Tundu Lissu: Samia aliwafutia Elimu, Afya na Maji, Mchengerwa (mkwe wake) kafuta kijiji kizima, amevunja Sheria

Tundu Lissu: Samia aliwafutia Elimu, Afya na Maji, Mchengerwa (mkwe wake) kafuta kijiji kizima, amevunja Sheria

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Kutoka kwenye mtandao wa X(tweeter), kaandika,

Samia alisema Wamaasai wa Ngorongoro waondoke kwao kwa hiari. Baadae akawafutia elimu, afya & maji. Halafu Tume ya Uchaguzi ikawafutia haki za kupiga kura. Sasa mkwe wake amefuta vijiji & kata zao. Samia amevunja Sheria & Katiba. Tupinge azma yake haramu dhidi ya wanaNgorongoro.

My take: Kuzuia binadamu asipate mahitaji yake ya muhimu kama chakula, maji, hifadhi (shelter), elimu na afya kwa sababu zozote zile ni hatua mbaya na ya mwisho kwa serikali, Netanyahu alijaribu kwa Wapalestina sijui aliishia wapi.

1724252456478.png
 
Tatizo lenu ni wajuvi wa maongezi ya mtandaoni...hii ilishafeli!

Zile harakati za kukupigania chama, siku moja ziwe za kuipigania nchi, pengine muitikio utakuwa mkubwa na hakuna wa kuwaweka kwenye defender, si raia watakuwa wameitika na wana nguvu!
 
Tungekuwa na bunge la wabunge wenye kujitambua ,Sasa hivi wangepiga kura ya kutokuwa na Imani na rais kutokana na kuwafukuza jamii ya kimasai nchini mwao na kuwapeleka kusikojulikana lakini Kwa kuwa tuna bunge kibogoyo hakuna hatua utachukuliwa dhidi ya huyu mvunjaji wa sheria
 
Kutoka kwenye mtandao wa X(tweeter), kaandika,

Samia alisema Wamaasai wa Ngorongoro waondoke kwao kwa hiari. Baadae akawafutia elimu, afya & maji. Halafu Tume ya Uchaguzi ikawafutia haki za kupiga kura. Sasa mkwe wake amefuta vijiji & kata zao. Samia amevunja Sheria & Katiba. Tupinge azma yake haramu dhidi ya wanaNgorongoro. Lissu
Kumekucha!
 
Chukia mfumo mzima, sio Rai's Tu....kuna MINYUMBU....ukioona inavyoangaikia familia zao, ila za wengine hawaoni muhim wao...deal na watendaji...muwe mnaweka majina walioko huko kwenye mifumo husika JAMII ianze kudeal nao km wafanyavyo WASIOJULIKANA. Itafute huko makanisani,misikitini, magari yao, majumba yao....kazini kwao...kama tunatafuta vibaka....HUO NDO UZALENDO AUSEMAO RAISI...
 

Attachments

  • FB_IMG_1724211591010.jpg
    FB_IMG_1724211591010.jpg
    63.7 KB · Views: 2
Lengo la Unyama huu ni kuhakiksha kwamba Wale Masai wanaoandamana kule Ngorongoro hawapati Chakula ili hatimaye wafe njaa.

Screenshot_2024-08-21-19-26-06-1.png


Wala hili si jambo jipya kwa yanayofanywa kwa Wamasai wa Ngorongoro, Tayari Serikali ya Tanzania ilishaondoa huduma zote za Jamii ikiwemo kulifutilia mbali eneo hilo
 
Back
Top Bottom