Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nitalipa malimbikizo ya wafanyakazi yote kuanzia 2015 - 2020

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nitalipa malimbikizo ya wafanyakazi yote kuanzia 2015 - 2020

Mlizoea kupiga pesa za serikali mamfikili ninyi ndo wajanja sana?
Sisi tunatozwa kodi kwa ajili ya maendeleo lakini nyie binafsi ndo mnaendelea wananchi tunabaki na shida.
Jengeni nchi kwanza
Tazama ulivyo na wivu wa kike, sasa sheria zilitungwa kwanini?
Hapa tunazungumza stahiki za kisheria, zilizoidhinishwa na kutekelezwa kwa miaka yote isipokuwa awamu hii

Hapo unajijuta kufurahia wenzako kukomolewa, wakulima wa korosho nao walizoea kupiga nini?
 
Tazama ulivyo na wivu wa kike, sasa sheria zilitungwa kwanini?
Hapa tunazungumza stahiki za kisheria, zilizoidhinishwa na kutekelezwa kwa miaka yote isipokuwa awamu hii

Hapo unajijuta kufurahia wenzako kukomolewa, wakulima wa korosho nao walizoea kupiga nini?
Kama mnajua ni za lazima mbona hamjaenda mahakamani?
 
Tundu Lissu anasema atalipa malimbikizo yote ya mishahara na kupandisha vyeo vyote vilivyosimama toka mwaka 2015 mpaka leo 2020.

Anasema lazima wafanyakazi walipwe fidia na Serikali yake.

Anasema atawalipa pia fidia wote waliofukuzwa kazi na Serikali ya CCM ndani ya hii miaka 5.

Anasema atarudisha makato ya loan board kutoka 15% na kuwa 3%

Na yatakuwa kwa wale tu watakao kuwa na kazi za kueleweka ndani ya serikali yake.

Anasema atafumua mfumo wa elimu ili utoke kwenye kujibu mithihani na kuwa elimu ya maarifa na kujitegemea na kuajirika kirahisi.

Anasema ataifumua TRA na kuanzisha mfumo wa Kodi moja ili nchi zote zilizo tuzunguka zije kununua bidhaa bandarini na kwenye maduka yetu ya ndani.

View attachment 1552154View attachment 1552155
Hayo yote ni kutaka kuonekana kwamba amesema kitu. Wote tunafahamu kabla ya 2015 wafanyakazi wa serikali walikuwa wanakaa miezi bila kulipwa mshahara. Siyo kwamba mshahara umecheleweshwa bali hulipwi kabisa kwa miezi kadhaa. Waalimu walikuwa kati ya waathirika wakuu. JPM alipoingia madarakani alikomesha hilo, akalipa malimbikizo yote ya wafanyakazi waliokuwa hawajalipwa, na hivi sasa mfanyakazi wa UMMA analipwa siku husika bila kucheleweshwa. Ni wazi hii ilikuwa kazi nzito na mtu mwenye akili timamu hatashindwa kuelewa kusuasua kwa upandaji wa vyeo. Si hivyo tu; elimu imekuwa bure mpaka Kidato cha Nne. Hilo nalo ni gharama kwa serikali. Kuzungumzia kupanda cheo baada ya kuona yaliyofanyika kuhusu watumishi wa Umma ni ubinafsi.

Kuhusu kulipa fidia kwa waliofukuzwa kazi, haiingii maanani. Unafukuzwa kazi kwa kuwa ni mhalifu na kuna sheria zinazo elekeza jinsi ya kufanya hilo.. Sasa unataka kiki kwa wahalifu? Kama kuna aliyeonewa kwa kufukuzwa isivyo kihalali, hilo ni jambo jingine ambalo mhusika anapaswa kwenda kwenye Mahakama ya Kazi. Tusitafute kiki kwa wahalifu.
 
Chadema ina mfumo wa kupiga pesa ndiyo maana wamepiga hata pesa za wabunge wao walizochanga kwa ajili ya uchaguzi sasa wamebaki kuomba pesa kwa watz wanaohudhuria mkutanoni. Mimi leo niligoma kuchanga eti Faru John anatufundisha jinsi ya kutuma pesa toka Mpesa kwenda kwenye akaunti yao ya CDM2020 anataka azipige tena kama alivyozipiga za wabunge wao. Lissu rekebisha mfumo wa kipigaji kwa Saccos ya Chadema kama kweli uko serious!
CCM wamepiga pesa za SGR mpaka ujenzi unanda kusimama huku CAG hajawahi kukagua mahesabu ya CCM maana yamejaa wizi mwingi itokee siku apite huko wataenda kukanatwa mpaka wastaafu akina kinana makamba Nape na wenzao.
 
