Kama kamati ya Maccm iliyoundwa inasema ILETEMIKATABA ya gesi ,madini na Mafuta bungeniLissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa
Ha ha ha, umeanza kuweweseka. Dhambi ya kubadili gia angani imewatia "kabali" hadi kaburini.Na maraisi wakiwa wa kutoka Chadema
Huna tofauti na walinzi Wa bibi Wa kisiwa cha nginingi au nimiongoni Wa " An animal farm"Lissu is a classic example of a loose cannon. Watu kama Lissu ni wazuri sana kuongea lakini ukimkabidhi zizi mifugo yote itakufa kwa funza. He will do nothing apart from lecturing the planet earth. No wonder baada ya miaka 8 alikuwa matapishi, shamelessly.
Ccm ndio wametufikisha hapa tutalipa hilo deni na wananchi tumeamua kuitoa ccm kwa khali yoyote hata kwa upande wa pili.2020Tundu Lisu anajichekesha tu, wangapi zamani walikua wazalendo ila sasa wamebadilika, Tundu Lisu wa Chadema ni mnafiki mnafiki, tofauti na Lisu wa zamani.. Sasa hivi yupo chini ya Mbowe.. Ni sawa na utake Polepole wa Bunge la katiba awe na wa sasa sawa
Unadhani ukitetea uninga udas utaupata,ninyi Hanna tofauti na yule binti Wa kwenye kitabu cha Mine boyukitaka kujua Tundu Lissu ni tahira hebu angalia anacho kiongea na sisi tunacho kiongea ni tofauti.
Yeye anafikiri watu wengi wana kataa kusafirishwa kwa mchnaga kumbe kikubwa kinachopingwa ni udanganyifu kwenye kilichomo kwenye mchanga... yeye alishawai kusema mikataba hii ni ya usiri sasa anaongelea nini kitu ambacho hajawai kukiona? hivi hiyo mikataba ndio inasema kuwa wawe wanadanganya kuna kiasi fulani cha dhahabu?
Hivi Tundu Lissu utahira atapona lini? Hata ACCACIA wanajua concern ya serikali ni kuhusu kiasi kilichomo kwenye mchanga au makanika na wao wanataka upimwe tena...
Lakini Tahira Lissu anapinga utafiti kwa tumbo na mdomo tuuu...
Mwenzie Zitto amenyamaza na kusema wazi kuwa utafiti hupingwa kwa utafiti..
Waste" ni ile inayopitisha mikataba ya kijinga na mpumbavu kama wewe unashangilia halafu unageuzwa akili kuwa tunaibiwa wakati madhara ya mkataba mbovu unajua.Kama nyie ndio wasomi wa upinzani mliobobea basi mwenyezi Mungu atunusuru mtakaposhika dola.
What a waste.
Ndio maana ccm tunaonekana ka maboya, Lowasa aliikuwa kwetu MSAFI, kaenda opposition mbaya, basi si kafungue kesi mahakama ya mafisadi? Kina yakhe hawana cha kupoteza ila ni kweli ccm ndio iliyotufiksha hapa, hatuchomoi.Lissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa
Wasomi mweeee ,,,,Tanzania itakuwa a "basket of cake" wengine hatujui na hatuelewi kingreza tunaoma utfafanulie una maanisha Tanzania itakuwa nini????Trol JF njoo, Lizaboni njoo, cocochanel njo, & Co. Ltd.
Kama utafiti wa kisayansi unachukua miezi miwili tu kutoa majibu ya uhakika hilo ni ajabu la nane ulimwenguni. Kwanza hakukuwa na sababu ya utafiti, tatizo linajulikana wazi toka 1998. Ni MIKATABA, MIKATABA NA NI MIKATABA period. To try to solve the problem of the moment by proposing a solution of non existent problem is no solution at all.ukitaka kujua Tundu Lissu ni tahira hebu angalia anacho kiongea na sisi tunacho kiongea ni tofauti.
Yeye anafikiri watu wengi wana kataa kusafirishwa kwa mchnaga kumbe kikubwa kinachopingwa ni udanganyifu kwenye kilichomo kwenye mchanga... yeye alishawai kusema mikataba hii ni ya usiri sasa anaongelea nini kitu ambacho hajawai kukiona? hivi hiyo mikataba ndio inasema kuwa wawe wanadanganya kuna kiasi fulani cha dhahabu?
Hivi Tundu Lissu utahira atapona lini? Hata ACCACIA wanajua concern ya serikali ni kuhusu kiasi kilichomo kwenye mchanga au makanika na wao wanataka upimwe tena...
Lakini Tahira Lissu anapinga utafiti kwa tumbo na mdomo tuuu...
Mwenzie Zitto amenyamaza na kusema wazi kuwa utafiti hupingwa kwa utafiti..
Hamna mkuu huo ndo ukweli.....ccm wanapiga tu makofi bungeni, bajeti zingine wanapitisha kwa kuhongwa. Zingine wanaitwa na chama kupewa msimamo wkt wanajua kuwa ni sheria za hovyo na za uongo...Punguza jazba broo, composure
Kwahiyo yaendelee kukubali hata kama anajua alifanya kosa?Mbona jibu unalo tena rahisi sana yani ukubali kwa mikono miwili halafu unakuja kupinga kirahisirahisi ilihali unajua Madudu ambayo yamefanyika yanaathiri vizazi na vizazi na gharama yake ni kubwa na unawadanganya watanzania kuwa una uchungu wakati nawe ni sehemu ya matatizo hayo..wanafiki siku zote huwa wapo pamoja
Akavunje mkatabaKwahiyo yaendelee kukubali hata kama anajua alifanya kosa?
Wewe ni pumba kabisa umepigwa upofu wa machoLissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa
mmempa heche sumu, mimi hamnipati, ila ukweli nitawapaWewe ni pumba kabisa umepigwa upofu wa macho
ugumu wa maisha ni kipimo cha akili, hacha kulalamika kama lissuNdio maana ccm tunaonekana ka maboya, Lowasa aliikuwa kwetu MSAFI, kaenda opposition mbaya, basi si kafungue kesi mahakama ya mafisadi? Kina yakhe hawana cha kupoteza ila ni kweli ccm ndio iliyotufiksha hapa, hatuchomoi.
hoja si kumjua lissuu. hoja lissu ni mnafiki tangu kuzaliwa ndo maana Rais mkapa alitaka amkamate, akakimbia nchi, akarudi akaingia chadomo, mnafiki sanaa, mfuatilie vizuriNakuuliza tena umemjua lissu lini?
Mie nimeanza kumjua tangu 1990s kwenye harakat zake za.kutetea watu huko migodini.Isije ikawa umemjulia Chadema mzee?Kuwa wazi tu
Unamsifia NKAPA alotufikisha hapa ambapo JPM analia?hoja si kumjua lissuu. hoja lissu ni mnafiki tangu kuzaliwa ndo maana Rais mkapa alitaka amkamate, akakimbia nchi, akarudi akaingia chadomo, mnafiki sanaa, mfuatilie vizuri