Jinga wewe, Burigi lilikuwa pori na wamefanya kuhamisha wanyama kutoka Serengeti kuwapeleka Chato. Unajua hatari iliyopo pale unapohamisha wanyama kutoka hifadhini kuwapepeka kwenye mapori?Unaijua burigi game reserve hiyo ndo imepandishwa hadhi na kuwa burigi national park ubaya uko wapi... Nyingine mbili zipo kagera huko na nyerere national park from selous game reserve..... Kwa. Mbuga ni mpaka wazungu tuu ndo waende kuna watanzania watatembelea na ni uhifadhi pia
Ameshaeleza mbona, tunajua anataka kufanya nini.Vituo vya afya nchi nzima haoni, bwawa la umeme Rufiji haoni, daraja kule kigongo na Busisi ziwa Victoria haoni, umeme kila kijiji mpaka milimani kule kwa sambaa haoni.
Yeye aelezi atawafanyia nini wananchi na kwa namna gani, anachotaka achaguliwe tu.
Narudia kiki aliyoiwacha lowassa cdm kwenye uchaguzi ilikua ni kubwa sana na hakuna mwenye uwezo wa kuifikia hata kwambali. Cdm wakipata mbunge hata mmoja watakua wamejitahidi sana.
Nawakumbusha uchaguzi utakua huru na haki.
Hakuna jipya nikazi ya Serekali sio hisani wee mwana Apolohaoni reli? haoni madini? haioni dodoma? haoni ndege? haoni vituo vya afya? haoni meli? haoni elimu bite, haioni ubungo? haoni majizi kushughulikiwa? haoni makusanyo yakodi kuongezeka? haoni ccm safi? Nk. Nk. Haoni??
akatafute shughuli nyingine ya kufanya, akaombe hko ulaya ama ajiajiri mahali
Pumbavu ni ww usiejua unaweza google tu burigu game reserve usome .... Nyangau ww ilianzishwa 1980 na ina ukubwa wa 2200km2.... Translocation ya wanyama ni jambo la kawaida sana hata kitulo national park hapakuwana wanyama ila leo panawanyama..... Ujui chochote kaz kushangilia tuu...Jinga wewe, Burigi lilikuwa pori na wamefanya kuhamisha wanyama kutoka Serengeti kuwapeleka Chato. Unajua hatari iliyopo pale unapohamisha wanyama kutoka hifadhini kuwapepeka kwenye mapori?
Mimi sichoshwiKuna wengine uraisi utabakia Kama ndoto kwao, baada ya kuelezea sera zako umekaa kupiga porojo, majungu hayana nafas katika zama hizi, jikite kwenye sera pls otherwise you will loose to the point you can't imagine, hata nafas ya pili unaweza ukaisikia kwenye bomba Kama sera Ndio magufuli, repeating the same issues over time inafika Mahala unachosha hadhira
Hoja kama hii hawawezi kujibu milele, nasubiria kwa amu kampeni zianze, jiwe anaishi ktk jumba la kioo asubiri kupopolewa kwa maweKosa kubwa la Magufuli ameenda Chato ndani kujenga uwanja mkubwa wa ndege huku akijua kuwa hauna faida yoyote zaidi ya hasara. Yani ni kama kwa mfano Tundu Lissu awe Rais kisha akajenge uwanja mkubwa wa ndege Ikungi.
Ukiwa unaenda Chato unaupita mji mkubwa wa Geita kisha unaenda mji mdogo wa Katoro then Chato. Yani sijui alitumia findings zipi kujenga huko Chato! Sijui!
Yani ni kama marehemu Mkapa airuke Mtwara mjini, airuke Masasi mjini kisha aende Lupaso akajenge uwanja mkubwa wa ndege. Huu ni ujinga wa aina yake.
