Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nitalipa malimbikizo ya wafanyakazi yote kuanzia 2015 - 2020

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nitalipa malimbikizo ya wafanyakazi yote kuanzia 2015 - 2020

Hii maada ni ngumu kwako, shida umesoma kujibu mitihani na hapa hakuna mtihani, hapa unatakiwa kutumia akili yako kitu ambacho wewe huna
Huyu anataka turudi kwenye uchumi tegemezi.

Atatoa wapi hela endapo anaivunja TRA?

Haelezei atainuaje uchumi wa nchi bali anaelezea atakavyoharibu mifumo mizuri iliyojengwa
 
Akawadanganye watoto wa shule za chekechea!
 
Mmekula? Unaweza kuta leo mnashinda njaaa na mnashangilia kununua ndege wakati wewe hata uwezo wa kupana Basi Luxury huna
Mimi familia yangu tutamchagua Magufuli
 
Hii maada ni ngumu kwako, shida umesoma kujibu mitihani na hapa hakuna mtihani, hapa unatakiwa kutumia akili yako kitu ambacho wewe huna
Wewe hujui serikali inaendeshwaje ndiyo maana unafikiri ni kirahisi hivyo eti atawalipa malimbikizo ya wafanyakazi kwa miaka mitano!! Naona hayo maturubai aliyovaa yanampunguzia akili kichwani. Akawadanganye wanafunzi wa chekechea!!
 
Huyu anataka turudi kwenye uchumi tegemezi.

Atatoa wapi hela endapo anaivunja TRA?

Haelezei atainuaje uchumi wa nchi bali anaelezea atakavyoharibu mifumo mizuri iliyojengwa
Nimasuala mazito sana kwa Lissu na Chadema yake. Blah blah mwanzo mwisho! Chadema kweli sasa kitakuwa chama shiriki bungeni inavyoelekea. Sasa ngoja nifuatilie ACT...nijue kama nao wana lolote lakutuambia sisi wapiga kura.
 
Ukweli TRA ni jipuuu.. kila siku nakosa usingizi na kufurahia maisha ya kujiajiri kwa ajiri hawa TRA.. nimejikuta nimekata tamaa na kuacha kabisa kuwalipa kodi, nasubiri waje wafanye wanachotaka kufanya haiwezekani niwafanyie kazi wao [emoji22][emoji22]
Tupo pamoja ndugu biashara mtaji wa 1million kwa mwaka kodi 500000 mwaka wa pil huu nawasubir waamue wanachotaka biashara hiyo hiyo mwingine anamtaji wa 5m tulipe sawa huu umama huu
 
Nimasuala mazito sana kwa Lissu na Chadema yake. Blah blah mwanzo mwisho! Chadema kweli sasa kitakuwa chama shiriki bungeni inavyoelekea. Sasa ngoja nifuatilie ACT...nijue kama nao wana lolote lakutuambia sisi wapiga kura.
Wangelimchukua Zitto awasaidie kujenga hata hoja za uongo za uchumi
 
Hii maada ni ngumu kwako, shida umesoma kujibu mitihani na hapa hakuna mtihani, hapa unatakiwa kutumia akili yako kitu ambacho wewe huna
Wewe mwenye akili fafanua how atafanya yote hayo
 
Back
Top Bottom