Chini ya Lissu nchi itatulia bila wasiojulikana na watekaji.Inavutia Lissu aendelee hivi hivi sera nzuri na mwelekeo mpya kwa Tanzania mpya tutafika, maendeleo ya watu sio vitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chini ya Lissu nchi itatulia bila wasiojulikana na watekaji.Inavutia Lissu aendelee hivi hivi sera nzuri na mwelekeo mpya kwa Tanzania mpya tutafika, maendeleo ya watu sio vitu.
Ndiyo hapo na unakuta kipato Cha mtu aliyejiajiri ni kikubwa kuliko Cha mwajiriwa ,, Wengi wanasubiri wastaff ndiyo wafanye maendeleo ila saizi watakuambia salary ndogo mara makato Mara sijui nn Yani balaa tupuMtu alie ajiliwa mwisho wa mwezi anakinga mikono tu. Hivi vitu hawezi kuvielewa. Ila wanakuja kuona tofauti ya maisha yao na yetu.. na wanaishia kusema tunatoa watu kafara
Kwahiyo mimi ambaye niliajiriwa 2015 mpaka leo siujui mshahara mpya, sijui daraja jipya niendelee kumchagua huyo Magufuli aliyeahidi kununua ndege zingine ambazo hazina tija kwangu?Uongo mkubwa huo!!!Kwa agenda hizo za kizamani hapati Kura ya mtumishi yeyote
Acha kabisa, ndugu yangu. VAT si rafiki hata kidogo, bado witholding tax, wanayo kata juu kwa juu unakuta wanalala mbele na zaidi ya 23%... bado na taka taka zingine.. kodi zimekuwa nyingi sana kwetu wafanya biashara hadi tunabuni mbinu za kuwa tunazikwepa, maana ukienda nao fair hutokaa utokePole sana kamanda naelewa kama mzaliwa wa family ya biashara, mhanga wa VAT ya Mkapa usipime, tulivuka kwa neema ya Mungu tu
Kwa hiyo hata waliofanya kosa la jinai kufoji vyeti atawalipa fidia! Ina maana anahamasisha watu kufoji vyeti! Huyu anastahili uraisi?
Tundu Lissu anasema atalipa malimbikizo yote ya mishahara na kupandisha vyeo vyote vilivyosimama toka mwaka 2015 mpaka leo 2020.
Anasema lazima wafanyakazi walipwe fidia na Serikali yake.
Anasema atawalipa pia fidia wote waliofukuzwa kazi na Serikali ya CCM ndani ya hii miaka 5.
Anasema atarudisha makato ya loan board kutoka 15% na kuwa 3%
Na yatakuwa kwa wale tu watakao kuwa na kazi za kueleweka ndani ya serikali yake.
Anasema atafumua mfumo wa elimu ili utoke kwenye kujibu mithihani na kuwa elimu ya maarifa na kujitegemea na kuajirika kirahisi.
Anasema ataifumua TRA na kuanzisha mfumo wa Kodi moja ili nchi zote zilizo tuzunguka zije kununua bidhaa bandarini na kwenye maduka yetu ya ndani.
View attachment 1552154View attachment 1552155
Dah......CHADEMA walikuwa na wabunge zaidi ya 30 bunge lililopita.......na kila mmoja kalipa Zaidi ya milioni 200 za kitanzania kama kiinua mgongo..ambayo kwa wote ni kama 6.8 billioni....na kila mwezi walivuna Zaidi ya milioni 12 shilingi za kitanzania ambayo inafanya jumla ya 24 billion za kibongo......ukiongeza na ruzuku ya 329m kwa mwezi ambayo inakwenda kuwa shillingi 20b....hivyo jumla ya pesa waliyoingiza Chadema na wafaidika wake ni shilling za kitanzania Bilioni 52 .... halafu leo mnakuja kusema chama hakina pesa.. eti tuwachangie...mburaaaaa...tuwachangie sisi wakati Bilioni 52 zimeliwa na watu wasiozidi 100 ... ndiyo mpewe hazina kweli? ...Dah 😳CHADEMA hawakua tayari kwa kampeni. Natabiri yaliyotokea 2015 kwa Lowasa yatokea 2020 tofauti itakua tu kwamba 2015 Lowasa hakuna nguvu ila 2020 Lissu pesa zitakata
Sasa nadhani ni kweli Lisu anahujumiwa kwa kunyimwa hela za campaign ni aibu chama kikubwa kama CHADEMA kutembeza bakuri wakati wa kampeni bora hata wangefanya kabla sijui hela za michango toka kwa wabunge, hela za michango ya wanachama na hela ya ruzuku na hela za misaada toka kwa wahisani zinaendaga wapi. Wangeanza kuwekeza kidogo kidogo kila mwezi leo wangekua hawaangaiki Na serikali kama ilishtuka vile wakapiga pini accounts za kituo cha haki za binadamu maana huko ndio zingepitia.
