijaona komenti baada..., ipo wapi?
Mkuu 'John' tutakwenda taratibu hivyo hivyo, mradi tu tufike salama na Tanzania yetu hii. Hili ndilo la muhimu kuliko yote.Mimi nimeongea na Nyalusi Boss wa Chadema Iringa mjini kwa Simu na nimempa Pongezi zangu aziwasilishe kwa Mwenyekiti Mpya mh Tundu Lisu
Hapa JF Uzi ulivyofunguliwa wa Press mubashara sijaondoka hadi Press ilivyoisha 😂😂😂
Nipe maono mawili tu ya Samia Suluhu Hassan.To be honest....... namuheshimu sana Tundu Lissu lakini binafsi Lissu anafaa zaidi kwenye nafasi ya utendaji na si kuwa kiongozi top........ issues kama decision making naona ni mtu ambaye hana utulivu sana kuongoza taasisi kama chama kwasababu hana breki.Mimi Tundu huwa namaanisha na JPM kwenye baadhi ya mambo (naweza kukosolewa pia).Kuwa mbeba maoni wa taasisi si jambo dogo,na wengi huwa wanamlaumu lakini namna Freeman anavyotumia busara kuifikisha chadema hapa,anapaswa kutoonekana mjinga, binafsi namuona Lissu akiwa chini ya mtu anakuwa mtu bora zaidi.. Ningekuwa mshauri wa Mbowe ningemuomba apumzike asigombee kabisa kwasababu legacy yake ni kubwa