Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais Magufuli asitufanye wote wajinga, jipya ni kujenga uwanja na mbuga Chato

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais Magufuli asitufanye wote wajinga, jipya ni kujenga uwanja na mbuga Chato

Nitajie wanyama waliokuwepo huko kabla ya uhamishaji
Google ilikuwepo au haikuwepo... Translocation ya wanyama ni kitu cha kawaida sana nimekupa mfano wa kitulo national park yalikuwa maua na ndege leo hii wameintroduce na wanyama wengine.... Nani aliyekuambia gemereserve hazina wanyama selous kuna tembo wangapi......
Nitajie wanyama waliokuwepo huko kabla ya uhamishaji
Sio kukutajia wanyama mkuu hata selous ni game reserve ila inawanyama mfano tembo wapo wengi sana selous..... Na burigi kulikuwa na wanyama before hiyo translocation.... Ujui kitu afu unakuwa mbishi.... Nani aliyekuambia game reserve hazina wanyama... Kitulo national park ilikuwa na ndege na maua ila wame translocate wanyama
 
Kosa kingine kwa Tundu lissu
Lissu hatakiwi kumshambulia Magufuli
Lissu anatakiwa atuambie atafanya Nini,kukomaa na Magufuli ni sawa na kuzidi kujipunguzia kura tu
Hivi kujenga hospital kubwa 69 sio maajabu
Kukarabati shule za sekondari ambazo haziguswa toka mkoloni si maajabu
Chadema mjipange sana na lissu wenu mtajikuta mmeishiwa maneno baada ya wiki moja tu toka kuanza kampeni

Kuwa na subira kampeni bado hazijaanza, unataka aanze kunadi sera zake ili mkamuwekee pingamizi kuwa kaanza kampeni mapema?

Kwanza naona mnajichanganya mara mseme hosptal kubwa 69 mara wazir aseme hosptal kubwa 600.
 
Vituo vya afya nchi nzima haoni, bwawa la umeme Rufiji haoni, daraja kule kigongo na Busisi ziwa Victoria haoni, umeme kila kijiji mpaka milimani kule kwa sambaa haoni.

Yeye aelezi atawafanyia nini wananchi na kwa namna gani, anachotaka achaguliwe tu.

Narudia kiki aliyoiwacha lowassa cdm kwenye uchaguzi ilikua ni kubwa sana na hakuna mwenye uwezo wa kuifikia hata kwambali. Cdm wakipata mbunge hata mmoja watakua wamejitahidi sana.
Nawakumbusha uchaguzi utakua huru na haki.

Acheni porojo, mmeshindwa kuajiri kwa miaka 5, mmeshindwa kukomboa wafanyabiashara wadogo wadogo.
 
Tundu Lissu akihutubia mamia ya wafuasi wa Chadema na wananchi wasio na itikadi ya chama chochote mkoani Dodoma ametoa hoja kali ambazo CCM hawana uwezo wa kuzijibu zaidi ya kupanic na kukimbilia kwenye vyombo vya habari viwahurumie wasirushe mikutano ya Tundu Lissu.

Mosi, amezungumza kuwa jipya na la ajabu kwenye utawala huu ni Rais kujenga uwanja mkubwa Chato wakati marais waliopita hawakufanya maajabu haya, amesisitiza Tundu Lissu.

Pili, ni kitendo cha Rais kupeleka mbuga Chato. Hili ni ajabu kuu ambalo halijawahi kufanyika amesisitiza Tundu Lissu.

Tatu, Lissu amesisitiza kuwa watu wamedhalilishwa, hasa viongozi wa serikali na akina Mama kwa kauli chafu zinazotolewa.

Lissu amesisitiza hii nchi sio kila mtu ni mjinga na unaweza kuwadanganya kirahisi. Kuna watu werevu na wanakwenda kuwaambia wananchi kwa miaka mitano madudu yaliyofanyika.

Je, haya maajabu ni kweli yamefanyika huko Chato?

Je, wakazi wa Lindi, Dodoma, Mbeya, Ruvuma, Arusha, Mtwara, Kilimanjaro mnafahamu maajabu haya ya huko Chato?

Kwa hoja hizi ambazo hata mimi sikuzijua kwa miaka mitano, sasa nimeamshwa usingizini.