Kwa ushauri wangu tu CHADEMA bora waanze jiandaa kwa uchaguzi wa 2025 mapema waanze jenga ofisi zao nzuri tu kubwa ambazo wanaweza pangisha watu kama wafanyavyo ccm wanavopata hela toka kwenye majengo yao. Pia CHADEMA ina wafuasi wengi na very royal kiais kwamba CHADEMA inaweza wekeza kwenye miradi mbalimbalia na wakapata wateja mfano kilimo ufugaji etc imagine mnaanzisha hata kiwanda cha maji cheye sticker za CHADEMa au maziwa yenye label ya CHADEMA watu watanunua na mtapata hela nzuri tu.
Kwa mwendo wa sahivi Raia watawadharau sababu kama mnashindwa manage funds zenu ndani ya chama na kuomba michango wakati nyie ndio chama kikuu cha siasa mkipewa nchi si kodi ya kichwa itarudi
Tundu Lissu anasema atalipa malimbikizo yote ya mishahara na kupandisha vyeo vyote vilivyosimama toka mwaka 2015 mpaka leo 2020.
Anasema lazima wafanyakazi walipwe fidia na Serikali yake.
Anasema atawalipa pia fidia wote waliofukuzwa kazi na Serikali ya CCM ndani ya hii miaka 5.
Anasema atarudisha makato ya loan board kutoka 15% na kuwa 3%
Na yatakuwa kwa wale tu watakao kuwa na kazi za kueleweka ndani ya serikali yake.
Anasema atafumua mfumo wa elimu ili utoke kwenye kujibu mithihani na kuwa elimu ya maarifa na kujitegemea na kuajirika kirahisi.
Anasema ataifumua TRA na kuanzisha mfumo wa Kodi moja ili nchi zote zilizo tuzunguka zije kununua bidhaa bandarini na kwenye maduka yetu ya ndani.
View attachment 1552154View attachment 1552155
Atatumia hela za walipa kodi saivi hakusanyi kodi!!Kama hela ya kampeni tu una pitisha bakuli kwenye mikutano sasa hela ya kuwa lipa wafanyakazi utaitoa wapi? Au ndio mipango yako mibaya ya kuja kutumia hela aliyo kusanya Magufuli???
Wewe kibaraka wa JOE TRIPPI huko unapo taka kutupeleka tumepashtukia
Kutakuwa na katiba mpya ambayo madaraka ya Rais yatapunguzwa, chuki binafsi hazijengi TaifaUza nchi yako, Chagua Lissu
Wewe "umesikia" amelipa malimbikizo yote, lakini tulio ndani ya kibuyu tunajua kiasi gani tunanyanyaswa na kudhulumiwa kwa miaka yote mitano!Hahahaaa malimbikizo gani wakati rais amesema ameshalipa hayo madeni kwa wafanyakazi?
Au anadhani hii ni 2015?
Whhhhhaaaaaaattttt???? HahahahahAtatumia hela za walipa kodi saivi hakusanyi kodi!!
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisaUza nchi yako, Chagua Lissu
hamna jipya kazi kutesa na kunyanyasa wafanyakaziUza nchi yako, Chagua Lissu
Mlizoea kupiga pesa za serikali mamfikili ninyi ndo wajanja sana?Wewe "umesikia" amelipa malimbikizo yote, lakini tulio ndani ya kibuyu tunajua kiasi gani tunanyanyaswa na kudhulumiwa kwa miaka yote mitano!
Nchi ilishauzwa chato kwani wamechukua pesa zote Hazina wamepeleka Chato na kwenye kampeni, SGR mwezi wa nne hawajalipwa ujenzi unasuasua mda wowote wafanyakazi watagomaUza nchi yako, Chagua Lissu
Wewe ni mnufaika wa mfumo kandamizi hata ununuzi wa Ndege umepata mgao kwenye 10% ya mtukufuMimi familia yangu tutamchagua Magufuli
Tuliza kichwa, Chato ni tanzania.Nchi ilishauzwa chato kwani wamechukua pesa zote Hazina wamepeleka Chato na kwenye kampeni, SGR mwezi wa nne hawajalipwa ujenzi unasuasua mda wowote wafanyakazi watagoma