kama keshafeli kampeni za kitanda kwa kitanda ni za nini sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama keshafeli kampeni za kitanda kwa kitanda ni za nini sasa.
MKUU, CHATO MJI KIPENZI SASA TUNA KIWANJA CHA NDEGE, BANDARI NA MELI MPYA MV CHATO, MBUGA YA WANYAMA HADI TEMBO WANALETWA,IFADHI YETU RUBONDO IMEKUWA YA KISASA, TAA ZA KUONGOZA MAGARI JAPO MJI WETU UMEJAA PIKIPIKI NA BAISIKELI,HOTELI ZA KISASA JAPO WATEJA NI SHIDA, N.K, SASA TUNAUZA VIWANJA. KARIBU CHATO JARIBU MJI KIPENZI 2016/ 2020Tundu Lissu akihutubia mamia ya wafuasi wa Chadema na wananchi wasio na itikadi ya chama chochote mkoani Dodoma ametoa hoja kali ambazo CCM hawana uwezo wa kuzijibu zaidi ya kupanic na kukimbilia kwenye vyombo vya habari viwahurumie wasirushe mikutano ya Tundu Lissu.
Mosi, amezungumza kuwa jipya na la ajabu kwenye utawala huu ni Rais kujenga uwanja mkubwa Chato wakati marais waliopita hawakufanya maajabu haya, amesisitiza Tundu Lissu.
Pili, ni kitendo cha Rais kupeleka mbuga Chato. Hili ni ajabu kuu ambalo halijawahi kufanyika amesisitiza Tundu Lissu.
Tatu, Lissu amesisitiza kuwa watu wamedhalilishwa, hasa viongozi wa serikali na akina Mama kwa kauli chafu zinazotolewa.
Lissu amesisitiza hii nchi sio kila mtu ni mjinga na unaweza kuwadanganya kirahisi. Kuna watu werevu na wanakwenda kuwaambia wananchi kwa miaka mitano madudu yaliyofanyika.
Je, haya maajabu ni kweli yamefanyika huko Chato?
Je, wakazi wa Lindi, Dodoma, Mbeya, Ruvuma, Arusha, Mtwara, Kilimanjaro mnafahamu maajabu haya ya huko Chato?
Kwa hoja hizi ambazo hata mimi sikuzijua kwa miaka mitano, sasa nimeamshwa usingizini.
Hoja haipigwi rungu, bali hujibiwa kwa hoja. Hii ni kauli ya Dkt Jakaya Kikwete
CCM oyeee oyeeee oyeeee, jibuni hoja hizo!
juzi zimenunua gari za kufanyia kampeni mpe salamu juakaliHela za kujenga ofisi za Chama zinatumika kwa ulevi wa kupindukia, nani kati ya viongozi wawili hao wa kuaminika?
Kwani kampeni zimeanza?Hivi unajua tangu Magufuli achukue fomu hajaongea lolote zaidi ya "Mabeberu"?
mbali na dar,chato na dodoma wapi kwingine nchni wanacho cha kujivunia yamefanyika mambo.Pili hayo yamesaidia nini kuboressha maisha ya wengi mbona bado ni fukara dhoofu hali kuliko awamu zote toka mkoloniKama una nia ya Lissu awe Rais wa Serikali ya awamu ya Sita, wewe na washambiki/wafuasi wake, mpeni/mfikisheni ushauri ufuatao:-
1) Arekebishe lugha anayotumia kuwasilisha hoja zake, kutoka ya matusi na kimahakamahakama na kuwa ya kisiasa.
2) Aheshimu mamlaka, kwa kauli na matendo yake, ili akiingia madarakani naye aheshimiwe.
3) Rais Magufuli amesimamia vizuri utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi wa chama chake. Yawezekana kuna mapungufu. Haya yabainishwe ni ya Sera (zilivyoainishwa kwenye Ilani) au ya utendaji wake. Kumlawaumu Magufuli, kwa ujumla, ni upofu wa uhalisia ambao unaweza kumgharimu Lissu na kundi lake. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe
4) Serikali ya awamu ya tano imefanya mambo mengi ya maendeleo, katika kipindi kifupi, ikilinganishwa na awamu zilizotangulia. Marais wastaafu na viongozi wengi Afrika na duniani kote, wanakiri hivyo hadharani. Ni kiongozi "mpumbavu" na "lofa" tu ndiye anaweza kusimama hadharani na kukebehi. Lissu akiendekeza lawama na kejeli dhidi ya Magufuli, hakuna shaka wananchi hawatasita kumwajibisha kwa kura.
5) Amekaa nje ya Tanzania kwa kipindi kirefu wakati mengi yamefanyika, hivyo afanye tathmini kabla ya kukurupuka kwa lawama na ahadi ambazo anaamini ni mpya, zitampa kukubalika na wapiga kura wakati hana jinsi ya kuthibitisha utekelezaji wake.
6) Akumbuke M/Kiti wa chama chake anatuhumiwa kufisadi fedha ya chama, ikiwa ni pamoja na ruzuku, kiasi cha kushindwa kujenga ofisi na kuwalipa wafanyakazi haki zao. Je, atawezaje kukabili na kubadili ufisadi huo wa "Boss" wake akiingia Ikulu?
