Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nitazungumza na Taifa Jumatatu, 8 Juni, 2020 kupitia Facebook Live Streaming | 14:00 EAT 13:00 CET 7:00AM EST (USA)

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nitazungumza na Taifa Jumatatu, 8 Juni, 2020 kupitia Facebook Live Streaming | 14:00 EAT 13:00 CET 7:00AM EST (USA)

Kabla hata ya kujua utazungumza nini? Approach unayoitumia itakuumiza badala ya kikujenga, itatoa maswali mengi kuliko majibu, itawapa wapinzani wako hoja kuliko hoja utazozijenga
Tundu Lisu sio mzungumzaji mzuri wacha aongee tuje wenyewe wachambuzi mahiri tumuumbue Baada ya yeye kuzungumza

Ila kwa nimjuavyo Baada ya kuongea chadema ijiabdae kudhalilika hayuko vizuri ujenzi wa hoja nzito zenye mvuto na ushahidi Zitto Kabwe pamoja na uongo wake ana nafuu kuliko Tundu Lisu sababu siku moja moja huweka takwimu na ushahidi Lisu hamna kitu atatoa mimacho tu na Hotuba lisilo na mbele Wala nyuma
 
Kwakuwa hawezi kujenga hoja kama Lissu.
Kazi ya Magufuli sio kujenga hoja Ni kujenga nchi na anaijenga kweli kweli nyie na Lisu wenu kaeni na porojo zenu za midomoni.Wananchi wanahitaji mjenga nchi sio mjenga hoja!!!!!
 
Tundu Lisu sio mzungumzaji mzuri wacha aongee tuje wenyewe wachambuzi mahiri tumuumbue Baada ya yeye kuzungumza

Ila kwa nimjuavyo Baada ya kuongea chadema ijiabdae kudhalilika hayuko vizuri ujenzi wa hoja nzito zenye mvuto na ushahidi Zitto Kabwe pamoja na uongo wake ana nafuu kuliko Tundu Lisu sababu siku moja moja huweka takwimu na ushahidi Lisu hamna kitu atatoa mimacho tu na Hotuba lisilo na mbele Wala nyuma

Zingatia matumizi ya koma na nukta. Hii sentensi uliyoandika ni moja ya sentensi ndefu kabisa katika dunia hii! Hiyo ndio ujue kupanic sio vizuri.
 
Kazi ya Magufuli sio kujenga hoja Ni kujenga nchi na anaijenga kweli kweli nyie na Lisu wenu kaeni na porojo zenu za midomoni.Wananchi wanahitaji mjenga nchi sio mjenga hoja!!!!!

Kwani Magufuli anajenga kwa mshahara wake, mtu yoyote atakayekuwa rais ni lazima afanye maendeleo kwa kiwango chake. Kama maendeleo yanaletwa na mtu yoyote, muulize Kikwete na Mkapa wamejenga barabara kilomita ngapi baada ya kutoka madarakani?
 
Lisu ambaye hata nguo za kuvaa na Kodi ya nyumba ubelgiji anaomba michango!!!!
Hiyo kampeni ya uraisi ataiweza wapi

Hotuba yake bila Shaka ataomba chadema wamchangie nauli ya kurudi Tanzania

Kama Nyerere alichangiwa nauli ya kwenda UNO na wala hakuwa amepigwa risasi hata moja, kuna ajabu gani kwa Lissu kuchangiwa?
 
Kama Nyerere alichangiwa nauli ya kwenda UNO na wala hakuwa amepigwa risasi hata moja, kuna ajabu gani kwa Lissu kuchangiwa?
Unalinganisha zama za kale na Leo? Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi
 
Kwani Magufuli anajenga kwa mshahara wake, mtu yoyote atakayekuwa rais ni lazima afanye maendeleo kwa kiwango chake. Kama maendeleo yanaletwa na mtu yoyote, muulize Kikwete na Mkapa wamejenga barabara kilomita ngapi baada ya kutoka madarakani?
Chadema kinaitwa chama Cha demokrasia na maendeleo swali maendeleo gani mliyoyafanya Kama chama miaka yote ya uhai wake wakati hata jengo lenu time la makao makuu hamjawahi Jenga pamoja na mabilioni ya ruzuku pesa za walipa Kodi mlizopewa
 
Atakua ni Rais wa kwanza kutawala nchi huku akiwa anaishi kwenye nchi nyingine. Arudi sasa Tanzania aje apambane na Swahiba wake Magufuli.
Atarudi week moja kabla ya Kampeni za Uzinduzi, pata picha karudi week moja kabla ya Uzinduzi hafu Raia wanaambiwa Tundu Lissu atafungua Kampeni Kesho yake Jangwani, jaribu kuhisi hilo Nyomi lake.
 
