Tundu Lissu: Polisi wote huni - treat with respect kila walipotumwa kunikamata isipokuwa baadhi kama afande Cammilius Wambura, Sirro na Kigaigai...

Tundu Lissu: Polisi wote huni - treat with respect kila walipotumwa kunikamata isipokuwa baadhi kama afande Cammilius Wambura, Sirro na Kigaigai...

The Palm Tree

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
7,951
Reaction score
12,541
Tunaendelea kupata simulizi za kusisimua toka kwa Tundu Lissu ikiwa ni sehemu ya kumbuizi ya miaka 4 tangu kufanyika kwa jaribio baya lililoshindwa la kutaka kumuua kwa risasi za kivita lakini likimwacha nusu mfu tarehe 7/9/2017....

Shukrani kwa madaktari wa hospitali ya mkoa wa Dodoma waliompatia huduma ya kwanza na wale wa Nairobi Hospital - kule Nairobi Kenya waliookoa uhai wake na leo ni mzima wa afya lakini akiwa na ulemavu...

Shukrani za kipekee kwa madaktari wa nchini Ubelgiji ambao wameendelea kukarabati mifupa ya nyonga na miguu yake iliyovunjwa vunjwa vibaya kwa risasi ingalau kujaribu kurudisha shape yake ya kawaida....

Endelea kumsikiliza anapojibu maswali ya watu mbalimbali. Pamoja na mengine, amejibu swali la iwapo familia yake iliwapo kupokea vitisho au la...

Enjoy yourself
 
Tunaendelea kupata simulizi za kusisimua toka kwa Tundu Lissu ikiwa ni sehemu ya kumbuizi ya miaka 4 tangu kufanyika kwa jaribio baya lililoshindwa la kutaka kumuua kwa risasi za kivita lakini likimwacha nusu mfu tarehe 7/9/2017....

Shukrani kwa madaktari wa hospitali ya mkoa wa Dodoma waliompatia huduma ya kwanza na wale wa Nairobi Hospital - kule Nairobi Kenya waliookoa uhai wake na leo ni mzima wa afya lakini akiwa na ulemavu...

Shukrani za kipekee kwa madaktari wa nchini Ubelgiji ambao wameendelea kukarabati mifupa ya nyonga na miguu yake iliyovunjwa vunjwa vibaya kwa risasi ingalau kujaribu kurudisha shape yake ya kawaida....

Endelea kumsikiliza anapojibu maswali ya watu mbalimbali. Pamoja na mengine, amejibu swali la iwapo familia yake iliwapo kupokea vitisho au la...

Enjoy yourself
View attachment 1931111

laana ya lissu iliondoka na meko
 
The Palm Tree,

..wasaidizi wa Lissu ambao walimchukua eneo la tukio na kumkimbiza hospitali wanastahili pongezi nyingi sana.

..nashangaa kwanini vyombo vyetu vya habari havijawatafuta na kuwahoji.

..Lissu aliwataja siku ya ufunguzi wa kampeni kuwa waliomtoa eneo la tukio na kumfikisha hospitali ni Khadija Akukweti, Amina Kanyama, na Adamu Bakari.

..Pia yupo kijana wa Chadema anaitwa Hemedi ambaye anaonekana hapo akisukuma Wheel chair ya Lissu. Huyo kijana alikaa naye akimuuguza muda mrefu sana kule Nairobi.
 
Tundu anatukwamisha sana kwenye jambo lake lile..... aje kila kitu kikae sehemu yake maana tulishaambiwa hakuna police wa Tanzania anaweza fanya kile kitendo akabaki salama kazini

Nguvu anazotumia kuongea angeziweka kwenye vitendo Tanzania ingeelewa

Vinginevyo kwa haya maneno yake kila kuchwao sasa anaonekana bingwa wa mipasho kama yule anayejiita Dr Kumbuka
 
Tunaendelea kupata simulizi za kusisimua toka kwa Tundu Lissu ikiwa ni sehemu ya kumbuizi ya miaka 4 tangu kufanyika kwa jaribio baya lililoshindwa la kutaka kumuua kwa risasi za kivita lakini likimwacha nusu mfu tarehe 7/9/2017....

Shukrani kwa madaktari wa hospitali ya mkoa wa Dodoma waliompatia huduma ya kwanza na wale wa Nairobi Hospital - kule Nairobi Kenya waliookoa uhai wake na leo ni mzima wa afya lakini akiwa na ulemavu...

Shukrani za kipekee kwa madaktari wa nchini Ubelgiji ambao wameendelea kukarabati mifupa ya nyonga na miguu yake iliyovunjwa vunjwa vibaya kwa risasi ingalau kujaribu kurudisha shape yake ya kawaida....

Endelea kumsikiliza anapojibu maswali ya watu mbalimbali. Pamoja na mengine, amejibu swali la iwapo familia yake iliwapo kupokea vitisho au la...

Enjoy yourself
View attachment 1931111
Mungu ana makusudi na Lissu. Mnaopinga pingeni.
 
The Palm Tree,

..wasaidizi wa Lissu ambao walimchukua eneo la tukio na kumkimbiza hospitali wanastahili pongezi nyingi sana.

..nashangaa kwanini vyombo vyetu vya habari havijawatafuta na kuwahoji.

