Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Lissu The Greatest
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KbsTangu nitambue kuwa huyu bwana amewahi kuugua akili na kulazwa milembe kwa miaka miwili nimegundua kuwa kudeal naye ni sawa na kudeal na chizi.
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Wanavyo muogopa usikute wakazima kwel 😁😁😁
Subiri hiyo kesho, kikubwa weka bando la kutoshani lipi jipya atakaloelezea?
Tangu nitambue kuwa huyu bwana amewahi kuugua akili na kulazwa milembe kwa miaka miwili nimegundua kuwa kudeal naye ni sawa na kudeal na chizi.
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
wewe ni wa kuhurumiwa sana ! nchi hii inazalisha madaktari wajinga sana !ni lipi jipya atakaloelezea?
Rudi shule
Rudi shule
Watashindana lakini hawatashindakesho ndo kesho. simba wana mwamba wa lusaka. sisi tuna mwamba wa Tanzania.
Lissu atanguruma kesho. kuweka mezani mbivu na mbichi kuelekea uchaguzi mkuu.
je, mtandao wa internet utazimwa?
JF itakuwa haifunguki?
nawaza tu.
Inchaji.
TCRA lazima watekeleze maagizo kutoka juu!kesho ndo kesho. simba wana mwamba wa lusaka. sisi tuna mwamba wa Tanzania.
Lissu atanguruma kesho. kuweka mezani mbivu na mbichi kuelekea uchaguzi mkuu.
je, mtandao wa internet utazimwa?
JF itakuwa haifunguki?
nawaza tu.
Inchaji.
Hata wakizima tuta kutana nayo U tube..kesho ndo kesho. simba wana mwamba wa lusaka. sisi tuna mwamba wa Tanzania.
Lissu atanguruma kesho. kuweka mezani mbivu na mbichi kuelekea uchaguzi mkuu.
je, mtandao wa internet utazimwa?
JF itakuwa haifunguki?
nawaza tu.
Inchaji.
Kwani kuna sababu gan ya mtandao kuzimwa? ..UA unaongozwa na hisia mkuuKejeli na matusi havitakusaidia chochote , bado utaendelea kuwa kapuku na kusubiri kulipiwa nauli na posho
Yaani nyie mafala hamkomi tuu na hadithi zenu zisizoisha hizo mara anakuja mara ohh anaharisha hawezi kuja.kesho ndo kesho. simba wana mwamba wa lusaka. sisi tuna mwamba wa Tanzania.
Lissu atanguruma kesho. kuweka mezani mbivu na mbichi kuelekea uchaguzi mkuu.
je, mtandao wa internet utazimwa?
JF itakuwa haifunguki?
nawaza tu.
Inchaji.