Zaidi ya hapo ni mkabila na hana aibu ktk hilo
Kama mpaka hapo hujagundua tatizo liko wapi basi wewe jitafakari tena. Kwanini Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete hawakujilimbikizia mali za umma makwao? Kama Nyerere angetaka kufanya hivyo asingeshindwa lakini alijua bado sehemu nyingi za nchi yetu zina uhitaji muhimu kama maji safi, huduma za afya, barabara n.k.
Hayo anayoyasema Lissu sio mageni masikioni mwetu sanasana analenga kupata majibu kwa njia ya hoja kutoka kwa mhusika na sio vitisho.
Alichokifanya Mh. Rais ni kitendo kisichokuwa na mashiko kwa taifa akiwa kama mkuu wa nchi.