Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

Hakuna marefu yasiyo na ncha
In God we Trust
 
Daima mungu hanaga mshindani na yeyote yule ashindanaye na mungu lazima alipe
Siku baada ya shambulio(tarehe 8/09/2017), alionekana Morogoro anapiga tizi majira ya asubuhi, akinyosha misuli baada ya kazi nzito jana yake...

In God we Trust
 
Lissu 1 tu ni zaidi ya ukoo wenu wote wa mapanya
Inasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia badala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.

In God we Trust
 
Kwamba Makonda alikuwapo Dodoma na rais wa nchi alisema hayo maneno siku yeye anapigwa risasi?
Upuuzi wa hali ya juu.
Mbona povu au na wewe ndio hao wasiojulikana au wewe ni team Makonda?
 
Hizi zote ni sarakasi tu,maana kila lenye mwanzo lina Mwisho wake...sasa ukitaka kila anaekusema vibaya umuue,utawamaliza wote utakosa wa kumuongoza ....sasa linapokuja swala la nani alimpiga risasi Lisu,
Hakuna mwenye ushahidi wa kutosha kuthibitisha hilo,hivyo basi ni vyema kukaa kimya kuliko kuongea nonsense things.....maana kwa taifa lilivyo kwa sasa ukileta kimdomodomo wanafunika itokeapo sauti...

Stay in God's hands dear friends
 
Leo mnataka makonda ahojiwe wakati dereva mmemficha mile 800000000 ambaye ndiye angetoa ushuhuda wa tukio lilivyokuwa,usiseme ingkuwaje kama dereva angekufa..dereva hakufa na hajafa.
Inamaana Mkuu kuna sehemu Polisi iliwahi kuhitaji kumhoji Dereva, akakosekana.
Mnatafuta ili mumlishe maneno??
 
Ukimsikia mtu anauliza kwa wahka "Nani huyo?" Pindi pakidhaniwa pana "MWIZI" keshaiba cha MTU ujue KIVYOVYOTE ANA DALILI ZA UHUSIKA MKUU HUYO ANAYEJIHAMI!
 
Mkuu unajua Lissu alipigwa sana shaba
 
Musiba ni dhaifu sana, sidhani kama anauwezo wakutumia bastola yule...
 
Inasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia badala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.

hiyo quote yako ya mstari wa kiingereza rekebisha sidhan kama unaleta maana ndugu samahan lakin tunajua lugha za watu izi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…