Anajifanya kipofuhaoni reli? haoni madini? haioni dodoma? haoni ndege? haoni vituo vya afya? haoni meli? haoni elimu bite, haioni ubungo? haoni majizi kushughulikiwa? haoni makusanyo yakodi kuongezeka? haoni ccm safi? Nk. Nk. Haoni??
akatafute shughuli nyingine ya kufanya, akaombe hko ulaya ama ajiajiri mahali
Mpe miaka mingine uone kama bahari haitohamishiwa hukoSa chato kumekua ulaya mbona ni pa kawaida tu au na flyover imejengwa chato
😂😂😂😂😂😂😂Population ya kipindi hicho na sasa iko sawa? Mahitaji ya leo na miaka hiyo
Population ya kipindi hicho na sasa iko sawa?
Mahitaji wa kipindi hicho na sasa yapo sawa?
Mlikuwa na shule ngapi kipindi hicho na sasa zipo ngapi? Ili tujue namna ya kufanya licha ya kutolewa elimu tuboreshe zaidi?
Wazazi wako walilipa kodi kuiwezesha serikali kuhudumia wananchi wake kipindi hicho? Au ndio ilitegemea hissani kila kitu kukuhudumia wewe na wenzako?
Watumishi walilipwa mishahara kutoka vyanzo vipi vya mapato? Misaada au kodi ya mtanzania?
Kumbuka taifa linakuwa na mahitaji yanaongezeka na mifumo ya uendeshaji lazima ibadilike baba angu, kukwepa madeni lazima UNYWE MAJI YA KUTOSHA Mzee wangu
Hitimisho JPM ana mapungufu yake kama wengine lakn kafanya KAZI KUBWA SANA kuiweka tanzania ijulikane kimataifa haijalishi kwa mazuri au mabaya😂😂😂😂
Jingaaa pori tengefua ngedere na nyoka unaita hifadhi? Nakwambia tutawanyooshaPumbavu ni ww usiejua unaweza google tu burigu game reserve usome .... Nyangau ww ilianzishwa 1980 na ina ukubwa wa 2200km2.... Translocation ya wanyama ni jambo la kawaida sana hata kitulo national park hapakuwana wanyama ila leo panawanyama..... Ujui chochote kaz kushangilia tuu...
Muwe mnafanya reserch kabla hamjaongea
HAYO UNAYAONA WEWE!haoni reli? haoni madini? haioni dodoma? haoni ndege? haoni vituo vya afya? haoni meli? haoni elimu bite, haioni ubungo? haoni majizi kushughulikiwa? haoni makusanyo yakodi kuongezeka? haoni ccm safi? Nk. Nk. Haoni?
akatafute shughuli nyingine ya kufanya, akaombe hko ulaya ama ajiajiri mahali
We jamaa google hapo ulipo burigi game reserve acha utopolo wwJingaaa pori tengefua ngedere na nyoka unaita hifadhi? Nakwambia tutawanyoosha
Nitajie wanyama waliokuwepo huko kabla ya uhamishajiWe jamaa google hapo ulipo burigi game reserve acha utopolo ww
Ni suala la logic tu kama hakukuwa na wanyama simba wamepelekwa ili wakale nyoka?Nitajie wanyama waliokuwepo huko kabla ya uhamishaji
Ndiyo,Butiama na hata Lupaso,hakuna taa za kuongozea magali/Traffic Light.Kuna nini huko, kwa hiyo hayo ndio maendeleo ya Tanzania nzima au?
Mkuu inawezekana kweli Lissu alipata pia shida ya kichwa siku anashambuliwahaoni reli? haoni madini? haioni dodoma? haoni ndege? haoni vituo vya afya? haoni meli? haoni elimu bite, haioni ubungo? haoni majizi kushughulikiwa? haoni makusanyo yakodi kuongezeka? haoni ccm safi? Nk. Nk. Haoni?
akatafute shughuli nyingine ya kufanya, akaombe hko ulaya ama ajiajiri mahali
Sawa ila kikubwa nchi iwe na maendleoMpe miaka mingine uone kama bahari haitohamishiwa huko