toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Kwani ni uongo waliomtarget ni ccm ? Lisu ukiacha kuwa ni mwanasiasa ndio kiongozi anaeongeaga facts kuliko wote na ni jasiri sana angekuwa mlaini laini angeopt kuwa ccm leo angekuwa nae anaiba kama wenzakeInasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia badala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.
Hii kitu ipo siku na wakati wowote itamwangukia tu Daud Albert Bashite a.k.a Paul Makonda..
Hints:
Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.
Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.
Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.
Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.
Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.
Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.
Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.
Kama lilivyokufa lile lenu jambazi la Chatobora lingekufa tu lina faida gani hili dubwasha
Inasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia badala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.
Kiukweli Chadema wote wanamuogopa sana Makonda!Hints:
Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.
Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.
Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.
Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.
Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.
Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.
Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.
Kupitia haya maelezo ya Lissu; bila shaka kuna watu wawili wanahusika moja kwa moja na shambulio lake. Hao wengine ni wale waliotumwa kutekeleza hilo shambulio.Hints:
Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.
Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.
Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.
Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.
Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.
Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.
Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.
Wewe ndio mtoa adhabu au yupo mwingineKupitia haya maelezo ya Lissu; bila shaka kuna watu wawili wanahusika moja kwa moja na shambulio lake. Hao wengine ni wale waliotumwa kutekeleza hilo shambulio.
Na kwa hili, wahusika wote wataishuhudia adhabu yao hapa hapa duniani.
Acheni porojo hazina maana hiziKwani ni uongo waliomtarget ni ccm ? Lisu ukiacha kuwa ni mwanasiasa ndio kiongozi anaeongeaga facts kuliko wote na ni jasiri sana angekuwa mlaini laini angeopt kuwa ccm leo angekuwa nae anaiba kama wenzake
Utamfahamu tu huyo mtoa adhabu siku itakapofika. Mnamtangazia mtu kifo hadharani! Halafu mnaenda anakoishi na kuwaondoa walinzi wote! mnavuruga mfumo wa camera za usalama kwenye hayo makazi anayoishi! Mnamshambulia mtu saa saba mchana wa jua kali kwenye mji mdogo kama Dodoma!Wewe ndio mtoa adhabu au yupo mwingine
Faida ya lissu wewe huwezi kuiona kama ambavyo Mimi na wengine hatuioni faida yakobora lingekufa tu lina faida gani hili dubwasha
Mropokaji hana ushahid wowote. Anaishi kwa, kutunga uongo. Lissu hana akili kabisa.Ni swali tu dogo kulingana na tauhuma anazodai ana ushahidi kuhusu shambulio lake .
haina faida wala maana yeyote hata kama sheria ipo au haipo 🐒Ni swali tu dogo kulingana na tauhuma anazodai ana ushahidi kuhusu shambulio lake .
Soma zaidi kauli zake hapa
Video - Interview ya Tundu Lissu: Afafanua kwa ufasaha zaidi uhusika wa Paul Makonda kuratibu jaribio la kumuua kwa risasi Septemba, 2017
..ni kesi ya jinai. ..polisi ndio wenye mamlaka kisheria kushtaki watuhumiwa wa makosa ya jinai. Lissu alianza kulalamikia kuhusu watu waliokuwa wanamuwinda hata kabla hajashambuliwa na alitaja namba za magari waliyokuwa wakiyatumia, hata hivyo polisi walikausha.www.jamiiforums.com
Sidhani kama una akili kichwani!Huyu jamaa atapiga mayowe hadi sauti itamkauka. Si aende tu akashitaki umoja wa mataifa?