Chadema kinaitwa chama Cha demokrasia na maendeleo swali maendeleo gani mliyoyafanya Kama chama miaka yote ya uhai wake wakati hata jengo lenu time la makao makuu hamjawahi Jenga pamoja na mabilioni ya ruzuku pesa za walipa Kodi mlizopewa

Ni kweli cdm kutokuwa na jengo lao la ofisi haipendezi na hilo halina mjadala. Lakini hata wangekuwa na ofisi ndio yangekuwa maendeleo hayo? Kipimo cha chama kuleta maendeleo ni pale wanaposimamia hazina fullstop.
 
Ni kweli cdm kutokuwa na jengo lao la ofisi haipendezi na hilo halina mjadala. Lakini hata wangekuwa na ofisi ndio yangekuwa maendeleo hayo? Kipimo cha chama kuleta maendeleo ni pale wanaposimamia hazina fullstop.
Kwa hiyo kukaa nyumba ya kupanda chadema ndio maendeleo
 
Sisi tunaojua mambo na tusiopumbazwa, tunajua kabisa camera ziliondolewa kwa maagizo ya mungu wa Tanzania.

UNGESEMA UNAAMINI HIVYO NA UNA HAKI YA KUAMINI HIVYO JAPO HUNA HAKI YA KUJUA KISICHOKUWEPO
 
Kwa hiyo kukaa nyumba ya kupanda chadema ndio maendeleo

Mimi binafsi ninakaa nyumba ya kupanga na nina maendeleo kuliko watu wanaomiliki nyumba na ardhi ndani ya nchi hii. Ni wangapi wanamiliki nyumba na ardhi lakini ni masikini? Watu wengi wa vijijini wanaishi kwenye nyumba zao, na wanamiliki ardhi lakini ni masikini wa kutupwa. Hawa wahindi hapa mjini zaidi ya 80 wanakaa nyumba za kupanga, je hawana maendeleo? Huenda hujui maana ya maendeleo.
 
UNGESEMA UNAAMINI HIVYO NA UNA HAKI YA KUAMINI HIVYO JAPO HUNA HAKI YA KUJUA KISICHOKUWEPO

Ni hivi, hicho nilichokuambia ndio ukweli usiopaswa kutumia nguvu zako kuukanusha. Unapoona watu wanapeleka miswaada ya kutoshitakiwa, ujue ni ili kuficha huo udhalimu.
 
Kwa mara ya Kwanza katika Taifa la Tanzania, nafafasi au ngazi ya Uraisi, inaenda kuombwa na watu ambao hawana sifa za kuwa Raisi hata chembe, bahati mzuri ni kwamba, kutangaza Nia ni hatua ya Kwanza, uzuri wa Taifa langu, unaweza kupita kwenye hatua hiyo na Chama chako kikakupitisha vizuri, Ila ukapuuzwa Kwenye hatua mhimu moja, na hatua hiyo ukipuuzwa, hata kama hizo hatua zingine zote ukapita, Ila huwezi Tu kuwa Raisi basi,

Na watu wa Aina ya huyu hawezi kuwa, never ever!! Tanzania Kwanza na sio ujingaujinga

Nyie bhana furahieni Sana, Ila....
 
Amesahau ya kuwa maisha ya twittani ni tofouti na huko uraiani hatoamini atakachokipata kwenye sanduku la kura
 
Mlikosea mlipotaka kumuua Mungu akakataa si ajabu mngemuacha asingekuwa na umaarufu huu alionao Sasa.
 
Back
Top Bottom