Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nitalipa malimbikizo ya wafanyakazi yote kuanzia 2015 - 2020

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nitalipa malimbikizo ya wafanyakazi yote kuanzia 2015 - 2020

Hahahaaa malimbikizo gani wakati raisi amesema ameshalipa hayo madeni kwa wafanyakazi?
Au anadhani hii ni 2015?
Kwa taarifa yako na wengine wenye kuamini kila linalosemwa na serikali hii no kuwa wapo wafanyakazi wanadai nauli za likizo tangu 2015 Hadi Sasa na wengine malimbikizo ya mishahara baada ya kupanda madaraja tangu 2016 Hadi Leo hawajalipwa. Reference wengi wao ni walimu! Wadodose walimu watakimbia ukweli!
 
Sasa aya ndio tulitaka kisikia...sasa me mkulima wa kijijini unaanza niambia mambo ya risasi kiunoni.

Hivi asipokemea uovu unaofanyika, unadhani watawala watasita kutandika watu risasi watakavyo? Issue ya risasi ni lazima iongelewe tena kwa uzito mkubwa ili isije ikakutokea wewe na mimi Siku za usoni.sio Lissu tu, hats sisi Wananchi ni lazima tuikemee serikali ili ikomeshe mauaji ya aina hii.
 
BAAAB kubwa ilikuwa ni FAO LA KUJITOA

TUndu Lisu atarudisha Fao la kujitoa kwa wafanyakazi woute wa Sekta binafsi na Umma...Hureee....

Sekta binafsi ina wafanyakazi wengi sana, wameumizwa sana na kukosa FAO LA KUJITOA. Kura zote KWa LISUU

Hata Mafao ya uzee wanazungusha wee miezi 3 mpaka 6
 
Hahahaaa malimbikizo gani wakati rais amesema ameshalipa hayo madeni kwa wafanyakazi?
Au anadhani hii ni 2015?

Amelipa lini nyongeza za wafanyakazi mwaka wa 5 hawajaongezewa mishahara japo sheria iko wazi ya wafanyakazi kuongezewa mshahara kila mwaka kuendana na ugumu wa maisha
 
Unajua Nilichogundua Wapiga wengi Kura hawapo kwenye Social net Work Waliopo kwenye Social network ni Polojo line Hahaha Idadi kubwa ni BAVICHA ufahamu wao ni Mdogo Wanaamini Kila Alisemalo Tundu Lissu ni Sheria kumbe ukiwa mwanasiasa Sheria Ni sehemu ndogo sana ya kukufanya ushinde ila ujanja ni kujua nini watu wanataka watanzamia hawataki maandano wanatka waambiwe utamu na utamu. MAGUFULI KESHAWAAMBIA NA WANAUJUA SASA CHADEMA MJE NA MAPYAA HAHAHAAA
 
Hahahaaa malimbikizo gani wakati rais amesema ameshalipa hayo madeni kwa wafanyakazi?
Au anadhani hii ni 2015?
Kwahiyo akisema amelipa bx inakuwa kweli km ww Co mfanyakazi huwezi kujua ukweli wanaoteseka ni wafnyakazi ndo wanajua hilo Hivyo funga domo lako
 
Kwa hiyo hata waliofanya kosa la jinai kufoji vyeti atawalipa fidia! Ina maana anahamasisha watu kufoji vyeti! Huyu anastahili uraisi?
 
Kwa hili la kodi, naunga mkono na limenifurahisha, atakaposhinda Magufuli, namshaur8 alichukue wazo hili na alifanye letu
 
Back
Top Bottom