Hoja haipigwi rungu, bali hujibiwa kwa hoja. Hii ni kauli ya Dkt Jakaya Kikwete

CCM oyeee oyeeee oyeeee, jibuni hoja hizo!
Katika wagombea Urais wapumbavu, Tundu Lissu anaongoza. Anatueleza kitu gani wakati kila Mtanzania anajionea mambo yanayofanyika nchi nzima ambayo ukianza kuyaorodhesha ni mengi mno, asijione yeye tu ndo mwenye macho na masikio ya kuona na kusikia mambo anayoyafanya Rais Magufuli. Kiufupi Lissu hana uwezo wa kupambana na Magufuli zaidi ya kupiga mijikelele tu kama taahira na kujifanya mjuaji wa kila kitu
 
Burigi chato ilikuwa ni game reserve yeyet kaipa hadhi kuwa national park na nyingine tano ..... Jamaa ameaim kutanua utalii kwa mikoa ambayo haikuwa na utalii kabisa... Translocating animals sion kwamba ni shida..... Kama mnaijua kitulo national park ilikuwa na ndege na maua tu ila wameintroduce wanyama now...... Jamaa inawezekana akawa hajui hata tuna new parks.

Ni umeme kias gan unatoka kidatu au nyumba ya Mungu.... Na je new hydropower itakuwa na technologia ile ilee ya zamani au ni mpya na umememe umekuwa mwingi zaid.

Kuna hospital mpya ya kanda ya mtwara kubwa kweli. Kuna mrad mkubwa wa maji Arusha

Idadi ya watalii iliongezeka japo aliongeza kodi na nyie cdm mkamtishia watalii hawatakuja kwa kodi kubwa mbona walikuja. Na leo still wanakuna japo dunia inajanga la corona stil wanaiamin Tanzania sababu kuna rais anaethubutu.

Mwambie tundu atuambie ataifanyia nn hii nchi sio kumpaka mtu matope most of the Tanzanians saw what magu did for them wapo weng wanampenda na watamchagua.

Sio kumuita mtu msomi kila mtu ni msomi katika nyanja yake. Mtu kasoma hkl yake dah watu wamepiga nuclear physics huko, watu tumesoma degree ngumu kama veterinary medicine ila tumetulia wala hatuinui mikia.

Hayo yote mliofanya yamewasaidia nini watanzania hasa vijana, wakulima na wafanya biashara, ukiweza kuweka connection ya hayo mafanikio hewa na maisha halisi ya mtanzania, natajipiga ban jf ya maisha.
 
haoni reli? haoni madini? haioni dodoma? haoni ndege? haoni vituo vya afya? haoni meli? haoni elimu bite, haioni ubungo? haoni majizi kushughulikiwa? haoni makusanyo yakodi kuongezeka? haoni ccm safi? Nk. Nk. Haoni?

akatafute shughuli nyingine ya kufanya, akaombe hko ulaya ama ajiajiri mahali
Umesahau haoni hiyo pesa karibia trilioni 41,aliyokopa kwa mabeberu? Huku akiaminisha watu kuwa kila pesa ni ya kodi yetu?!! Hata hao waliomtangulia hayo waliyafanya kwa kiwango chao, lakini ambalo hawakufanya kabisa ni kujenga uwanja wa ndege kijijini kwao!! Mbona liko wazi? Sasa unateseka wapi?
 
Nitajie wanyama waliokuwepo huko kabla ya uhamishaji
Screenshot_20200809-112531.png
 
Ndiyo,Butiama na hata Lupaso,hakuna taa za kuongozea magali/Traffic Light.

Lakini CHATO zipo.
Mnapishana na magali yamebabe wanyama pori kupeleka chato Buligi.

Ndiyo maajabu hayo.
akipewa miatano tena Chato itakuwa ulaya
 
Huyu mzee anaipenda sana chato kwa baba yake wa kambo kuliko anavyopapenda kwao sijui kwa nini bwana
 
Hayo yote mliofanya yamewasaidia nini watanzania hasa vijana, wakulima na wafanya biashara, ukiweza kuweka connection ya hayo mafanikio hewa na maisha halisi ya mtanzania, natajipiga ban jf ya maisha.
vipaumbele vyake sio vipaumbele vyetu zaidi ya kutafutia sifa yeye,muhimu kwake ni vitu na si watu
 
haoni reli? haoni madini? haioni dodoma? haoni ndege? haoni vituo vya afya? haoni meli? haoni elimu bite, haioni ubungo? haoni majizi kushughulikiwa? haoni makusanyo yakodi kuongezeka? haoni ccm safi? Nk. Nk. Haoni?

