Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais Magufuli asitufanye wote wajinga, jipya ni kujenga uwanja na mbuga Chato

MKUU, CHATO MJI KIPENZI SASA TUNA KIWANJA CHA NDEGE, BANDARI NA MELI MPYA MV CHATO, MBUGA YA WANYAMA HADI TEMBO WANALETWA,IFADHI YETU RUBONDO IMEKUWA YA KISASA, TAA ZA KUONGOZA MAGARI JAPO MJI WETU UMEJAA PIKIPIKI NA BAISIKELI,HOTELI ZA KISASA JAPO WATEJA NI SHIDA, N.K, SASA TUNAUZA VIWANJA. KARIBU CHATO JARIBU MJI KIPENZI 2016/ 2020

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Kwani chato ni wapi jameni, si ni Tz, sasa asahau kupata kura za chato na maeneo hayo
 
mbali na dar,chato na dodoma wapi kwingine nchni wanacho cha kujivunia yamefanyika mambo.Pili hayo yamesaidia nini kuboressha maisha ya wengi mbona bado ni fukara dhoofu hali kuliko awamu zote toka mkoloni
 
We endelea kuidanganya familia yako tu,werevu wanakuchora tu kama katuni za kingo
 
Sawa ila kikubwa nchi iwe na maendleo
Sasa shida hapa ni tafsiri ya maendeleo, kama wafanyakazi na wakulima huwajali sasa hapo unazungumzia maendeleo gani, maana mimi kama mshahara wangu haupand na maisha yalivyopanda hv unatugemea hzo ndege ntapandaje au hzo lami, maana sisi wafanyakazi tunategewa na watu wengi huku chini.
 

naona ndege hadi sasa inaendeshwa kwa hasara tupu, naona reli inajengwa kwa mkopo hadi deni la taifa limepaaa maradufu, madini yamefanya nini? kwamba yameongezeka ardhini ama wasemea ulivyo danganywa kwamba sasa mkataba uko 50/50 makusanyo ya kodi umesomewa mara ya mwisho lini na yalikuwa kiasi gani? yaani miaka mi 5 nyimbo zenu zilezile

kwamba elimu imekuwaje imekuwa bora ama
 
Tunatakiwa tujiulize kwa nini kwa miaka 59 ya uhuru bado hatuna shule za kutosha, vituo vya afya karibu na wananchi, maji safi, umeme nk. Watanzania tuna tatizo gani?
Population nayo inaongezeka,huyo lissu ataleta maajabu gani
 
so kila ajae apendelee kwao hata kwa visivo na tija je itakuwa nchi hio
Kwa iyo airport na mbuga ya wanyama havina tija, dah, hivi ushafika chato ukaona havina tija? Upinzani mnafeli sana. Unadhani atapata kura kutoka kwa wana chato?
Mbona Dom pamependelewa zaidi.
Lisu hafai kabisa.
 
Kuwa na subira kampeni bado hazijaanza, unataka aanze kunadi sera zake ili mkamuwekee pingamizi kuwa kaanza kampeni mapema?
Hawekewi mtu pingamizi msitafute sababu ya kushindwa
Ushindi utapatikana na mtapoteana humu
 
Kwa iyo airport na mbuga ya wanyama havina tija, dah, hivi ushafika chato ukaona havina tija? Upinzani mnafeli sana. Unadhani atapata kura kutoka kwa wana chato?
Mbona Dom pamependelewa zaidi.
Lisu hafai kabisa.
zile bendera zilizoshushwa chato ni za chama gani kama hakuna kura huko
 
Kumbe maendeleo ni nini basi mkuu, Kwa hiyo ulidhani afanye nini ambalo halipo hapo?

Akuletee ugali mezani kwako siyo?
 
zile bendera zilizoshushwa chato ni za chama gani kama hakuna kura huko
Za watu wa kuja tu, hakuna mwana chato mzawa aloshuhudia changes na faida ziloletwa na magufuli kupitia utalii na logistics, atamchagua lisu
 
Mh Tundu Lissu tangu ameingia Nchini hakuna hoja yoyote yenye mashiko ambayo ameitoa zaidi ya personal attack kww Magufuli.

Ila hotuba ya jana baada ya kukosa kick ya maandamano ilikuwa inachekesha sana.

Et Magufuli anawaita wazungu ambao wamekuwa wakitusaidia mabeberu anasahau, anasahau kwambq wazungu kutusaidia ni lazima na siyo omboli kwa sababu umasikini tulionao umechangiwa na wao.
 
Wewe hayo unayaonaa ? au unayasikia kwenye matangazo?. Kumbuka hayo si mapya yalikuwepo miaka nenda rudi. Utekelezaji ndio umepitia hatua tofauti tofauti na kwa maraisi wote na yeye kukuta hapo na kuendeleza. Ni kweli jipya na la ajabu ambalo halikuwepo ni Uwanja mkubwa wa ndege kijijini Chato na mbuga ya chato, Burigi ilikuwepo toka zamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…