Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nitalipa malimbikizo ya wafanyakazi yote kuanzia 2015 - 2020

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nitalipa malimbikizo ya wafanyakazi yote kuanzia 2015 - 2020

Tundu Lissu anasema atalipa malimbikizo yote ya mishahara na kupandisha vyeo vyote vilivyosimama toka mwaka 2015 mpaka leo 2020.

Anasema lazima wafanyakazi walipwe fidia na Serikali yake.

Anasema atawalipa pia fidia wote waliofukuzwa kazi na Serikali ya CCM ndani ya hii miaka 5.

Anasema atarudisha makato ya loan board kutoka 15% na kuwa 3%

Na yatakuwa kwa wale tu watakao kuwa na kazi za kueleweka ndani ya serikali yake.

Anasema atafumua mfumo wa elimu ili utoke kwenye kujibu mithihani na kuwa elimu ya maarifa na kujitegemea na kuajirika kirahisi.

Anasema ataifumua TRA na kuanzisha mfumo wa Kodi moja ili nchi zote zilizo tuzunguka zije kununua bidhaa bandarini na kwenye maduka yetu ya ndani.

View attachment 1552154View attachment 1552155
Njia rahisi ya kushinda uchaguzi ni watenganishe maadui wa mpinzani wako na kuwaleta kwako
 
Tundu Lissu anasema atalipa malimbikizo yote ya mishahara na kupandisha vyeo vyote vilivyosimama toka mwaka 2015 mpaka leo 2020.

Anasema lazima wafanyakazi walipwe fidia na Serikali yake.

Anasema atawalipa pia fidia wote waliofukuzwa kazi na Serikali ya CCM ndani ya hii miaka 5.

Anasema atarudisha makato ya loan board kutoka 15% na kuwa 3%

Na yatakuwa kwa wale tu watakao kuwa na kazi za kueleweka ndani ya serikali yake.

Anasema atafumua mfumo wa elimu ili utoke kwenye kujibu mithihani na kuwa elimu ya maarifa na kujitegemea na kuajirika kirahisi.

Anasema ataifumua TRA na kuanzisha mfumo wa Kodi moja ili nchi zote zilizo tuzunguka zije kununua bidhaa bandarini na kwenye maduka yetu ya ndani.

View attachment 1552154View attachment 1552155
Lisu anafikiri kukusanya kodi ni rahisi? Labda hizo fedha za kulipa malimbikizo aletewe kwa Tigo pesa toka Belgium
 
Uongo mkubwa huo!!!Kwa agenda hizo za kizamani hapati Kura ya mtumishi yeyote
Umesha anza kuweweseka,Mimi hapa Ni mtumishi wewe umesema hapati kura ya mtumishi yeyoye.
Ebwana eeh Mimi kwa Sera hiyo tu kura yangu tayari anayo hata kampeni zikiisitishwa leo.
Na
Nina watumishi wenzangu nawafahamu walikua wanaaubiri maneno kama hayo,nao watampigia.
Nadhani dawa imeanza kukuingia tartiibuu.
 
Tundu Lissu anasema atalipa malimbikizo yote ya mishahara na kupandisha vyeo vyote vilivyosimama toka mwaka 2015 mpaka leo 2020.

Anasema lazima wafanyakazi walipwe fidia na Serikali yake.

Anasema atawalipa pia fidia wote waliofukuzwa kazi na Serikali ya CCM ndani ya hii miaka 5.

Anasema atarudisha makato ya loan board kutoka 15% na kuwa 3%

Na yatakuwa kwa wale tu watakao kuwa na kazi za kueleweka ndani ya serikali yake.

Anasema atafumua mfumo wa elimu ili utoke kwenye kujibu mithihani na kuwa elimu ya maarifa na kujitegemea na kuajirika kirahisi.

Anasema ataifumua TRA na kuanzisha mfumo wa Kodi moja ili nchi zote zilizo tuzunguka zije kununua bidhaa bandarini na kwenye maduka yetu ya ndani.

