Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma



Hints:

Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.

Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.

Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.

Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.

Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.

Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.

Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.


This is purely crap as I dont see single connection, kwani yeye alitaka Makonda awe wapi??? Katika watanzania milioni 50 ni makonda peke yake alikuwa Dododoma??? I just want to establish the connection here?? Kama anamuongelea Makonda kama RC je ni RC peke yake aliyekuwa Dodoma siku hiyo???? what does he want to prove to us kwa yeye kushambuliwa na Makonda kuwa Dododoma? This is very cheap analysis wajinga tu ndio watashabikia.
 
This is purely crap as I dont see single connection, kwani yeye alitaka Makonda awe wapi??? Katika watanzania milioni 50 ni makonda peke yake alikuwa Dododoma??? I just want to establish the connection here?? Kama anamuongelea Makonda kama RC je ni RC peke yake aliyekuwa Dodoma siku hiyo???? what does he want to prove to us kwa yeye kushambuliwa na Makonda kuwa Dododoma? This is very cheap analysis wajinga tu ndio watashabikia.
Yes, unaona wajinga wenzake ndo wanashabikia upuuzi wa hali ya juu kama huu.
 


Hints:

Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.

Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.

Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.

Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.

Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.

Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.

Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.


KUNA RECORDS ZA ASKARI WANAOKUWEPO KWENYE LINDO KILA SIKU HIVYO KUMBUKUMBU KUWA NANI WALIKUWEPO KWENYE LINDO MUDA ULE ZIPO. MBONA KAZI RAHISI SANA?
 
Na wewe uliye madarakani na kuona waweza kuwafanya wengine lolote wakati ukiwa na hayo madaraka tambua kuwa muda wako ukiisha waweza nawe kufanywa lolote.
Kinga iko pale unapotekeleza madaraka yako kikatiba tuu! Utaishi Kwa furaha kama Jk. BM au Jerry Rwallings. Vyinginevyo unaishia kumalizia maisha kwa mateso na fedheha tupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dua la kuku. Fuata sheria na timiza wajibu wako, uzee wako utakuwa wa amani.
 
Mimi sihangaiki kuumiza kichwa kujua kina nani waliofanya shambulio lile kwa kuwa Magu na makonda wanadhani waliokaribu nao sio ndugu zetu wa kifamilia ambao walijua mapema mipango hii dharimu. Tukio hili litawagharimu hawa wawili hapo baadaye na ushahidi wa kuhusika kwao upo
 
Kwahiyo makonda na lisu wanaugomvi wa kisiri siri?, mbona mm naishi Moro ila siku hiyo nilikuwa dom...au namimi natakiwa nikahojiwe?

Naye arudi ahojiwe asirushe mpira, kwani kuna tatizo gani akirudi akahojiwa? na hao wengine wasipohojiwa ndpo apige kelele zake hizo?............ Wabongo tunapenda kurusha mipira kwa wengine tunasahau kujirushia kwanza. Huwa wanahojiwa vitu gani hadi wanakimbia kimbia hivi na hawataki kusogeza pua zao??
 
La muhimu ni kuheshimu mamlaka halali. Ukichemka na kudharau ukubwa wa mamlaka, tegemea maumivu mkuu.

Mamlaka zinazoongoza nchi siku zote hupambana ili ziweze kupata kibali cha wananchi. Mwanasiasa usipoujua ukweli huo na ukaishi kwa kiburi, tegemea lolote lile likupate maishani.
Huo ni ujinga na ujuha. Si lazima mwenye mamlaka kufanya kama shetani. Mbona Uhuru hakumfanyia Miguna au Raila kitu cha aina hiyo?
 
Wenye mke ndiyo waling’oa cctv camera? Wenye mali ndiyo waliwatoa walinzi Getini? Wenye mali ndiyo walipiga marufuku kuvaa T-shirt za Tundu Lisu? Acheni kuvuta Bangi hapo Gheto kwa cyprian Musiba


Mwenye nia mbaya na wewe ana mambo mengi mpaka akupate. Usishangae hizo cctv kung'olewa kabla ya shambulio la msaliti wa taifa. Kumbuka kuwa Lissu ana maisha mengine nyuma ya pazia.
 
Huo ni ujinga na ujuha. Si lazima mwenye mamlaka kufanya kama shetani. Mbona Uhuru hakumfanyia Miguna au Raila kitu cha aina hiyo?
Ujinga na ujuha kwako wewe mkuu. Heshimu mamlaka, ukileta tabia ya usaliti unaweza kushindwa kuvumiliwa, kila mtu kaumbwa kivyake, Uhuru ni Uhuru na wengine ni wengine.
 
Dua la kuku. Fuata sheria na timiza wajibu wako, uzee wako utakuwa wa amani.
Mimi sihangaiki kuumiza kichwa kujua kina nani waliofanya shambulio lile kwa kuwa Magu na makonda wanadhani waliokaribu nao sio ndugu zetu wa kifamilia ambao walijua mapema mipango hii dharimu. Tukio hili litawagharimu hawa wawili hapo baadaye na ushahidi wa kuhusika kwao upo
sasa kama unajua si katoe ushahidi sehemu husika. unalialia nini sasa?
 
Bado mchanga sana katika kutaka kupata urais, abakie tu kui challenge serikali ila kwenda Ikulu asubilie sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kufikiria vzr ,acha kufikiria kidogo...umesahau msemo wa sisimizi kumuua tembo au?

Hata goiati alijiamini sana ktk mapigano na kilichomtokea nadhani ulikisoma au kukihadithiwa...


"Tafakari chukua hatua maana hata wewe kitambulisho cha ujasiriamali kinakuhusu ,ukiachilia mbali ushuru unaolipa kila siku"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom