Pre GE2025 Tundu Lissu: Rais Samia, Kiongozi wetu Deus Soka Ametekwa, Hajulikani Alipo kwa Wiki Mbili

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama sababu za matendo hayo ni uchaguzi, basi tuna wanasiasa wajinga sana, wasiofaa kwa nyakati hizi za sayansi na teknolojia.
Kuna haja ya kufanya mabadiliko makubwa katika fikra za watu kwa kuwachagua viongozi wenye fikra na akili chanya, wanaopenda uwazi na ukweli.
 
Samia wa Waarabu Uarabuni
.....DP WORLD....

Kwa mwezi tunaingiza trilioni 26....

Wakati wa ile tenda ,wazungu wa Ubelgiji hawakuwepo nao wakaingia katika ushindani wa zabuni?!!

NEVER GIVE WISDOM TO UNWORTHY AS IT IS UNJUST TO THE KNOWLEDGEABLE [emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ni lini Tanzania itakuwa na amani ya kweli?.
Samia anatakiwa asafishe vyombo vyake vya usalama.
Kuanzia waziri ,IGP mpaka usalama wa taifa.yaani mtu akiwa kwenye vyombo hivyo anafanya anavyotaka na hakuna wa kumfanya kitu.mmechukuliana mademu anakuteka anakupoteza,una mdai anakuteka anakupoteza.na viongozi wao wapo na wanajua ila wana walinda
 
Simba wa Kizimkazi Tundu Lissu amepeleka kilio kwa Rais Samia juu ya kutekwa kwa Deus Soka

"Nakusihi kwa moyo wangu wote: usijesahau ya mtangulizi wako alikufa huku damu ikimlilia. Angalia yasije yakakufika yaliyomfika".
maneno mazito sana haya!, they have something to do with karma.
p
 
Yes, mgekubali kuungana pamoja kipindi kile tunawaambia Dkt Magufuli hahusiki anasingiziwa ila kuna kikundi cha wahuni wanaochafua taswira yake mlikataa na kushangilia mkisema mtekaji kafa ila sasa mnaanza kulia lia
Aliyeasisi CCM ni nyerere hayupo sasa na bado CCM ipo.. je hapa waweza sema nini tena
 
Mama Dr Samia Suluhu Hassan asaidie viongozi hawa wapatikane
 
Naogopa akipewa motano tena hiyo 2025. Kama pamoja na hofu ya uchaguzi hiyo 2025 anaweza kuwa katili kiasi hiki, akiwa hana cha kupoteza nani atamfunga speed governor?
Sijui kama waTanzania wana ufahamu ukweli huu.

Huyu akichaguliwa, kwa kura za wizi (kwani kikawaida hawezi kushinda), nchi yetu itakuwa kwenye matatizo makubwa.

Siyo uuaji tu na mateso kwa watu; huyu atauza raslimali zote za nchi. WaTanzania tutakuwa watu tegemezi kwa kila kitu; hakuna tutakachoweza kukifanya sisi wenyewe kwa ufanisi. Sasa niambie ni nchi gani iliyo wahi kupata maendeleo kwa kuwa tegemezi kwa wengine!
 
Hata hivyo,

Hatutaogopa,

Wala kutishwa ,

Hadi pale Giza la UOVU litakapoondoka juu ya anga la nchi yetu nzuri tuipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen
 
Mnachafua wenyewe then mnasingizia watu.

Mara hii hawasingiziwa Mabeberu?
 
Kwahiyo unataka kusema kijana hajapotea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…