Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais Magufuli asitufanye wote wajinga, jipya ni kujenga uwanja na mbuga Chato

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais Magufuli asitufanye wote wajinga, jipya ni kujenga uwanja na mbuga Chato

Unaijua burigi game reserve hiyo ndo imepandishwa hadhi na kuwa burigi national park ubaya uko wapi... Nyingine mbili zipo kagera huko na nyerere national park from selous game reserve..... Kwa. Mbuga ni mpaka wazungu tuu ndo waende kuna watanzania watatembelea na ni uhifadhi pia
Jinga wewe, Burigi lilikuwa pori na wamefanya kuhamisha wanyama kutoka Serengeti kuwapeleka Chato. Unajua hatari iliyopo pale unapohamisha wanyama kutoka hifadhini kuwapepeka kwenye mapori?
 
Vituo vya afya nchi nzima haoni, bwawa la umeme Rufiji haoni, daraja kule kigongo na Busisi ziwa Victoria haoni, umeme kila kijiji mpaka milimani kule kwa sambaa haoni.

Yeye aelezi atawafanyia nini wananchi na kwa namna gani, anachotaka achaguliwe tu.

Narudia kiki aliyoiwacha lowassa cdm kwenye uchaguzi ilikua ni kubwa sana na hakuna mwenye uwezo wa kuifikia hata kwambali. Cdm wakipata mbunge hata mmoja watakua wamejitahidi sana.
Nawakumbusha uchaguzi utakua huru na haki.
Ameshaeleza mbona, tunajua anataka kufanya nini.
 
haoni reli? haoni madini? haioni dodoma? haoni ndege? haoni vituo vya afya? haoni meli? haoni elimu bite, haioni ubungo? haoni majizi kushughulikiwa? haoni makusanyo yakodi kuongezeka? haoni ccm safi? Nk. Nk. Haoni??
akatafute shughuli nyingine ya kufanya, akaombe hko ulaya ama ajiajiri mahali
Hakuna jipya nikazi ya Serekali sio hisani wee mwana Apolo
 
Jinga wewe, Burigi lilikuwa pori na wamefanya kuhamisha wanyama kutoka Serengeti kuwapeleka Chato. Unajua hatari iliyopo pale unapohamisha wanyama kutoka hifadhini kuwapepeka kwenye mapori?
Pumbavu ni ww usiejua unaweza google tu burigu game reserve usome .... Nyangau ww ilianzishwa 1980 na ina ukubwa wa 2200km2.... Translocation ya wanyama ni jambo la kawaida sana hata kitulo national park hapakuwana wanyama ila leo panawanyama..... Ujui chochote kaz kushangilia tuu...
Muwe mnafanya reserch kabla hamjaongea
 
Kuna wengine uraisi utabakia Kama ndoto kwao, baada ya kuelezea sera zako umekaa kupiga porojo, majungu hayana nafas katika zama hizi, jikite kwenye sera pls otherwise you will loose to the point you can't imagine, hata nafas ya pili unaweza ukaisikia kwenye bomba Kama sera Ndio magufuli, repeating the same issues over time inafika Mahala unachosha hadhira
Mimi sichoshwi
 
Walizoea kusweka watu polisi wakiibua hoja nzito Kama hizi, tusubiri nabii aanze kumwaka cheche
 
Kosa kubwa la Magufuli ameenda Chato ndani kujenga uwanja mkubwa wa ndege huku akijua kuwa hauna faida yoyote zaidi ya hasara. Yani ni kama kwa mfano Tundu Lissu awe Rais kisha akajenge uwanja mkubwa wa ndege Ikungi.

Ukiwa unaenda Chato unaupita mji mkubwa wa Geita kisha unaenda mji mdogo wa Katoro then Chato. Yani sijui alitumia findings zipi kujenga huko Chato! Sijui!