Tuliza kichwa, Chato ni tanzania.
Unaweza kutembea bila bughudha huko chato na sio kwa mabeberu
CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa Upumbavu wa CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu
 
Hayo yote ni kutaka kuonekana kwamba amesema kitu. Wote tunafahamu kabla ya 2015 wafanyakazi wa serikali walikuwa wanakaa miezi bila kulipwa mshahara. Siyo kwamba mshahara umecheleweshwa bali hulipwi kabisa kwa miezi kadhaa. Waalimu walikuwa kati ya waathirika wakuu. JPM alipoingia madarakani alikomesha hilo, akalipa malimbikizo yote ya wafanyakazi waliokuwa hawajalipwa, na hivi sasa mfanyakazi wa UMMA analipwa siku husika bila kucheleweshwa. Ni wazi hii ilikuwa kazi nzito na mtu mwenye akili timamu hatashindwa kuelewa kusuasua kwa upandaji wa vyeo. Si hivyo tu; elimu imekuwa bure mpaka Kidato cha Nne. Hilo nalo ni gharama kwa serikali. Kuzungumzia kupanda cheo baada ya kuona yaliyofanyika kuhusu watumishi wa Umma ni ubinafsi.

Kuhusu kulipa fidia kwa waliofukuzwa kazi, haiingii maanani. Unafukuzwa kazi kwa kuwa ni mhalifu na kuna sheria zinazo elekeza jinsi ya kufanya hilo.. Sasa unataka kiki kwa wahalifu? Kama kuna aliyeonewa kwa kufukuzwa isivyo kihalali, hilo ni jambo jingine ambalo mhusika anapaswa kwenda kwenye Mahakama ya Kazi. Tusitafute kiki kwa wahalifu.
Story ndefu isiyo na point hata moja inaelekea wewe ni mnufaika wa mfumo kandamizi ndiyo maana umejitoa fahamu kutetea udhalimu wa Serikali yako ya kishetani kidikteta na uonevu.
 
Hayo yote ni kutaka kuonekana kwamba amesema kitu. Wote tunafahamu kabla ya 2015 wafanyakazi wa serikali walikuwa wanakaa miezi bila kulipwa mshahara. Siyo kwamba mshahara umecheleweshwa bali hulipwi kabisa kwa miezi kadhaa. Waalimu walikuwa kati ya waathirika wakuu. JPM alipoingia madarakani alikomesha hilo, akalipa malimbikizo yote ya wafanyakazi waliokuwa hawajalipwa, na hivi sasa mfanyakazi wa UMMA analipwa siku husika bila kucheleweshwa. Ni wazi hii ilikuwa kazi nzito na mtu mwenye akili timamu hatashindwa kuelewa kusuasua kwa upandaji wa vyeo. Si hivyo tu; elimu imekuwa bure mpaka Kidato cha Nne. Hilo nalo ni gharama kwa serikali. Kuzungumzia kupanda cheo baada ya kuona yaliyofanyika kuhusu watumishi wa Umma ni ubinafsi.

Kuhusu kulipa fidia kwa waliofukuzwa kazi, haiingii maanani. Unafukuzwa kazi kwa kuwa ni mhalifu na kuna sheria zinazo elekeza jinsi ya kufanya hilo.. Sasa unataka kiki kwa wahalifu? Kama kuna aliyeonewa kwa kufukuzwa isivyo kihalali, hilo ni jambo jingine ambalo mhusika anapaswa kwenda kwenye Mahakama ya Kazi. Tusitafute kiki kwa wahalifu.
Na wewe unajiona umeongea point hatari?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Kabla ya 2015 hakuna mtu alikuwa halipwi mshahara wake, hakuna!
Mzee JK pamoja na madhaifu yake machache, lakini HAKUWAHI kuwa katili kwa viwango vya baada ya 2015!

Mzee wangu amestaafu tangu mwaka Jana August 2, mpaka leo bado hajapewa pesa zake, afu unakuja kuropoka ropoka hapa!
 
