Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sometimes jamaa wanatumika vibaya sana mpaka wanajisahau. Azungumze na Taifa? Kama nani?Nitazungumza na Taifa Jumatatu, 8 June, 2020 kupitia Facebook Live Streaming.
Unataka kujitetea kuhusu ulivyo2danganya kuwa nchi itashitakiwa na kufilisiwa kwa kuvunja mikataba na wawekezaji?Nitazungumza na Taifa Jumatatu, 8 June, 2020 kupitia Facebook Live Streaming.
Yani wewe umezaliwa kwa mtangole hata nusu ya katiba yako ya nchi haipo kichwanisometimes jamaa wanatumika vibaya sana mpaka wanajisahau.Azungumze na Taifa? Kama nani?
Mkuu penda kusoma kitu then tafakari , nimesemaMbona wewe hujaheshimu mawazo yake? Au unataka mawazo ya huyo kibalaka wenu pekee ndiyo yaheshimiwe!!
Agenda 2020-2025 kutoka kwa mtu safi, makini, mwenye kuaminika na pia kujali haki za wanadamu, demokrasia ya kweli na anayeichukia rushwa kwa dhati.Nitazungumza na Taifa Jumatatu, 8 June, 2020 kupitia Facebook Live Streaming.
Kabla hata ya kujua utazungumza nini? Approach unayoitumia itakuumiza badala ya kikujenga, itatoa maswali mengi kuliko majibu, itawapa wapinzani wako hoja kuliko hoja utazozijengaNitazungumza na Taifa Jumatatu, 8 June, 2020 kupitia Facebook Live Streaming.
Kwako wewe utaona ni upumbavu but kwake yeye kaona ni mawazo bora hivyo yaheshimuMkuu penda kusoma kitu then tafakari , nimesema
"Ni vizuri kuheshimu mawazo ya kila mtu ila ni dhambi kuheshimu upumbafu"
Nasema ni dhambi kuheshimu upumbafu
Majibu yake yameendana na Ujinga Wake.
HAKUNA CCTV ILIYOONDOLEWA POPOTE. NI HOJA ZA KIPUUZI ZINAZOJENGWA KUWAPUMBAZA WASIOJUA KITU
Ukienda kisheria kachemka kaanza kampeni kabla chama kumteua ugombea akiteuliwa mwingine itakuwa vipi? Kajiandaa kisaikolojia naona anakwenda kichwa kichwa .Mbowe kwa kubadili gia angani ndio mwenyewe