😀😀😀 kwaiyo mbowe akamtuma yule waziri mstaafu ang'oe CCTV camera?kwani wewe ukiwa dodoma hawaruhusiwi watu wengine kwenda dodoma? acha uuni mbowe anajuwa kila kitu kilichotokea nandiyo aliyesuka mpango yote aataja sasa hivi kwenye ushahidi unaoendelea mahakamani we tulia tu