Tundu Lissu anasema atalipa malimbikizo yote ya mishahara na kupandisha vyeo vyote vilivyosimama toka mwaka 2015 mpaka leo 2020.

Anasema lazima wafanyakazi walipwe fidia na Serikali yake.

Anasema atawalipa pia fidia wote waliofukuzwa kazi na Serikali ya CCM ndani ya hii miaka 5.

Anasema atarudisha makato ya loan board kutoka 15% na kuwa 3%

Na yatakuwa kwa wale tu watakao kuwa na kazi za kueleweka ndani ya serikali yake.

Anasema atafumua mfumo wa elimu ili utoke kwenye kujibu mithihani na kuwa elimu ya maarifa na kujitegemea na kuajirika kirahisi.

Anasema ataifumua TRA na kuanzisha mfumo wa Kodi moja ili nchi zote zilizo tuzunguka zije kununua bidhaa bandarini na kwenye maduka yetu ya ndani.

View attachment 1552154View attachment 1552155
Shituka Kataa Kudanganywa!
 
Sasa Takukuru Uhamiaji wameungana na Polisi kuwabambikia kesi wapinzani ili wagombea wa CCM wapate njia za kujitangaza kuwa wamepita bila kupingwa , ni style mpya ya kishetani na haramu, CCM ni ile ile
 
Na wewe unajiona umeongea point hatari?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Kabla ya 2015 hakuna mtu alikuwa halipwi mshahara wake, hakuna!
Mzee JK pamoja na madhaifu yake machache, lakini HAKUWAHI kuwa katili kwa viwango vya baada ya 2015!

Mzee wangu amestaafu tangu mwaka Jana August 2, mpaka leo bado hajapewa pesa zake, afu unakuja kuropoka ropoka hapa!
Tatizo la CCM wamempa Tenda cyprian Musiba na Le mutuz kuandaa watetezi wao Mitandaoni ambao kwa 99% wanakaririshwa ufala wa cyprian Musiba ndiyo maana utetezi wa CCM mitandaoni hufanana.
 
Shituka Kataa Kudanganywa
View attachment 1554022
a!
Maendeleo siyo Hisani za CCM maendeleo siyo pesa binafsi tokea mfukoni wa mtukufu malaika tokea chato, maendeleo ni pesa za watanzania wasio na vyama na watanzania wasio wapenzi wa CCM, pesa ya walipa kodi inafujwa na CCM kupitia ufisadi mwingi kwenye miradi wakati CCM wengi siyo walipa kodi.
 
Hayo yote ni kutaka kuonekana kwamba amesema kitu. Wote tunafahamu kabla ya 2015 wafanyakazi wa serikali walikuwa wanakaa miezi bila kulipwa mshahara. Siyo kwamba mshahara umecheleweshwa bali hulipwi kabisa kwa miezi kadhaa. Waalimu walikuwa kati ya waathirika wakuu. JPM alipoingia madarakani alikomesha hilo, akalipa malimbikizo yote ya wafanyakazi waliokuwa hawajalipwa, na hivi sasa mfanyakazi wa UMMA analipwa siku husika bila kucheleweshwa. Ni wazi hii ilikuwa kazi nzito na mtu mwenye akili timamu hatashindwa kuelewa kusuasua kwa upandaji wa vyeo. Si hivyo tu; elimu imekuwa bure mpaka Kidato cha Nne. Hilo nalo ni gharama kwa serikali. Kuzungumzia kupanda cheo baada ya kuona yaliyofanyika kuhusu watumishi wa Umma ni ubinafsi.

Kuhusu kulipa fidia kwa waliofukuzwa kazi, haiingii maanani. Unafukuzwa kazi kwa kuwa ni mhalifu na kuna sheria zinazo elekeza jinsi ya kufanya hilo.. Sasa unataka kiki kwa wahalifu? Kama kuna aliyeonewa kwa kufukuzwa isivyo kihalali, hilo ni jambo jingine ambalo mhusika anapaswa kwenda kwenye Mahakama ya Kazi. Tusitafute kiki kwa wahalifu.
Wewe acha uongo malimbikizo gani Magufuli alikuta hayajalipwa na yeye kuyalipa?

Mnafawafanya watu wote ni wapumbavu?
 
Sasa hapa ndio tusikie sera ambazo zinamgusa mwananchi na uchumi wake

Lissu amefanya vizuri.
 
Back
Top Bottom