Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa

Hivi unataka majibu au una lako jambo? Lissu hakuwa Wakili wa Barrick. Kwanza alikuwa akitaka kumwakilisha yule Mwanyika wa Acacia aliyewekwa ndani kwa uhujumu uchumi na madai ya acacia kukwepa kodi na kwamba ni kampuni ambayo haikusajiliwa.
Unajielewa kweli ama umeamua kuandika tu. Kwa nini atake kuwakalisha wahujumu uchumi wakati yeye alikuwa muwakilishi wa wananchi tayari? Aliacha kazi za kibunge na kufanya za kilaghai?
 
Hili swali ni gumu mno kwa cdm. Utaambulia matusi na kejeli lakini wa kukujibu hakuna.
Lissu alikua anatumiwa na mabeberu na pale alikua kazini kuwatetea mabeberu harafu leo anautaka urais. Nitapiga kampeni chumba kwa chumba kumtetea Magufuli.
Hadi sasa sioni jibu. Wakishindwa wakamulize waniletee.
 
La muhimu gani magufuli alilofanya wewe uvccm, yaani kuzuia makapi ya makinikia huku wazungu wakiendelea kujibebea dhahabu pure ndo ushujaa?
Huwa napenda jibu la moja kwa moja.

Magufuli kafanya mengi sana katika taifa hili. Baada ya 2025 utamkumbuka.
 
mizuzu kama wewe ndio inafanyaga watanzania tuonekane vilaza! lissu kuonya kuwa "tutashitakiwa" ni utetezi???" HUNA AKILI
Naomba jib tok kwako mwenye akili. Ukishindwa basi nawe huna akili.
 

Hujapata jibu kwasababu hakuna ushahidi wala record ya Lissu kutetea Barricks na ndiyo maana hujibiwi.

Lissu kabla hata ya kuwa mbunge alikuwa wakili wa kutetea haki za wananchi wanaokaa kwenye machimbo miaka ya Uraia wa Mkapa kaulize watu kule Musoma na Mwanza. Hivyo sio tu alikuwa hawa tetei Barricks lakini alikuwa anawatetea wananchi kiasi kwamba alifunguliwa kesi wakati wa Mkapa! Sasa sijui wewe unatumia nini mpaka kichwa chako kiwe kizito hivyo
 
Sijui kama bado unasoma huu utopolo wako.
 
Umekuwa mwepesi wa kusahau sana. Tutakukumbusha kama utataka.
 
La muhimu gani magufuli alilofanya wewe uvccm, yaani kuzuia makapi ya makinikia huku wazungu wakiendelea kujibebea dhahabu pure ndo ushujaa?
Sasa ulitaka wabebe dhahabu bandia! Wamewekeza ili wasibebe chochote?
 
Leo Magufuli anajifanya mzalendo na anahoji uzalendo we yeyote anayepingana nae.
Ni muongo. Anatafuta umaarufu wa kisiasa kwa wasiojua na wasiokumbuka. Ataupata. Kwa siku chache tu. Mark my words: ataumbuka na mtaumbuka.

#NIYEYE #LISSURAIS2020. ✌🏽✌🏽
 
Uzalendo wa mtu ni yule anayeweza kuwapenda hata maadui zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitukana haisaidii
Kusema mtu anawaza kama "nyumbu" ni tusi na sio fact kwamba haijawahi kuwa mwanasheria wao? Kwani alichokuwa anaongea hadharani kuwatete alikuwa anafanya hivyo kama Mwanasheria wao au mwanasiasa, naomba unieleweshe inawezekana in this instance Mimi nimefikiria au kuandika kama "nyumbu"
 
Hivi siku hizi tumekuwa kama Zimbabwe?? Alitabiri mwanaharakati Moja
 
Lisu ni nyoka na nyoka hana rafiki, ni mwendo wa kumbonda kichwa tu mpaka achakae
Yeye anajiona bi bora kuzidi watu wengine?
Anataka muungano na zito sasa yeye ajishushe amsapoti membe basi, kwani ni.lazima awe yeye?
 
Sasa ulitaka wabebe dhahabu bandia! Wamewekeza ili wasibebe chochote?
Ndo naonyesha upumbavu wa babu yenu hayo makapi aliyozuia pale bandarini alisema yana dhahabu nyingi wanatorosha hao BARICK, ndo sasa nasema kama lengo lilkuwa kuzuia dhahabu babu yenu kachemka make dhahabu zinaijiwa na ndege palepale mgodini, umeelewa sasa uvccm?
 
Duuh, asante kwa kuufukunyua uzi huu...

Unatukumbusha mbali sana na habari mbaya kumhusu kamanda wa mapambano haya, Tundu Lissu...

Hili andiko aliliandika miezi mitatu kabla hawajamgaragaza kwa bunduki za kivita za SMG na AK47 kama wanapiga tembo vile....

Duuh, Magufuli is a beast and a murderer. He doesn't deserve any respect until he repents his all atrocities he commited....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…