View attachment 1552154View attachment 1552155
Huu ni utapeli wa mchana mchana. Kwanini wanasiasa wanakua waongo? Magufuli alidanganya milioni 50 kila kijiji na laptop leo Lissu naye kaona mwenzske alidanganya na yeye anatumia gear ileile na watu wanaamini. Mkapime akili kwanza
 
Huyu anataka turudi kwenye uchumi tegemezi.

Atatoa wapi hela endapo anaivunja TRA?

Haelezei atainuaje uchumi wa nchi bali anaelezea atakavyoharibu mifumo mizuri iliyojengwa
Dah...wewe vipi baba? Serikali ndiyo inayochapisha pesa.....na yeye ndiyo atakuwa Rais...ondoa wasiwasi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
CHADEMA hawakua tayari kwa kampeni. Natabiri yaliyotokea 2015 kwa Lowasa yatokea 2020 tofauti itakua tu kwamba 2015 Lowasa hakuna nguvu ila 2020 Lissu pesa zitakata

Sasa nadhani ni kweli Lisu anahujumiwa kwa kunyimwa hela za campaign ni aibu chama kikubwa kama CHADEMA kutembeza bakuri wakati wa kampeni bora hata wangefanya kabla sijui hela za michango toka kwa wabunge, hela za michango ya wanachama na hela ya ruzuku na hela za misaada toka kwa wahisani zinaendaga wapi. Wangeanza kuwekeza kidogo kidogo kila mwezi leo wangekua hawaangaiki Na serikali kama ilishtuka vile wakapiga pini accounts za kituo cha haki za binadamu maana huko ndio zingepitia.
Kwa ushauri wangu tu CHADEMA bora waanze jiandaa kwa uchaguzi wa 2025 mapema waanze jenga ofisi zao nzuri tu kubwa ambazo wanaweza pangisha watu kama wafanyavyo ccm wanavopata hela toka kwenye majengo yao. Pia CHADEMA ina wafuasi wengi na very royal kiais kwamba CHADEMA inaweza wekeza kwenye miradi mbalimbalia na wakapata wateja mfano kilimo ufugaji etc imagine mnaanzisha hata kiwanda cha maji cheye sticker za CHADEMa au maziwa yenye label ya CHADEMA watu watanunua na mtapata hela nzuri tu.

Kwa mwendo wa sahivi Raia watawadharau sababu kama mnashindwa manage funds zenu ndani ya chama na kuomba michango wakati nyie ndio chama kikuu cha siasa mkipewa nchi si kodi ya kichwa itarudi
 
SIO VILAZA KAMA UNAVYOJIFIKIRIA, URAIS NI ZAIDI DHANA ULIYONAYO. MTAWAPATA WACHACHE WENYE UFIKIRI MDOGO KSMA NYIE.POLENI SANS
Nisamehe bure mkuu, mimi nilikuwa nawahimiza tu hao watumishi Kama wataweza kumuweka Lissu madarakani awalipe malimbikizo ya madai yao
 
Kwa hiyo watumishi wampe huyo aliwaminya haki zao kwa miaka 5? Magufuli ana lipi jema kwa watumishi? Watumishi pekee wanaomuona wa maana ni Dotto James na familia yake.
Naona pia kijazi&the family awamu hii wamebarikiwa sana aisee.
 
Sasa aya ndio tulitaka kisikia...sasa me mkulima wa kijijini unaanza niambia mambo ya risasi kiunoni.
Risasi sio kitu cha kawwida.

Huyu kajitoa maisha yake kuitetea mama Tanzania.Ni kama Mandela slovyojitoa kuitetea Africa kusini
 
Tupo pamoja ndugu biashara mtaji wa 1million kwa mwaka kodi 500000 mwaka wa pil huu nawasubir waamue wanachotaka biashara hiyo hiyo mwingine anamtaji wa 5m tulipe sawa huu umama huu
Pole sana kiongozi, TRA inarudisha sana nyuma wafanya biashra. Sio chachu kabisa ya mendeleo kwa wafanya biashara. Na wanao umia ni wafanya biashara wadogo, wale wakubwa wana mbinu nyingi sana za kuwakwepa hawa watu
 
Baada ya Magufuli kufungua kampeni jana. Nimegundua lissu ni mwanasiasa mweupe sana kwenye siasa za ushindani.
 
Back
Top Bottom