Hata jiwe hana na ndiyo mtoto pendwa alipigwa spana alipojaribu kudili na mashoga.Umesahau nusu hana marinda
Masaa machache what?Hata jiwe hana na ndiyo mtoto pendwa alipigwa spana alipojaribu kudili na mashoga.
Mahiga( RIP) na Lugola wakakaa mbele ya kamera na tv wakisema huo haukuwa msimamo wa serikali bali makonda kama makonda na si makonda kama mkuu wa mkoa. Na wakaihakikishia dunia kuwa haki za faragha zitalinda kwa nguvu zote na serikali ya awamu ya 5, ambayo masaa machache yajayo watakuwa raia wa kawaida kama mimi.
ah ah tutamuuza kama makinikia ubelgiji tuweze wezesha nchiSo anaweza bebwa na sumaku
Rais Uhuru Kenyata wa kenya anehudhuria mara kadhaa kujibu mashtaka huko ICC akiwa tayari ni Rais wa Wakenya. Sasa mnashindwa kumkamata mtu ambaye hana hata cheo cha ubalozi wa nyumba 10 katika nchi hii. Huoni kwamba unachozungumza ni siasa za majitaka
Endelea kunywa bia mkuuMsaliti wa Nchi Lissu hawezi kuwa kiongozi Katika hii Nchi
Usaliti wake umevuka mstari mwekundu
Nawe umesahau Maguu alilia hadharani tena kwa uchungu mkubwa sana akimtaka Sugu amsugueUmesahau nusu hana marinda
Watanzania tuungane kuwakataa wagombea wote wa ngazi zote wa ccmTakribani miaka 60 sasa Watanzania hususani tabaka tawaliwa, tumeishi kwenye ufukara uliotopea. Wakati huo tabaka tawala wakijineemesha kupitia msamiati uzalendo...
Jamani tuondokane na udikteta huu.Takribani miaka 60 sasa Watanzania hususani tabaka tawaliwa, tumeishi kwenye ufukara uliotopea. Wakati huo tabaka tawala wakijineemesha kupitia msamiati uzalendo...
Afadhali huyu anaetaka asuguliwe kwenye bozi ya kura, kuliko ambae hana marinda, ni swali la kuuliza alipeleka wap hayo marindaNawe umesahau Maguu alilia hadharani tena kwa uchungu mkubwa sana akimtaka Sugu amsugue
Masaa machache yajayo ataenda kuchunga ngamia wake chattle!!
Sisi Watanzania ndio tunaajiri na awamu hii tunamwajiri Nusu Chuma, Nusu Mtu. TUNDU LISU. @niyeye2020.
Mwanaume analilia hadharani tena kwa uchungu mkubwa sana kutaka kusuguliwa na dume lenzake na wewe unaona sawa tu kweli chama chetu ccm kina laana.afadhali huyu anaetaka asuguliwe kwenye bozi ya kura, kuliko ambae hana marinda, ni swali la kuuliza alipeleka wap hayo marinda
Mwanaume analilia hadharani tena kwa uchungu mkubwa sana kutaka kusuguliwa na dume lenzake na wewe unaona sawa tu kweli chama chetu ccm kina laana.
Tuoneni hivo hivo,hayo yote tutawapatieni hesabu yenu,kesho kutwa.Wapuuzi na wajinga hawataisha duniani Hadi kiama
JPM Twende kazi
Hapana kwan Fan inamsaidia upumuaji kweli usitukane mamba kabla haujavuka mto.So anaweza bebwa na sumaku