wankuru nyankuru
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 495
- 775
Hapo kwa wafanyakazi na loarn board ndio naona kaanza kutushawishi wapiga kura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema ina mfumo wa kupiga pesa ndiyo maana wamepiga hata pesa za wabunge wao walizochanga kwa ajili ya uchaguzi sasa wamebaki kuomba pesa kwa watz wanaohudhuria mkutanoni. Mimi leo niligoma kuchanga eti Faru John anatufundisha jinsi ya kutuma pesa toka Mpesa kwenda kwenye akaunti yao ya CDM2020 anataka azipige tena kama alivyozipiga za wabunge wao. Lissu rekebisha mfumo wa kipigaji kwa Saccos ya Chadema kama kweli uko serious!Ameshindwa kubadili mfumo wa Chadema ataweza mfumo wa Tanzania?
Inavutia Lissu aendelee hivi hivi sera nzuri na mwelekeo mpya kwa Tanzania mpya tutafika, maendeleo ya watu sio vitu.Tundu Lissu anasema atalipa malimbikizo yote ya mishahara na kupandisha vyeo vyote vilivyosimama toka mwaka 2015 mpaka leo 2020.
Anasema lazima wafanyakazi walipwe fidia na Serikali yake.
Anasema atawalipa pia fidia wote waliofukuzwa kazi na Serikali ya CCM ndani ya hii miaka 5.
Anasema atarudisha makato ya loan board kutoka 15% na kuwa 3%
Na yatakuwa kwa wale tu watakao kuwa na kazi za kueleweka ndani ya serikali yake.
Anasema atafumua mfumo wa elimu ili utoke kwenye kujibu mithihani na kuwa elimu ya maarifa na kujitegemea na kuajirika kirahisi.
Anasema ataifumua TRA na kuanzisha mfumo wa Kodi moja ili nchi zote zilizo tuzunguka zije kununua bidhaa bandarini na kwenye maduka yetu ya ndani.
View attachment 1552154View attachment 1552155
Utafaidika kwa kupiga puli.Mi sina hata ndugu mfanyakazi nutafaidikaje
Reforms sio kuvunja! Matatizo ya elimu vila malipo haya(bora elimu)!!!!!Huyu anataka turudi kwenye uchumi tegemezi.
Atatoa wapi hela endapo anaivunja TRA?
Haelezei atainuaje uchumi wa nchi bali anaelezea atakavyoharibu mifumo mizuri iliyojengwa
Tundu Lissu anasema atalipa malimbikizo yote ya mishahara na kupandisha vyeo vyote vilivyosimama toka mwaka 2015 mpaka leo 2020.
Anasema lazima wafanyakazi walipwe fidia na Serikali yake.
Anasema atawalipa pia fidia wote waliofukuzwa kazi na Serikali ya CCM ndani ya hii miaka 5.
Anasema atarudisha makato ya loan board kutoka 15% na kuwa 3%
Na yatakuwa kwa wale tu watakao kuwa na kazi za kueleweka ndani ya serikali yake.
Anasema atafumua mfumo wa elimu ili utoke kwenye kujibu mithihani na kuwa elimu ya maarifa na kujitegemea na kuajirika kirahisi.
Anasema ataifumua TRA na kuanzisha mfumo wa Kodi moja ili nchi zote zilizo tuzunguka zije kununua bidhaa bandarini na kwenye maduka yetu ya ndani.
View attachment 1552154View attachment 1552155
Wewe usifikiri Lissu ni jiwe anayehodhi kila kitu.....Kamanda hebu twambie huo mfumo mpya wa kodi ndio ukoje? Hahahahaha haya ndio matatizo ya kutokuwa na uzoefu na kuwa mwana harakati sana hahaha
Nyerere alikuwa anakusanya kodi kiasi gan bila Tra?Sikiliza vizuri ..kwani tangu enzi za Nyerere TRA ilikuwepo?
Lissu kasema kuivunja na kuitengeneza upya yaani kuifumua basi...TULIENI JAMANI
Ungekuwa mfanyakazi usingeandika ulichoandikaHahahaaa malimbikizo gani wakati rais amesema ameshalipa hayo madeni kwa wafanyakazi?
Au anadhani hii ni 2015?
Cha ajabu nchi hii kuna wanao shabikia awamu hii kutokana na wao kuifaidi keki ya taifa, na kuwatia ujinga ambao hata wale ambao hajui kesho atakula nini na wao wanafuatisha mkumbo tu!! Pili kuna wale ambao wanashabikia tu wakati ni wazee wa kwangu pakavu, ila ni ujinga tu!! Hata mpinzani aongee vipi jinsi ya kuwatoa kwenye hali hiyo, wao wanamuona ni adui!! SASA SIJUI WEWE UPO KUNDI GANI HAPO. kwani mwana ccm, lazima tu uwe kati ya makundi hayo.Kampeni wameanza au bado maana walisema hawataanza kampeni hadi walioenguliwa wateuliwe na tume?
Amelipa wapi? Watu tunadai mpaka leoHahahaaa malimbikizo gani wakati rais amesema ameshalipa hayo madeni kwa wafanyakazi?
Au anadhani hii ni 2015?
Tushampa tayari, labda unazungumzia yakwako tuUongo mkubwa huo!!!Kwa agenda hizo za kizamani hapati Kura ya mtumishi yeyote
Na.Tundu Lissu anasema atalipa malimbikizo yote ya mishahara na kupandisha vyeo vyote vilivyosimama toka mwaka 2015 mpaka leo 2020.
Anasema lazima wafanyakazi walipwe fidia na Serikali yake.
Anasema atawalipa pia fidia wote waliofukuzwa kazi na Serikali ya CCM ndani ya hii miaka 5.
Anasema atarudisha makato ya loan board kutoka 15% na kuwa 3%
Na yatakuwa kwa wale tu watakao kuwa na kazi za kueleweka ndani ya serikali yake.
Anasema atafumua mfumo wa elimu ili utoke kwenye kujibu mithihani na kuwa elimu ya maarifa na kujitegemea na kuajirika kirahisi.
Anasema ataifumua TRA na kuanzisha mfumo wa Kodi moja ili nchi zote zilizo tuzunguka zije kununua bidhaa bandarini na kwenye maduka yetu ya ndani.
View attachment 1552154View attachment 1552155
Huyu anataka turudi kwenye uchumi tegemezi.
Atatoa wapi hela endapo anaivunja TRA?
Haelezei atainuaje uchumi wa nchi bali anaelezea atakavyoharibu mifumo mizuri iliyojengwa
Vya Makonda na Kigwangala vikoje?Kwa hiyo hata waliofanya kosa la jinai kufoji vyeti atawalipa fidia! Ina maana anahamasisha watu kufoji vyeti! Huyu anastahili uraisi?
Anaongea upupu tu!! Malimbikizo ya wafanyakazi kwa miaka mitano. Asifikiri wafanyakazi hawajitambui kiasi hicho ajue wako serikalini wanajua pesa zinapatikana vipi.
Unauliza jibu?Vya Makonda na Kigwangala vikoje?
Unakwama wapi ndugu,sema hapa wazi wamefanya vp ili Serikali ya wanyonge ikusaidie!!!Ukweli TRA ni jipuuu.. kila siku nakosa usingizi na kufurahia maisha ya kujiajiri kwa ajiri hawa TRA.. nimejikuta nimekata tamaa na kuacha kabisa kuwalipa kodi, nasubiri waje wafanye wanachotaka kufanya haiwezekani niwafanyie kazi wao 😢😢