Yani ni kama marehemu Mkapa airuke Mtwara mjini, airuke Masasi mjini kisha aende Lupaso akajenge uwanja mkubwa wa ndege. Huu ni ujinga wa aina yake.
Hoja kama hii hawawezi kujibu milele, nasubiria kwa amu kampeni zianze, jiwe anaishi ktk jumba la kioo asubiri kupopolewa kwa mawe
 
haoni reli? haoni madini? haioni dodoma? haoni ndege? haoni vituo vya afya? haoni meli? haoni elimu bite, haioni ubungo? haoni majizi kushughulikiwa? haoni makusanyo yakodi kuongezeka? haoni ccm safi? Nk. Nk. Haoni??
akatafute shughuli nyingine ya kufanya, akaombe hko ulaya ama ajiajiri mahali
Anajifanya kipofu

Lissu watanzania werevu sana kila kitu kinaonekana sio kama wewe unayesema uongo tu
 
Population ya kipindi hicho na sasa iko sawa? Mahitaji ya leo na miaka hiyo

Population ya kipindi hicho na sasa iko sawa?
Mahitaji wa kipindi hicho na sasa yapo sawa?
Mlikuwa na shule ngapi kipindi hicho na sasa zipo ngapi? Ili tujue namna ya kufanya licha ya kutolewa elimu tuboreshe zaidi?
Wazazi wako walilipa kodi kuiwezesha serikali kuhudumia wananchi wake kipindi hicho? Au ndio ilitegemea hissani kila kitu kukuhudumia wewe na wenzako?
Watumishi walilipwa mishahara kutoka vyanzo vipi vya mapato? Misaada au kodi ya mtanzania?

Kumbuka taifa linakuwa na mahitaji yanaongezeka na mifumo ya uendeshaji lazima ibadilike baba angu, kukwepa madeni lazima UNYWE MAJI YA KUTOSHA Mzee wangu

Hitimisho JPM ana mapungufu yake kama wengine lakn kafanya KAZI KUBWA SANA kuiweka tanzania ijulikane kimataifa haijalishi kwa mazuri au mabaya😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
 
Pumbavu ni ww usiejua unaweza google tu burigu game reserve usome .... Nyangau ww ilianzishwa 1980 na ina ukubwa wa 2200km2.... Translocation ya wanyama ni jambo la kawaida sana hata kitulo national park hapakuwana wanyama ila leo panawanyama..... Ujui chochote kaz kushangilia tuu...
Muwe mnafanya reserch kabla hamjaongea
Jingaaa pori tengefua ngedere na nyoka unaita hifadhi? Nakwambia tutawanyoosha
 
Flyover na bypass- Dar
Njia nane- Dar
Safari za treni Dar-Moshi
Viwanda kibao- Pwani
Daraja la Kigongo- Mwanza
Ukuta Mererani- Manyara
Meli za abiria na mizigo- Ziwa Nyasa/Victoria
Hospitali ya rufaa ya Nyerere- Musoma
Upanuzi wa bandari zote za TPA- Nchi nzima
Ujenzi wa maghala ya msosi- Mikoa yote yenye uzalishaji wa nafaka kwa wingi

Aliyofanya ni mengi kwa nchi nzima nadhani kutuaminisha kuwa Chato pekee ndo imefanyiwa makubwa ni upotoshaji ambao haumsaidii Lissu siku ya uchaguzi.
Endeleeni na ngonjera badala mseme mtatufanyia nini, siku yenyewe Jiwe atamaliza mechi dk ya 15 maboya nyie
 
haoni reli? haoni madini? haioni dodoma? haoni ndege? haoni vituo vya afya? haoni meli? haoni elimu bite, haioni ubungo? haoni majizi kushughulikiwa? haoni makusanyo yakodi kuongezeka? haoni ccm safi? Nk. Nk. Haoni?

akatafute shughuli nyingine ya kufanya, akaombe hko ulaya ama ajiajiri mahali
HAYO UNAYAONA WEWE!
 
Kuna nini huko, kwa hiyo hayo ndio maendeleo ya Tanzania nzima au?
Ndiyo,Butiama na hata Lupaso,hakuna taa za kuongozea magali/Traffic Light.

Lakini CHATO zipo.
Mnapishana na magali yamebabe wanyama pori kupeleka chato Buligi.

Ndiyo maajabu hayo.
 
haoni reli? haoni madini? haioni dodoma? haoni ndege? haoni vituo vya afya? haoni meli? haoni elimu bite, haioni ubungo? haoni majizi kushughulikiwa? haoni makusanyo yakodi kuongezeka? haoni ccm safi? Nk. Nk. Haoni?

akatafute shughuli nyingine ya kufanya, akaombe hko ulaya ama ajiajiri mahali
Mkuu inawezekana kweli Lissu alipata pia shida ya kichwa siku anashambuliwa
 
Back
Top Bottom