SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Bandari Imegawiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm mwenyewe nashangaa Tatizo LETU watu WEUSI hatuishi vituko hiki nacho ni kituko na kwann maccm hayahoji huu uteuzi....Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.
Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.
Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.
Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.
Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.
Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.
Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.
My Take
CCM mlikosa kabisa mtu wa maana?
Hints:
Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.
Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.
Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.
Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.
Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.
Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.
Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.
HahahaStori nzuri kuliko ushindi wa simba
Ile kesi ya Lissu itaendelea kuwa aibu ya Taifa kwa miaka zaidi ya 1000 hapa dunianiNa polisi waliotakiwa kuwepo lindo hawajawahi kuhojiwa walikuwa wapi wakati wa tukio au kuwajibishwa kwa kutoonekana sehem ya kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi ina wajinga wengi mno hiiKwa hiyo sasa katika watu wote Tanzania ni Makonda pekee ndiye alikuwa dodoma?
Hawawezi kuhoji Wengi ni chawa wakiwemo Graduates wanaoamini wanaweza kuukwa uteuzi.......utaona jinsi watu wengi watajikomba kwake.Mm mwenyewe nashangaa Tatizo LETU watu WEUSI hatuishi vituko hiki nacho ni kituko na kwann maccm hayahoji huu uteuzi....
Hujaelewa mantiki. Na pia ufahamu kuwa heading huwa zinarekebisha na mods. Heading ilikuwa:Kwa hiyo sasa katika watu wote Tanzania ni Makonda pekee ndiye alikuwa dodoma?
Naam
Akienda pia awakumbushe pia kwamba Mlinzi wake alieshuhudia anaishi wapi ? Awakumbushe pia kwamba kule Gaza mama na watoto wanataabika asikie watampa jibu gani!!!Vipi Kwani anakutana na trump lini akamshtakie hayo yote? Sababu tumeambiwa ana mualiko Whitehouse
The return of Makonda nyumbu hoi
Msaliti wa taifa hupigwa risasi kote duniani siyo Tanzania tuTundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.
Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.
Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.
Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.
Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.
Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.
Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.
My Take
CCM mlikosa kabisa mtu wa maana?
Hints:
Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.
Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.
Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.
Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.
Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.
Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.
Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.