akatafute shughuli nyingine ya kufanya, akaombe hko ulaya ama ajiajiri mahali
yaani huyu ndio maana alipigwa shaba.

havumiliki kabisa.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Kosa kingine kwa Tundu lissu
Lissu hatakiwi kumshambulia Magufuli
Lissu anatakiwa atuambie atafanya Nini,kukomaa na Magufuli ni sawa na kuzidi kujipunguzia kura tu
Hivi kujenga hospital kubwa 69 sio maajabu
Kukarabati shule za sekondari ambazo haziguswa toka mkoloni si maajabu
Chadema mjipange sana na lissu wenu mtajikuta mmeishiwa maneno baada ya wiki moja tu toka kuanza kampeni
Huwezi ukafanya kampeni kwa shughuli za kijamii kama shule, hospitali, maji, umeme, barabara nk. Serikali yoyote hata wasiposema kwenye kampeni zao lazima ifanye. Miaka yote wagombea wa ubunge na urais wanatoa ahadi hizo hizo tu. Imagine mpaka sasa bado tuna matatizo ya vyoo mashuleni na hata katika familia za jamii zetu fulani.

Tunatakiwa tujiulize kwa nini kwa miaka 59 ya uhuru bado hatuna shule za kutosha, vituo vya afya karibu na wananchi, maji safi, umeme nk. Watanzania tuna tatizo gani?
 
Mataga Bwana sijui wakoje:-

Lissu ametaja maajabu aliyofanya magufuli ni :-

1. Kujenga Mbuga ya wanyama Burigi Chato hilo ndio jipya halijawahi kufanywa na watangulizi wake.

2. Kujenga Uwanja wa ndege Chato maana hakuna hata rais aliyepita zaidi yake aliyejenga uwanja wa ndege kwao.

3. Kudhalilisha wanawake,wasichana,mabinti,wamama,shangazi,mabibi tena hadharani ,hayo hayajawahi "kufaniziwa" na watangulizi wake.

Nyongeza nyingine:-

4. Kununua Midege na manunuzi hewa bila kupitishwa na bunge.

5.Kutopandisha mishahara kwa miaka mi5 ya wafanyakazi wa umma.

6.Japo alipunguza wafanyakazi hewa ,mishahara hewa , warsha,semina ,makongamano lakini Malipo ya mishahara katika awamu yake ni makubwa kuliko hapo nyuma ambapo kulikuwa na vyote alivyoviondoa.

7. Kazuia matibabu nje lakini awamu yake ndio inayoongoza kwa gharama za matumizi ya matibabu ya viongozo nje.


Mambo ni mengi sana hayo ni machache ngoja kampeni zianze kwanza.
alibana matumizi then akazitumia kununulia wapinzani,kurudia chaguzi,kumshughulikia mbowe na kuulia upinzani,huku akijafanya mzalendo mbele ya camera hali nyuma ya kamera ni mzalendo feki.Watz watakuja kumuelewa huyu sio mzalendo wakiwa wamechelewa kabisa.Mzalendo huwa aanzi na kwao au yeye kushiba kwanza kabla ya wengine
 
Hayo maendeleo ya tanzania yalitakiwa yawekwe wapi na wapi yasiwekwe?

Je anapotoka raisi wa nchi hapo hapahitaji maendeleo kwa kuwa sio ndani ya nchi?

Hao watu wa chato huyo tundu lisu hataenda kuwaomba kura?

Je siku akifika hapo chato atawambia wao hawastahili kuwa na kiwanja wala maendeleo kwa sababu sio watanzania?

Je hao watu wa chato hawahitaji kuendelezwa kwa kuwa hawana hadhi?

Je huko kungine palipo na viwanja au vinajengwa wao ni wa maana kuliko chato?

Tundu bado anakwama na atakwama saana
Kama atapenda kutumia maneno ya mashabiki wake kwenye Sera, hatatoboa hata kura laki tano.
je hivo ni mahitaji ya wanachato kwamba maisha yao ni magumu sababu avikuwepoo hivo vitu kabla.Pamoja na vyote hivo mbona je bado akubaliki kwao
 
Back
Top Bottom