Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nitazungumza na Taifa Jumatatu, 8 Juni, 2020 kupitia Facebook Live Streaming | 14:00 EAT 13:00 CET 7:00AM EST (USA)

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Nitazungumza na Taifa Jumatatu, 8 Juni, 2020 kupitia Facebook Live Streaming | 14:00 EAT 13:00 CET 7:00AM EST (USA)

Mlikosea mlipotaka kumuua Mungu akakataa si ajabu mngemuacha asingekuwa na umaarufu huu alionao Sasa.
Ninaamini mastermind wa tukio lile Bwana Faru John anajuta sana kwanini LISSU hakufa kwenye scheduled death na inawezekana palikuwa na mpango wa serial killing kwamba waanze na LISSU kisha waanziwe wengine ili wakose pa kushika .

Mungu akaepusha sasa Faru John anawaza kwa dhambi alizotenda atakuwa salama? Hofu yake haitamsaidia maana hakukuwa na plan B ndo maana kipindi kile cha tukio kila kiongozi anazungumza lake.
HILA ZA SHETANI NA WAFUASI WAKE DHIDI YA LISSU ZIMEDHIRIKA NA SASA NI MUDA WA KUUMBUKA
 
Sijawahi kukuona ukihoji billion 8 za michango ya wabunge wa Chadema zimetumika wapi, unakuja kuhoji hela za daraja la Ubungo ambalo wewe mwenyewe unapitisha makalio yako hapo kila siku?
 
Kwa watu walio karibu na yeye wamweleze kuwa aonyeshe ujasiri wa kuelezea hatima ya dereva wake na ni kwa ni amemweka nje ya familia yake muda huo wote akitoa sababu zisizoshikika. Na nilazima aje naye akimwacha asishangae yatakayomtokea
Hivi kuna mtu mwenye umri wa dereva wake akawekwa au ni maamuzi yake?wewe unaweza kubali kuwekwa?
 
Kwa mazuri JPM anayojinasibu kuyafanya, aruhusu tu tume huru ya uchaguzi pamoja na uchaguzi huru na wa haki. Vyombo vya dola visiisaidie CCM. Mbona atashinda kwa kishindo!
 
karibu Komred Lissu tupate nchi ya;
demokrasia
uhuru
amani ya kweli
Ustawi kwa wote bila; ukanda, ukabila, kuumizana,
 
Mhe.TL, sisi tunafanya kazi, tumeajiriwa. Unapoamua kutaka kutufikishia ujumbe, tafadhali fanya utumue wakati hatupo makazini, tuna watoto wakuwalisha na kuwasomesha, sisi hatulipuwi na serekali yoyote. Pia usisahau. Mwenye kutaka kura zetu ni wewe na wenzio, you have to toe to our demands not us toeing to you and other politicians.
 
Mwambieni aje Tanganyika uongee na wapiga kula vijijini, hao wa fb wamejaa maslay queen na mabroo plus wapwa, hata kitambulisho cha mpiga kula hawana
 
Ni vizuri kuheshimu mawazo ya kila mtu ila ni dhambi kuheshimu upumbafu
Huyo mtu alitakiwa kwanza aliheshimu Taifa lake na kiongozi wa Taifa lake halafu ndiyo uje na heshima ya kidampa kama yeye. Lissu hana sifa za kupata heshima kutoka kwa mtanzania mwenye akili timamu. Mazombie kama wewe labda!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata hao wazee wamefanya nini kwenye Taifa letu? Kufanya shopping kwenye nchi za wenzetu badala ya kutujengea SGR, umeme wa uhakika, Ndege zetu, mitandao ya uhakika yetu, elimu bure ya watoto wetu, flyovers, barabara, mpaka kwetu Nyasa kuna meli tatu na kadhalika na kadhalika. Unataka nini zaidi? Nenda kafie mbali Zombie!
IMG-20200526-WA0002.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona umehamaki? Tatizo ni nini?
Tundu Lisu is not a presidential material he has no.money ,his party has no money and he and his party don't have people's agenda .They are selfish ,they have their own agenda not people's agenda
 
__Wanachadema Kama mtapitisha kugopea urais naomba mnisaidie haya maswali
✓waliompiga risasi bado wako hai? Kama bado wako hai mko tayari kumlinda Lissu kwa gharama ya damu
✓Je siku akishuka pale Airport akadakwa na serikali kutokana na kesi zinazomuandama,mko tayari kumwaga damu yenu kumpigia serikali kelele imuachie?na ninavyojua watanzania wanaongoza kwa uongo barani Africa,,
✓Adui w lissu inaobekana yupo hapa Tanzania,Kama ni watu wazito serikalini afu wakamkamata akapelekwa mahabusu afu huko mahabusu akatiliwa sumu ambao inaweza kaa ndani ya mwilini mwezi,then ndo imuue,,je ni njia gani mtatumia asipelekwe mahabusu,,
✓Demokrasia ina faida zake na hasara zake,, kuweni makini kumlinda Lissu afu kabla ya kumleta lissu Tanzania, pasueni box tokeni nje ya box afu ndo mfikirie vizuri
IMG-20200606-WA0015.jpg
 
__Wanachadema Kama mtapitisha kugopea urais naomba mnisaidie haya maswali
✓waliompiga risasi bado wako hai? Kama bado wako hai mko tayari kumlinda Lissu kwa gharama ya damu
✓Je siku akishuka pale Airport akadakwa na serikali kutokana na kesi zinazomuandama,mko tayari kumwaga damu yenu kumpigia serikali kelele imuachie?na ninavyojua watanzania wanaongoza kwa uongo barani Africa,,
✓Adui w lissu inaobekana yupo hapa Tanzania,Kama ni watu wazito serikalini afu wakamkamata akapelekwa mahabusu afu huko mahabusu akatiliwa sumu ambao inaweza kaa ndani ya mwilini mwezi,then ndo imuue,,je ni njia gani mtatumia asipelekwe mahabusu,,
✓Demokrasia ina faida zake na hasara zake,, kuweni makini kumlinda Lissu afu kabla ya kumleta lissu Tanzania, pasueni box tokeni nje ya box afu ndo mfikirie vizuriView attachment 1470206
Masahihisho,Uongo=uoga
 
__Wanachadema Kama mtapitisha kugopea urais naomba mnisaidie haya maswali
✓waliompiga risasi bado wako hai? Kama bado wako hai mko tayari kumlinda Lissu kwa gharama ya damu
✓Je siku akishuka pale Airport akadakwa na serikali kutokana na kesi zinazomuandama,mko tayari kumwaga damu yenu kumpigia serikali kelele imuachie?na ninavyojua watanzania wanaongoza kwa uongo barani Africa,,
✓Adui w lissu inaobekana yupo hapa Tanzania,Kama ni watu wazito serikalini afu wakamkamata akapelekwa mahabusu afu huko mahabusu akatiliwa sumu ambao inaweza kaa ndani ya mwilini mwezi,then ndo imuue,,je ni njia gani mtatumia asipelekwe mahabusu,,
✓Demokrasia ina faida zake na hasara zake,, kuweni makini kumlinda Lissu afu kabla ya kumleta lissu Tanzania, pasueni box tokeni nje ya box afu ndo mfikirie vizuriView attachment 1470206
Fumbo la Imani kazi unaiweza ya kututia hofu kama corona.
 
Back
Top Bottom