7) Anaamini anapambana na CCM tu, je, amejiandaaje kwa ushindani wa wagombea Urais wa vyama vingine? Hadi sasa hajaonesha nia thabiti ya ushirikiano ikizingatiwa kuwa Uchaguzi Mkuu, 2015 CHADEMA ilivuna ushindi kupitia UKAWA na baadaye kuwatosa washirika wake. USALITI kamwe siyo mtaji katika maisha.
so kila ajae apendelee kwao hata kwa visivo na tija je itakuwa nchi hioKwani chato ni wapi jameni, si ni Tz, sasa asahau kupata kura za chato na maeneo hayo
We endelea kuidanganya familia yako tu,werevu wanakuchora tu kama katuni za kingohaoni reli? haoni madini? haioni dodoma? haoni ndege? haoni vituo vya afya? haoni meli? haoni elimu bite, haioni ubungo? haoni majizi kushughulikiwa? haoni makusanyo yakodi kuongezeka? haoni ccm safi? Nk. Nk. Haoni?
akatafute shughuli nyingine ya kufanya, akaombe hko ulaya ama ajiajiri mahali
Sasa shida hapa ni tafsiri ya maendeleo, kama wafanyakazi na wakulima huwajali sasa hapo unazungumzia maendeleo gani, maana mimi kama mshahara wangu haupand na maisha yalivyopanda hv unatugemea hzo ndege ntapandaje au hzo lami, maana sisi wafanyakazi tunategewa na watu wengi huku chini.Sawa ila kikubwa nchi iwe na maendleo
haoni reli? haoni madini? haioni dodoma? haoni ndege? haoni vituo vya afya? haoni meli? haoni elimu bite, haioni ubungo? haoni majizi kushughulikiwa? haoni makusanyo yakodi kuongezeka? haoni ccm safi? Nk. Nk. Haoni?
akatafute shughuli nyingine ya kufanya, akaombe hko ulaya ama ajiajiri mahali
Population nayo inaongezeka,huyo lissu ataleta maajabu ganiTunatakiwa tujiulize kwa nini kwa miaka 59 ya uhuru bado hatuna shule za kutosha, vituo vya afya karibu na wananchi, maji safi, umeme nk. Watanzania tuna tatizo gani?
Kwa iyo airport na mbuga ya wanyama havina tija, dah, hivi ushafika chato ukaona havina tija? Upinzani mnafeli sana. Unadhani atapata kura kutoka kwa wana chato?so kila ajae apendelee kwao hata kwa visivo na tija je itakuwa nchi hio
Hawekewi mtu pingamizi msitafute sababu ya kushindwaKuwa na subira kampeni bado hazijaanza, unataka aanze kunadi sera zake ili mkamuwekee pingamizi kuwa kaanza kampeni mapema?
zile bendera zilizoshushwa chato ni za chama gani kama hakuna kura hukoKwa iyo airport na mbuga ya wanyama havina tija, dah, hivi ushafika chato ukaona havina tija? Upinzani mnafeli sana. Unadhani atapata kura kutoka kwa wana chato?
Mbona Dom pamependelewa zaidi.
Lisu hafai kabisa.
Kumbe maendeleo ni nini basi mkuu, Kwa hiyo ulidhani afanye nini ambalo halipo hapo?Unataka kutuambia Marais wote walio pita hawakuwahi kununua ndege? Wakati kuna walio nunua tukala majani?
Kwamba shule hazikuwepo? Mimi nilisoma Uarabuni?
Kwamba hosipitali hazikuwepo tulitibiwa wapi? Hebu tuache utani kwenye mambobya msingi jamani.
Lisu hana akili, chadema hawawezi kupata kura kanda ya ziwaKwani chato ni wapi jameni, si ni Tz, sasa asahau kupata kura za chato na maeneo hayo
Za watu wa kuja tu, hakuna mwana chato mzawa aloshuhudia changes na faida ziloletwa na magufuli kupitia utalii na logistics, atamchagua lisuzile bendera zilizoshushwa chato ni za chama gani kama hakuna kura huko
Wewe hayo unayaonaa ? au unayasikia kwenye matangazo?. Kumbuka hayo si mapya yalikuwepo miaka nenda rudi. Utekelezaji ndio umepitia hatua tofauti tofauti na kwa maraisi wote na yeye kukuta hapo na kuendeleza. Ni kweli jipya na la ajabu ambalo halikuwepo ni Uwanja mkubwa wa ndege kijijini Chato na mbuga ya chato, Burigi ilikuwepo toka zamanihaoni reli? haoni madini? haioni dodoma? haoni ndege? haoni vituo vya afya? haoni meli? haoni elimu bite, haioni ubungo? haoni majizi kushughulikiwa? haoni makusanyo yakodi kuongezeka? haoni ccm safi? Nk. Nk. Haoni?
akatafute shughuli nyingine ya kufanya, akaombe hko ulaya ama ajiajiri mahali
Your Geography is poor! Rudi shuleHiyo mbuga inapakana na Rwanda kapeleka wanyama pori ili wakizaliana wengine wavuke boda angalau ndugu zake wapate vivutio vya utalii amka Mtanzania asili.