Tundu Lissu: Samia aliwafutia Elimu, Afya na Maji, Mchengerwa (mkwe wake) kafuta kijiji kizima, amevunja Sheria

Tundu Lissu: Samia aliwafutia Elimu, Afya na Maji, Mchengerwa (mkwe wake) kafuta kijiji kizima, amevunja Sheria

Wakati mwingine Nia njema inapotea kwa sababu ya chuki zilizotujaa vifuani mwetu. Kumrefer kiongozi wa serikali 'mkwe wake' ni zaidi ya chuki. Mahusiano yao yanahusika vipi na utendaji wa serikali. Mbona viongozi, karibu wote, wa cdm Wana mahusiano ya kidamu kabisa na anapowataja hatumii uhusiano wao kuwaita?!!!

Asiye na mtu ana Mungu.....
Hata na wao wakiongoza Chama kifamilia zaidi lazima tuwaseme.Hivi kunaulazima gani wa kuwafutia Wamasai vijiji vyao??
 
Tunahitaji watu wenye akili nzuri, weledi, busara, hekima na utu wema kuwa viongozi. Hii ianzie ngazi za chini hadi juu na hasa kwenye vyombo vya dola ili kumsaidia Rais kuongoza vizuri nchi.
Machawa, na wengine wenye ubinafsi hawafai kuwa viongozi, watumiwe kama wapiga debe tu.
Hii iwe kazi ya TISS, kwa yenyewe kushauri na kuepuka uchawa, vinginevyo taifa litaangamia.
 
Kumekucha!
Tangia msemo huu uanzwe kusemwa sijawahi kuona hilo Jua (light at the end of tunnel)....

Kukucha kutakucha ila sio leo wala kesho..., na wala hakutakuja kwa shinikizo au maneno ya wanasiasa bali wananchi wenyewe watakapofika point of no return na kukosa hope... ( kwa Tanzania bado ila ndipo tunapoelekea) na tukifika huko (kutoka kwenye reli) kurudi itachukua miaka mingi sana )

Ushauri kwa Walamba asali.., wajue kula na vipofu sababu likisanuka hili Janga litawatafuna sio kizazi kichajo cha wengine tu bali hata cha kwao...
 
cha ajabu anafanya tamasha kijijini kwake na yuko proud na alikotoka sijui kizimkazi halafu vijiji vya wengine anavifuta na kuwahamisha kwa nguvu, wamasai wamezoea kuishi highlands huko unawahamisha kwa nguvu kwenye joto la kufukuta la tropic huko tanga, pure evil …
 
They SMOKED the Maasai out of Ngorongoro in Tanzania ! It’s despicable. You don’t do that to your people. It’s a colonial mindset - Fatma Karume X Twitter account 24 August 2024
 
Kutoka kwenye mtandao wa X(tweeter), kaandika,

Samia alisema Wamaasai wa Ngorongoro waondoke kwao kwa hiari. Baadae akawafutia elimu, afya & maji. Halafu Tume ya Uchaguzi ikawafutia haki za kupiga kura. Sasa mkwe wake amefuta vijiji & kata zao. Samia amevunja Sheria & Katiba. Tupinge azma yake haramu dhidi ya wanaNgorongoro.

My take: Kuzuia binadamu asipate mahitaji yake ya muhimu kama chakula, maji, hifadhi (shelter), elimu na afya kwa sababu zozote zile ni hatua mbaya na ya mwisho kwa serikali, Netanyahu alijaribu kwa Wapalestina sijui aliishia wapi.

Yule Simba wa Tangabyika amevuma tena.
 
Back
Top Bottom