..Lissu aliwataja siku ya ufunguzi wa kampeni kuwa waliomtoa eneo la tukio na kumfikisha hospitali ni Khadija Akukweti, Amina Kanyama, na Adamu Bakari.

..Pia yupo kijana wa Chadema anaitwa Hemedi ambaye anaonekana hapo akisukuma Wheel chair ya Lissu. Huyo kijana alikaa naye akimuuguza muda mrefu sana kule Nairobi.
Mwandishi yupi anayetaka kufa? Mkuu Kesi ya Lissu ni exceptional waandishu mtawalaum bure.

Issur ya Lissu kujihusisha nayo tu ni kifo kinakufata.
 
K
Tundu anatukwamisha sana kwenye jambo lake lile..... aje kila kitu kikae sehemu yake maana tulishaambiwa hakuna police wa Tanzania anaweza fanya kile kitendo akabaki salama kazini

Nguvu anazotumia kuongea angeziweka kwenye vitendo Tanzania ingeelewa

Vinginevyo kwa haya maneno yake kila kuchwao sasa anaonekana bingwa wa mipasho kama yule anayejiita Dr Kumbuka
kunywa maji walau glasi moja kwanza
 
Watu wenye matamanio ya kufanya uhalifu lazima wawachukie polisi wazuri, iko hivyo siku zote maana wanajua ni kikwazo kwao. Na huyu Lissu alifanya juhudi nyingi kujaribu kuwaprovoke polisi na watu wengine wa vyombo vya ulinzi na usalama wakati wa kampeni zake 2020, lakini aliambulia patupu/olaa. Walienda naye mdogo mdogo hadi dakika za majeruhi wakampitia na ule mtama unakufanya uangukie kisogo au kidefu. Mengine ni historia.
 
Mwandishi yupi anayetaka kufa? Mkuu Kesi ya Lissu ni exceptional waandishu mtawalaum bure.

Issur ya Lissu kujihusisha nayo tu ni kifo kinakufata.

..sidhani kama chochote watakachokisema kitakuwa ni kibaya kwa serikali au CCM.

..kwa mfano, kuwauliza kuhusu tukio zima walimkuta Lissu ktk hali gani, jinsi walivyompeleka hospitali, etc etc.

..Walitakiwa wahojiwe kama wananchi wengine waliookoa majeruhi ktk ajali mbaya.
 
..sidhani kama chochote watakachokisema kitakuwa ni kibaya kwa serikali au CCM.

..kwa mfano, kuwauliza kuhusu tukio zima walimkuta Lissu ktk hali gani, jinsi walivyompeleka hospitali, etc etc.

..Walitakiwa wahojiwe kama wananchi wengine waliookoa majeruhi ktk ajali mbaya.
Wanaogopa Baba. Mambomu nje nje. CCM sio watu
 
Kwa uandishi huu ungekuwa ndugu yangu hakika ningebadilishana na gunia moja la ufuta.Hopeless
Watu wenye matamanio ya kufanya uhalifu lazima wawachukie polisi wazuri, iko hivyo siku zote maana wanajua ni kikwazo kwao. Na huyu Lissu alifanya juhudi nyingi kujaribu kuwaprovoke polisi na watu wengine wa vyombo vya ulinzi na usalama wakati wa kampeni zake 2020, lakini aliambulia patupu/olaa. Walienda naye mdogo mdogo hadi dakika za majeruhi wakampitia na ule mtama unakufanya uangukie kisogo au kidefu. Mengine ni historia.
 
Tunaendelea kupata simulizi za kusisimua toka kwa Tundu Lissu ikiwa ni sehemu ya kumbuizi ya miaka 4 tangu kufanyika kwa jaribio baya lililoshindwa la kutaka kumuua kwa risasi za kivita lakini likimwacha nusu mfu tarehe 7/9/2017....

Shukrani kwa madaktari wa hospitali ya mkoa wa Dodoma waliompatia huduma ya kwanza na wale wa Nairobi Hospital - kule Nairobi Kenya waliookoa uhai wake na leo ni mzima wa afya lakini akiwa na ulemavu...

Shukrani za kipekee kwa madaktari wa nchini Ubelgiji ambao wameendelea kukarabati mifupa ya nyonga na miguu yake iliyovunjwa vunjwa vibaya kwa risasi ingalau kujaribu kurudisha shape yake ya kawaida....

Endelea kumsikiliza anapojibu maswali ya watu mbalimbali. Pamoja na mengine, amejibu swali la iwapo familia yake iliwapo kupokea vitisho au la...

Enjoy yourself
View attachment 1931111
Mungu mbariki Tundu Lissu
 
Tundu anatukwamisha sana kwenye jambo lake lile..... aje kila kitu kikae sehemu yake maana tulishaambiwa hakuna police wa Tanzania anaweza fanya kile kitendo akabaki salama kazini

Nguvu anazotumia kuongea angeziweka kwenye vitendo Tanzania ingeelewa

Vinginevyo kwa haya maneno yake kila kuchwao sasa anaonekana bingwa wa mipasho kama yule anayejiita Dr Kumbuka
Hamza marehemu uchukuzi siku 2 umeisha
 
Back
Top Bottom